stardust JK
JF-Expert Member
- Jan 7, 2018
- 2,998
- 4,256
Anajidhihirisha kwenye mambo mengi tu na sio masuala ya ndotoKivipi? Utajuaje huyu ni Mungu kweli na si kulazimisha ndoto zako tu kwamba Mungu yupo?
Nataka uthibitisho ulio factually.
Kama ni ndoto tu kila mtu anaweza kuota zake.
Mfano Anaponya wagonjwa wanapoombewa