Kiranga sio atheist ni non-believer

Kiranga sio atheist ni non-believer

Kwa hiyo tunamwabudu Mzungu na sio Mungu tena?
Ndiyo maana yake.

Katika lugha ya Kiswahili, cha ndani, cha kwetu sisi wenyeji wa Pwani ya Afrika Mashariki, neno "Mzungu" lilitumika kabla ya kuja watu weupe.

Mzungu ni kiumbe fulani hivi cha mastaajabu na uwezo wa juu wa siri kama uchawi, umalaika, au uMungu katika imani zetu za asili zak uamini miungu wengi.

Sasa Wazungu walivyokuja na sayansi zaoza ajabu, tukaamini hawa ndio mizungu wenyewe.

Ndiyo mwanzo wa jina la Mzungu kupewa watu weupe.

Tuliamini wazungu ni miungu, na mpaka leo tunaamini hivyo kupitia dini walizotuletea.

Hapa wameandika kwa uchache sana, ukitafuta habari zaidi utaona ninyosema mimi.

mizungu - Swahili-English Dictionary
 
Mkuu hiyo 2184 ni balaa yaan mtu mwenye kuamini mungu akaisoma akatafakari uhuni,ubabe wa watu,dhuluma akalinganisha yanaendelea duniani hana haja ya kupoteza muda kwenda kanisani au msikitini kuomba msaada inaonyesha totally mungu hayupo na ndio hakuna msaada wake
Kwani nani anasali Talawei saa hizi.!?

Au nani katoka kwenye Misa saa hii.!?

Kuamini Mungu ni suala Binafsi ila tunaweza kushea ukipenda.

Ivi tena ni kwanini Mnapenda kumhusisha Mungu na Makusanyiko kama Hayo!Mnayoita Makanisa na Misikiti?

Kwani ni lazima mtu aende kanisani au msikitini ili kujifunza juu ya uwepo wa Mungu.

Wakati mnajenga hoja jaribuni kukwepa kuinasibisha na pande hizo, kidogo mtaeleweka.
 
Kwani nani anasali Talawei saa hizi.!?

Au nani katoka kwenye Misa saa hii.!?

Kuamini Mungu ni suala Binafsi ila tunaweza kushea ukipenda.

Ivi tena ni kwanini Mnapenda kumhusisha Mungu na Makusanyiko kama Hayo!Mnayoita Makanisa na Misikiti?

Kwani ni lazima mtu aende kanisani au msikitini ili kujifunza juu ya uwepo wa Mungu.

Wakati mnajenga hoja jaribuni kukwepa kuinasibisha na pande hizo, kidogo mtaeleweka.
Kanisani na msikitini ndipo mahala ambapo kwa urahisi mungu anaongolewa na kuhubiriwa mafundisho yake pia ndipo mahala anapoabudiwa hivyo huwezi tenganisha mungu na kanisa au msikiti ukipinga hayo unajidanganya au ulitaka mungu akaongelewe ktk uwanja wa mpira?
 
Mkuu hiyo 2184 ni balaa yaan mtu mwenye kuamini mungu akaisoma akatafakari uhuni,ubabe wa watu,dhuluma akalinganisha yanaendelea duniani hana haja ya kupoteza muda kwenda kanisani au msikitini kuomba msaada inaonyesha totally mungu hayupo na ndio hakuna msaada wake
Ila kuna kitu wanasaikolojia wanakiita "cognitive dissonance" kiposana katika imani ya Mungu.

Hata mtu akiona ushahidi wote kwamba Mungu hayupo, anaweza kutengeneza sababu za kujisahaulisha tu.

Ni kama mwanamke aliyemfumania mumewe na kimada waziwazi, halafu mumewe anamtungia hadithi ya uongo tu kwamba huyu mwanamke yumo chumbani kufagia tu, sikimada.

Halafu mke kwa sababu ya mapenzi, anajiaminisha kwamba mumewe anasema ukweli.

Si kwamba ni mjinga sana, hataki kujua ukweli, anaona bora uongo mtamu kuliko ukweli mchungu.

Sababu moja watu wanaamini uwepowa Mungu ni uongo mtamu.

Jambo lolote likienda vibaya utaomba Mungu akusaidie, hata asipokusaidia, dhamana ya mwisho ya dunia ni yake, si yetu.

