Kiranga sio atheist ni non-believer

Kiranga sio atheist ni non-believer

You can't even articulate what you stand for.

You are a half birdbrained nincompoop.

Uzuri ni kwamba, hizi tuhuma zote ni kwa mujibu wa Kiranga.

Mbona msimamo wangu kuhusu uwepo wa Mungu upo wazi kabisa, naamini Mungu yupo. Kwamba hauamini sio tatizo langu.
 
Uzuri ni kwamba, hizi tuhuma zote ni kwa mujibu wa Kiranga.

Mbona msimamo wangu kuhusu uwepo wa Mungu upo wazi kabisa, naamini Mungu yupo. Kwamba hauamini sio tatizo langu.
Kuamini hata ukiamini mavi yako ni Mungu unaruhusiwa.

Tuzungumze unachojua kama fact.
 
Kuamini hata ukiamini mavi yako ni Mungu unaruhusiwa.

Tuzungumze unachojua kama fact.

Najua vitu vingi sana Kiranga lakini hii sio platform ya kuonyesha hilo na ikihitajika mahali sahihi ntaleta facts za nnachokijua.
Na mara kadha wa kadha nimeshakwambia Mungu ni Imani. Na wewe habari za kuamini hauendani nazo, umejikita kwenye kujua na facts.

Huko kwenye facts, nimekuuliza unipe chanzo cha hizo sifa unazoziandika mara kwa mara chanzo chake ni kipi au ni maoni yako? Haujaleta.

Nikakuuliza kwenye mfano wako huo huo, unaweza taja sifa za hilo jiwe Zaidi ya kusema kubwa sana? Haujaeleza chochote.

Ukaandika kwa kujiamini, wanaoamini uwepo wa Mungu ni wajinga, nimekuuliza maswali mawili, haujajibu.

Achilia mbali lugha zisizo staha, kwa kuwa mtu hakubaliani na maoni yako ameshindwa ku articulate anachosimamia.

Unarudi kusema facts, unataka fact zipi sasa.
 
Huwezi kuthibitisha uchawi upo, kwa sababu haupo.

Sijasema uchawi haupo kwa sababu Samaritan hawezi kuuthibitisha upo.

Unaelewa tofauti?

Rudi kwenye hiyo kanuni uliyoinukuu, kama ipo sahihi, magic na advanced technology sio kitu kimoja.
Na hadi kufananaisha hivyo vitu viwili, inamaana mwandishi anaelewa kwamba magic ipo.

Sasa kwamba Kiranga anasema haupo, ni suala lingine kabisa.
 
Magic ni nini?

Mtu asiyejua redio inafanyaje kazi, na anayesema kiboksi kinachotoa sauti ni magic, anawezaje kujuakwamba hichoanachokiita magic si magic na ni teknolojia tu?

Kanuni inakwambia unaweza kusema mtu mchawi, kumbe anatumia advanced psychology na chemistry tu kufanya advanced technology!
Sio kweli na unajichanganya vibaya kabisa... Usijaribu ku neutralize swali kwa mifano.... Jibu kwa muktadha... Huo ndio weledi... Hiyo ndio akili.. Na huo ndio ufahamu
 
Najua vitu vingi sana Kiranga lakini hii sio platform ya kuonyesha hilo na ikihitajika mahali sahihi ntaleta facts za nnachokijua.
Na mara kadha wa kadha nimeshakwambia Mungu ni Imani. Na wewe habari za kuamini hauendani nazo, umejikita kwenye kujua na facts.

Huko kwenye facts, nimekuuliza unipe chanzo cha hizo sifa unazoziandika mara kwa mara chanzo chake ni kipi au ni maoni yako? Haujaleta.

Nikakuuliza kwenye mfano wako huo huo, unaweza taja sifa za hilo jiwe Zaidi ya kusema kubwa sana? Haujaeleza chochote.

Ukaandika kwa kujiamini, wanaoamini uwepo wa Mungu ni wajinga, nimekuuliza maswali mawili, haujajibu.

