Kiranga
Platinum Member
- Jan 29, 2009
- 87,806
- 152,937
Ungeulizwa wewe ungetumiwa PM.Sasa sijui kinachokuumiza ninini... Nimeulizwa mimi nimejibu mimi....
Hapa kila open post ni mjadala kwa wote.
Elewa hilo kama ulikuwa hujajua bado.
Ungeulizwa wewe ungetumiwa PM.Sasa sijui kinachokuumiza ninini... Nimeulizwa mimi nimejibu mimi....
Kwaivyo hii ndio jumla ya khasara anayopata Mtu anayeamini Mungu.!?Kwa sababu hata kisichopo, usipokijua, kinawezakukuua.
Kama dawa ya ugonjwa haipo,na kinga ndiyo muhimu, mtu akaaminishwa dawa ipo, akaupata huougonjwa, akauziwa kanyaboya kama dawa, kutokuwapo kwa dawa hiyo anayouziwa kama kanyaboya kunamuua.
Mungu hayupo, nikama dawa hiyo ya kanyaboya.
Watu watatue matatizo yao wenyewe, kumtegemea Mungu ni kutegemea dawa ya kanyaboya.
Mtakufa kwa magonjwa kwa kutozingatia kinga na kutafuta dawa halisi kwa kuwa mmebweteka kwenye dawa ya kanyaboya.
Hapo ndipo utajua kwamba ujinga unaua.
Imani kwamba kitu kipo, wakati hakipo, inaweza kukuua.
Utapeli mtupu, mtoto mdogo anaendekeza utapeli wa uchawi.Mshana anachekesha sana!
Imepita miaka sasa toka tukubaliane kuwa aniroge lakini wapi!
Bado nipo nadunda tu hahahaa.
Abracadabra zako hazinipati mimi.Hapana tofautisha fikra za mtu mmoja kama hapo kwenye mfano wako na uhalisia wa fikra katika wingi wake....
Nani kasema hiyo ni jumla?Kwaivyo hii ndio jumla ya khasara anayopata Mtu anayeamini Mungu.!?
Ila ningekua safi kama ungeorodheshaa na faida wanazopata wasioamini Mungu
Prove kwamba sijui basi, kwa kumuelezea huyo Mungu wako kwa jinsi ambayo iko logically consistent na haiwezi kuwa contradicted.
We si Umesema ujinga wa kuamini Mungu Unaua.!? iyo ndio jumla au una nyengine.?Nani kasema hiyo ni jumla?
Kwa sababu Mungu hayupo.
Angekuwepo, kila kitu kingekuwa kinaoana bila hata juhudi.
Huwezi kuthibitisha Munguvwako yupo.Hahaha umewahi kusoma au kuona nahangaika kuthibitisha kwa mtu Mungu yupo?
Nimeshasoma mara nyingi ukisema mambo ya kyamini na wewe havipikiki chungu kimoja. Na hauwezi kutenganisha imani na Mungu. Kwa mantiki hiyo, siwezipiteza muda.
Lakini sababu kubwa ya kutokufanya hivyo ni moja tu. Ni jukumu la Mungu kujithibitisha na kujidhihirisha mwenyewe.
Sasa nnapokuuliza kitu kingine au kutaka maelezo unalazimisha au unajibu kwa muktadha wa uthibitisho wa Mungu, inanitatiza.
Wewe mawazo yote yako kwenye ramli.Umeanza lini kuwa mpiga ramli na mbashiri?
Kuna vitabu na vitabu vimeandikwa kuhusu hilo jambo.We si Umesema ujinga wa kuamini Mungu Unaua.!? iyo ndio jumla au una nyengine.?
Sasa nataka utuoneshe werevu wa kutoamini Mungu unavyo huisha...
Au nimenukuu vibaya..!? yawezekana sijaelewa mimi
Huwezi kuthibitisha Munguvwako yupo.
Kwa sababu hayupo.
Kama vile wajinga wanaomuamini Mungu ambaye hayupo ambavyo hawajui Mungu huyo hayupo.Unajua ngabu hata wafu hawajui kuwa wamekufa... Wanaojua ni wale waliobaki hai...
Waswahili walisema Lila na fila hazitengamani.Kwa andiko hili, unakubali kwamba ulichokiandika hakioani na nilichokiandika, haimaanishi vingeoana ningekua nimethibitisha kwako kwamba Mungu yupo.
Nataka maelezo yako wewe sio wao.Kuna vitabu na vitabu vimeandikwa kuhusu hilo jambo.
Unatakaje kupata jumla kwa post ya JF tu?
Hiki kitu unakipenda sana mpaka kimekuwa ni kama ibada takatifu kwako hiki unachopenda kukiita 'logical argument ' ambayo hata hivyo ukiambiwa iweke, unaishia kuweka link za mabandiko ya wazungu yenye mkanganyiko mkubwa ... Kwako hawa ndio viumbe sensible....Wewe mawazo yote yako kwenye ramli.
Hata ukiwekewa logical argument unaona ramli tu.
Kama vile wajinga wanaomuamini Mungu ambaye hayupo ambavyo hawajui Mungu huyo hayupo.
Wanaojua hayupo ni wasiomuamini Mungu huyo.