Kukataa kuwepo kwa Mungu ni ukweli mchungu.

Dunia ikilipuliwa na nyuklia, ni mzigowetu, Mungu hayupo.

Tutkikosa mvua na kuharibu mazingira kwa global warming na rising sea levels, ni tatizo letu, Mungu hayupo.

Watu wengi wanaona, ni bora uongo mtamu, kuliko ukweli mchungu.
 
Kanisani na msikitini ndipo mahala ambapo kwa urahisi mungu anaongolewa na kuhubiriwa mafundisho yake pia ndipo mahala anapoabudiwa hivyo huwezi tenganisha mungu na kanisa au msikiti ukipinga hayo unajidanganya au ulitaka mungu akaongelewe ktk uwanja wa mpira?
Kumbe ndio maana inakuwa ngumu kuelewana.

Sawa sikatai ni mtazamo wako.
 
Kumbe ndio maana inakuwa ngumu kuelewana.

Sawa sikatai ni mtazamo wako.
Sawa mkuu kumbuka kila maneno yana mahala pake ndio maana kulikuwa na mjadala serikali ilitaka nyumba za ibada zikae mbali na makazi ya watu maana zimekuwa kero kwa makelele
 
Sawa mkuu kumbuka kila maneno yana mahala pake ndio maana kulikuwa na mjadala serikali ilitaka nyumba za ibada zikae mbali na makazi ya watu maana zimekuwa kero kwa makelele
Hilo la serikali na wananchi wake sidhani kama ni jambo kubwa kwangu..ni vile watakavyo ona ni sahihi kwao ni sawa Tu.

Nilichojaribu kupendekeza nadhani kinaeleweka, na mimi si wa kwanza kuliona hilo.

Kikubwa ni kwamba mnapojenga Hoja juu ya kupinga uwepo wa Mungu

Basi na msiishie kufikiria kwa uchache kwamba wote mnaojadiliana nao ni wakristo na waislam.
 
Hilo la serikali na wananchi wake sidhani kama ni jambo kubwa kwangu..ni vile watakavyo ona ni sahihi kwao ni sawa Tu.

Nilichojaribu kupendekeza nadhani kinaeleweka, na mimi si wa kwanza kuliona hilo.

Kikubwa ni kwamba mnapojenga Hoja juu ya kupinga uwepo wa Mungu

Basi na msiishie kufikiria kwa uchache kwamba wote mnaojadiliana nao ni wakristo na waislam.
Mungu tunayemzungumza hapa hatumjadili kwa kulalia upande wa dini,

Tunamjadili kutokana na sifa zake ambazo ni mjuzi wa yote,ana upendo wote na uwezo wote.

Sasa kama una Mungu mwingine ambae ni tofauti na mwenye sifa hizo tajwa naomba umtaje hapa na sifa zake ili tumjadili,

Hata kama ni Beyonce ama Maradona ndio Mungu wako tuambie,

Ila usisahau tu kutuwekea sifa zake.

Kwa sababu kinachotambulisha na kutofautisha kitu kimoja na kingine ni sifa zao.

Tuambie, Mungu wako wewe ni yupi ana sifa zipi!?
 
Ukiwa na imani kubwa au ndogo kuhusu Mungu, kama hayupo hayupo, kama yupo yupo, imani haibadilishiukweli.

Wewe hata ukiwa na imanikubwa vipi kwamba wewe sasa hivi ni Jeff Bezos, bilionea mkubwa wa dunia, imani hiyo,kamaweweni Nyangema wa kitaa kwetu tu, haikufanyi uwe Jeff Bezos.

Ndiyo maana mimi najikita katika facts, imani unaruhusiwa hata wewe kuamini kwamba ni Mungu.

Lakini, hilo halikufanyiuwe Mungu.

Let's talk facts.
Hii![emoji15] [emoji15]

We unajielewa kweli? au ndiyo umekariri maneno unayaimba tu popote?
 
Hii![emoji15] [emoji15]

We unajielewa kweli? au ndiyo umekariri maneno unayaimba tu popote?
Kama sijielewi,huo ni ushahidi kwamba Mungu mjuzi wa yote, mweye uwezo wote na upendo wote hayupo.

Angekuwepo, asingeumba dunia mabayo inaweza kuwa na kiumbe wake hajielewi.
 