Achilia mbali lugha zisizo staha, kwa kuwa mtu hakubaliani na maoni yako ameshindwa ku articulate anachosimamia.

Unarudi kusema facts, unataka fact zipi sasa.
Majority ya watu hapawanaamini Mungu wa Biblia/Quran, ambaye yupokatikaset ya miungu wenye hizo characteristics za kujua yote, kuweza yote na kuwa na upendo wote.

Lakini sio miungu hao tu, wapo wengine zaidi.

Nimekuuliza wewe Mungu unayesema yupo ni yupi? Unaogopa kujibu.

Jiwe hilo sfa zakeni.

1. Liwe limeumbwa na Mungu wenu huyo.

2. Liwe zitokiasihuyo Mungu wenu hawezi kulibeba.

Huyo Mungu wenu anaweza kuliumba hilo jiwe?

Hujajibu.
 
Sio kweli na unajichanganya vibaya kabisa... Usijaribu ku neutralize swali kwa mifano.... Jibu kwa muktadha... Huo ndio weledi... Hiyo ndio akili.. Na huo ndio ufahamu
Thibitisha magic ipo.

Niroge nisije JF mwezi mzima kuanzia leo.
 
Fact gani unaziongelea hapa?

kuniita "half birdbrained nincompoop" ndio fact?
Sorry pal ila umekosea kidogo atakupinga huyo japo yeye binafsi source of information na trusted logics anazitoa huko huko
 
Mimi watu sijui wanaopinga uwepo wa Mungu ,huwa hata wakiongea wanatapika dhahabu naishiaga kuwadharau tuuu.

Niivi " Kwa Mungu kila goti litapigwa ,uwe mwanga ,nabii fek. Mchawi, Msali nusu, ajuaye Mungu yupo lkn haishi kujitanabaisha kwa jamii kua hayupo Mungu , Muhun,mwizi , kahaba. Malaya, Atheist sijui uwe nani ukoo , KWA MUNGU KILA GOTI LITAPIGWA TUU , watu tutaruka ruka weeeeee lkn Kwa Mungu kila Goti litapigwa !!
Acha mbwembwe nyingi ... hilo goti unampigia nani na wapi? mnajichosha na mambo msiyoyaelewa.
Mkiambiwa Mungu yu ndani mwenu hata hamfikrii. Kapige zako punyeto ukalale....
 
Rudi kwenye hiyo kanuni uliyoinukuu, kama ipo sahihi, magic na advanced technology sio kitu kimoja.
Na hadi kufananaisha hivyo vitu viwili, inamaana mwandishi anaelewa kwamba magic ipo.

Sasa kwamba Kiranga anasema haupo, ni suala lingine kabisa.
Thibitisha uchawi upo.
 
Thibitisha magic ipo.

Niroge nisije JF mwezi mzima kuanzia leo.
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] amrisha vidole vyako vitype without your will powers, without charge, without 3G supporting handset, without airtime n so on.. Nami nitathibitisha uchawi
 
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] amrisha vidole vyako vitype without your will powers, without charge, without 3G supporting handset, without airtime n so on.. Nami nitathibitisha uchawi
Umeshindwa kwa sababu uchawi haupo.
 
Majority ya watu hapawanaamini Mungu wa Biblia/Quran, ambaye yupokatikaset ya miungu wenye hizo characteristics za kujua yote, kuweza yote na kuwa na upendo wote.

Lakini sio miungu hao tu, wapo wengine zaidi.

Nimekuuliza wewe Mungu unayesema yupo ni yupi? Unaogopa kujibu.

Jiwe hilo sfa zakeni.

1. Liwe limeumbwa na Mungu wenu huyo.

2. Liwe zitokiasihuyo Mungu wenu hawezi kulibeba.

Huyo Mungu wenu anaweza kuliumba hilo jiwe?

Hujajibu.

Shukrani kwa majibu.

Kwanza, kama unatumia Biblia kuja na hizo sifa, hauwezi kuchukua tatu peke yake kwa sababu sio sifa pekee za Mungu.

