42_007
JF-Expert Member
- Mar 10, 2015
- 1,561
- 825
Na ndio maana nasema mara zote Kiranga sio atheist original... Ni mkristo aliyekengeuka imani... Na ndio 'ma atheist' tulio nao JF
Hivi hawa wa aina yake wako wangapi humu...
Na ndio maana nasema mara zote Kiranga sio atheist original... Ni mkristo aliyekengeuka imani... Na ndio 'ma atheist' tulio nao JF
syllogism..."introduction to philosophical analysis"PL100
namkumbuka fundi wa falsafa udsm,Dr Adolph Mihanjo.
Mbona hutaki kujibu maswali yangu unataka yako tu?Ila kuhusu ulimwengu wa roho na suala la uchawi kubali upo usikatae
Sio sawaUmeelewa hata nilichoandika ni nini?
Wewe mwanamme, nikikuita mwanamke kwa sababu mwanamke ni mtu kama wewe nitakuwa sawa?
Uchawi ni nini?Sio sawa
Ila uchawi upo au haupo mbona haujibu unapiga chenga tu mkuu
Sasa hapa unabishana na mtu anayefanya makosa hayo kimantiki bila kujua.Aristotelian syllogism.....took me way back!
Sasa hapa unabishana na mtu anayefanya makosa hayo kimantiki bila kujua.
Halafu unamuonesha makosa yake, anazidisha ubishi!
Kuna mmoja kaanza kujiuma uma hapa kimeenda, kimepanda, kimeshuka kimeshuka.Ubishi wake ni dalili kuwa hata hicho anachokiamini [kuhusu mungu] hakielewi.
Na nimekuja kugundua wengi wao wako hivyo. Hawakielewi wanachokiamini. Hawaelewi ni kitu gani.
Kwa sababu, mtu anayeelewa imani, hususan hii ya mungu, sidhani kama ataanza kubishana kuhusu uwepo halisi wa huyo mungu.
Yaani hili suala ni jepesi mno. Halihitaji kabisa hata akili ya ziada kulielewa. Lakini hawa wenzangu na mimi humu hata pale unapowaambia kwamba wewe huna tatizo na mtu kuamini katika mungu, hawakuelewi!
Na ukileta na yale mambo ya sijui Universal Declaration of Human Rights, hususan ile article 18 [si ajabu hata hawaijui] ndo unazidi kuwachanganya kabisa.
Watu hawajiulizi kwa nini imani ni moja ya haki za msingi za binadamu hadi kutajwa kwenye hilo azimio la haki za binadamu la Umoja wa Mataifa!
Jibu ni kwamba huwezi kuzuia watu kuamini wanachotaka kuamini kwa sababu imani ni kitu ambacho hutokea kichwani mwa binadamu. Ni yale mambo anayoyafikiria kichwani mwake. Yawe ni ya ukweli au la, hiyo haijalishi sana.
Sasa kama mtu fikra zake zinamtuma kuamini kuwa ng’ombe ndiye mungu wake, mimi nawezaje kumkatalia hilo?
Fikiria, waza, amini unavyotaka kuwa ng’ombe ndiye mungu wako.
Lakini utapoanza kudai kuwa huyo ng’ombe ana uwezo huu na ule, well, hapo ndipo utapoingia kwenye 18 za wengine sasa.
Nawaunganisha wote watatu Mkuu Mshana,Samaritan na ww hilo swali hamuwezi jibu mungu kupitia jeshoua amesema jua simama na jua likasimama swali je jua lilisimama ktk vita ya jeshoua?Maoni
Mpaka sasa
Samaritan 65%
Astronomer the Great 35%
Tutaendelea
huniondoi ktk hiyo pointGod the Almighty one is great....
Ulininukuu_na jibu langu halikukulenga wewe ila ulipenda kujibiwa.Kuna mmoja kaanza kujiuma uma hapa kimeenda, kimepanda, kimeshuka kimeshuka.
Anasema anaamini hiki, kile na kingine, anauliza unataka kujua zaidi?
Nikamuuliza swali dogo tu.
Hayo yote unaamini au unajua?
Kasepa hata sijamuona kurudi.
Wewe hata hujui kamaunajua au unaamini, walatofauti ya kujua na kuamini ni nini.Ulininukuu_na jibu langu halikukulenga wewe ila ulipenda kujibiwa.
Hivyo sioni kosa langu.Na wala hukuwa na sababu ya kusema nimekukimbia.
Na kama wewe ni mwerevu ulipaswa kutambua jibu la swali nililoulizwa nimejibu vipi.!
Na kile ulichopaswa kusimamia kwenye kujenga swali lako.
Nilisema nanukuu;
"Naamini katika Mungu muweza Yote"
Hivyo hukupaswa tena kuniuliza juu ya kuamini.
Na tena nikaorodhesha sifa za huyo ninaye muamini.Ambazo ni,
Nguvu zote na udhaifu wote
Upendo wote na Ubaya wote
Akili yote na ujinga wote nk
Ni kwamba nazijua hizo sifa.
Sasa unapokuja na kuniuliza kaswali kako kakurudia nichojibu ulitaka nikujibu vipi?
Zaidi ya kushangaa welewa wako.!?
Mkuu kiranga hivi unaamin katika spiritual power like uchawi,miujiza and so?Ukiongea uponyaji, unadhihirisha Mungu hayupo.
Angekuwepo, watu wasingekuwa na ugonjwa kabisa ili kuhitaji uponyaji.
Sitaki kuamini, nataka kujua.Mkuu kiranga hivi unaamin katika spiritual power like uchawi,miujiza and so?
If yes hii inatokana na nin(nliwahi kusoma article Moja kwamba Nguvu ya miujiza tunayo wenyewe) hao wachungaji na masheikh wanatupanga tu
If no these miracles zinatokana na nin mfano mtu anamloga mtu asimdai na anasahau,etc
Hata wewe hutambui tofauti ya usiku wa kunguru na Mchana wa Popo.Wewe hata hujui kamaunajua au unaamini, walatofauti ya kujua na kuamini ni nini.
We huyo Mungu umemjuaje afu wengine tusimjue?Unagusia Mungu wa Biblia na Qur'an tu na si Beyonce n.k? Na kwanini muda wote unataja hizo sifa tu ni kama unataka kutuaminisha ya kwamba hana sifa zengine.
Kwanini haumuelezei kwenye uumbaji n.k?
Maana inawezekana humjui vizuri na ndiyo maana unasumbua tu hapa.