Utadhibitishaje kitu kisichoonekana kwa macho..
Ni kama upepo huwezi kuuona ila unauhisi
Sijasema nipe picha ya Mungu.

Unaelewa kwamba katika hesabu na falsafa watu wanathibitisha vitu visivyoonekana kwa macho?

Unaelewa kwamba huo upepo unaousema hauonekani kwa macho watu wanaupima, wanauchorea ramani, wanautabiri, mpakawanasemakeshokutakuwa na kimbunga hapa, msipite na ndege?

Unaelewa hilo?

Unaelewa kwamba watu wanapima upepo unaelekea wapi, una kasi gani?

How are winds measured?
 
Kama kawaida mzee wa kuescape maswali[emoji16]
Weka jibu mkuu
Mungu yupi unayemuulizia?

Mwenye tabia gani?

Usitake nijibu swali halafu nikikuuliza swali gani unitake niulize swali mwenyewe kwa niaba yako, nikisema siwezi kuuliza swali lako useme nimekwepa swali, ambalo ni lako kwangu, lakini hutaki kuniuliza, unataka nijiulize mwenyewe.

Swali lako kwangu, hutaki kuniuliza, unataka nijibu, lakinikwanza nijiulize mwenyewe,wakati swali lako kwangu.

Mungu gani? Mwenye tabia gani?

Maana kuna watu wanasema Beyonce Mungu wao, kwa mianjili ya kuuza album milioni 17.

Hao nilishasema siwezi kubishana nao. Mungu wao (kwa muktadha huo) Beyonce yupo, hata mimi nyumbani nina Bluray yake.
 
Sijasema nipe picha ya Mungu.

Unaelewa kwamba katika hesabu na falsafa watu wanathibitisha vitu visivyoonekana kwa macho?

Unaelewa kwamba huo upepo unaousema hauonekani kwa macho watu wanaupima, wanauchorea ramani, wanautabiri, mpakawanasemakeshokutakuwa na kimbunga hapa, msipite na ndege?

Unaelewa hilo?

Unaelewa kwamba watu wanapima upepo unaelekea wapi, una kasi gani?

How are winds measured?
Kama jinsi huo upepo wanavyouchora na kuupima na Mungu nae ni hivyohivyo anajidhihirisha kwa baadhi ya watu wanahisi uwepo wake
 
Kama jinsi huo upepo wanavyouchora na kuupima na Mungu nae ni hivyohivyo anajidhihirisha kwa baadhi ya watu wanahisi uwepo wake
Kivipi? Utajuaje huyu ni Mungu kweli na si kulazimisha ndoto zako tu kwamba Mungu yupo?

Nataka uthibitisho ulio factually.

Kama ni ndoto tu kila mtu anaweza kuota zake.
 
Mungu yupi unayemuulizia?

Mwenye tabia gani?

Usitake nijibu swali halafu nikikuuliza swali gani unitake niulize swali mwenyewe kwa niaba yako, nikisema siwezi kuuliza swali lako useme nimekwepa swali, ambalo ni lako kwangu, lakini hutaki kuniuliza, unataka nijiulize mwenyewe.

Swali lako kwangu, hutaki kuniuliza, unataka nijibu, lakinikwanza nijiulize mwenyewe,wakati swali lako kwangu.

Mungu gani? Mwenye tabia gani?

Maana kuna watu wanasema Beyonce Mungu wao, kwa mianjili ya kuuza album milioni 17.

Hao nilishasema siwezi kubishana nao. Mungu wao (kwa muktadha huo) Beyonce yupo, hata mimi nyumbani nina Bluray yake.
Mungu waliyekua wanamuabudu wazee wa zamani kabla ya kuja wazungu au waarabu
 
Mungu waliyekua wanamuabudu wazee wa zamani kabla ya kuja wazungu au waarabu
Ambaye tabia zakeni zipi? Mungu anatajwa kwa characteristics.

Wa Biblia na Quran ana ujuzi wote, uwezo wote na upendo wote.

Ukisema waliyekuwa wanamuabudu wazee wa zamani kabla ya kuja wazungu na Waarabu bila kutaja tabia zake, inaonekana hata wewe mwenyewe huamini wala kujua kwamba yupo/ alikuwepo.
 
Back
Top Bottom