The Monk
Platinum Member
- Oct 12, 2012
- 20,646
- 47,262
Kukiwa jioni mwasema kutakuwa na kianga kwa maana mbingu ni nyekundu na asubuh mwasema leo kutakuwa na dhoruba kwa maana mbingu ni nyekundu tena kumetanda nimeshakuthibitishia uwongo wa mungu wako KULIL HAQA WAINKAANA MURRA sema ukwel ingawa unauma kanisa wenzako wamekubali kuwa mungu amedanganya watu wa zamani walivyoona jua linatembea wakijua linatembea kweli kumbe lipo limesimama na mungu akaona hivyo hajui hata mfumo wa jua halafu ndio ataweza kuumba kama kanisa limekubali ww ht ukipinga haibadilish ukweli vingnevyo maneno yako ni sawa na uchukue tani 1 za sukari uweke ktk bahari usitegemee bahari kuwa tamu
Nashukuru kwa muda wako mkuu.
Huku tunakoelekea naona kabisa ntajikuta nakuonea kwa kosa lisilo kuhusu.
Huyo Mungu unasema hayupo, hapo hapo unasema amedanganya.
Nikajua utatueleza ulivyoshuhudia akidanganya, naona unaleta habari nyingi ambazo napo umegoma kukubali kwamba unaziamini?