Namwamini Mungu mwenye sifa zilizotajwa kwenye Biblia.

Kwenye hiyo sentensi niliyokunukuu inamapungufu. Hauwezi kusema kitu kina uwezo wote kisha uweke kushindwa.

Mwisho, unasema kuna miungu wengine, unajua au unaamini kwamba wapo?

Nafikiri hapa tutapata pa kuanzia.
 
Mimi watu sijui wanaopinga uwepo wa Mungu ,huwa hata wakiongea wanatapika dhahabu naishiaga kuwadharau tuuu.

Niivi " Kwa Mungu kila goti litapigwa ,uwe mwanga ,nabii fek. Mchawi, Msali nusu, ajuaye Mungu yupo lkn haishi kujitanabaisha kwa jamii kua hayupo Mungu , Muhun,mwizi , kahaba. Malaya, Atheist sijui uwe nani ukoo , KWA MUNGU KILA GOTI LITAPIGWA TUU , watu tutaruka ruka weeeeee lkn Kwa Mungu kila Goti litapigwa !!
Acha kuhubiri.

Thibitisha Mungu yupo.
 
Shukrani kwa majibu.

Kwanza, kama unatumia Biblia kuja na hizo sifa, hauwezi kuchukua tatu peke yake kwa sababu sio sifa pekee za Mungu.

Namwamini Mungu mwenye sifa zilizotajwa kwenye Biblia.

Kwenye hiyo sentensi niliyokunukuu inamapungufu. Hauwezi kusema kitu kina uwezo wote kisha uweke kushindwa.

Mwisho, unasema kuna miungu wengine, unajua au unaamini kwamba wapo?

Nafikiri hapa tutapata pa kuanzia.
Mungu akiwa kaandikwa kwa sifa mia moja, ikatokea moja tu ina contradiction, 99 nyingine zikosawa, huyo Mungu tayari ana contradiction.

Unaelewa hilo?

Mungu anatakiwa asiwe na contradiction kabisa!
 
Thibitisha magic ipo.

Niroge nisije JF mwezi mzima kuanzia leo.

Magic isingekuwepo hata neno lenyewe lingekuwepo?

Hiyo kanuni ya tatu uliyoinukuu inaelewa na kutambua uwepo wa magic.

Kama unaamini haupo hautakiwi uinukuu hiyo kanuni.
 
Magic isingekuwepo hata neno lenyewe lingekuwepo?

Hiyo kanuni ya tatu uliyoinukuu inaelewa na kutambua uwepo wa magic.

Kama unaamini haupo hautakiwi uinukuu hiyo kanuni.
Nikisema Mume wa Samaritan yupo, anaitwa Juma, usiku anamkunja Samaritan kitandani.

Hilo lina maana kuna mume wa Samaritan kweli anaitwa Juma usiku anamkunja Samaritan kitandani?
 
Mungu akiwa kaandikwa kwa sifa mia moja, ikatokea moja tu ina contradiction, 99 nyingine zikosawa, huyo Mungu tayari ana contradiction.

Unaelewa hilo?

Mungu anatakiwa asiwe na contradiction kabisa!

Unachokiita wewe contradiction kinaweza maanisha kitu kingine kwa mwingine.

Kwa hiyo uandishi unaweza kufanya kitu kiwepo au kisiwepo?

Hao miungu wengine uliosema wapo, unaamini au unajua?
 
Nikisema Mume wa Samaritan yupo, anaitwa Juma, usiku anamkunja Samaritan kitandani.

Hilo lina maana kuna mume wa Samaritan kweli anaitwa Juma usiku anamkunja Samaritan kitandani?

Kuna kitu kitakachokua kimepelekea uwe na sababu za kuandika hivyo.

Mimi kama sina mume anaenikunja hainiayhiri chochote.

Lakini unachoshini kuna wanaume wenye waume wanaowakunja, hilo lipo.

Unapingana na kanuni ya tatu uliyoinukuu au haupingani nayo kuhusu uwepo wa uchawi?
 
Back
Top Bottom