Kiranga sio atheist ni non-believer

Kiranga sio atheist ni non-believer

Hivi nikikuuliza kanisa ni nini utanijibu kitu gani? Unazungumzia kanisa lipi kwanza. Mie sijataja hayo mambo ya kanisa ndio maana nilikua nakuuliza mara mbilimbili, Mungu amedanganya? Unajibu amedanganya.

Jambo la kwanza, umeamua kuamini habari za kanisa kuomba msamaha na kuzitumia kama utetezi wako kwamba Mungu kadanganya lakini hauziamini habari za kanisa hilo hilo zinazosema Mungu yupo.

Nakuuliza tena wewe uliyejitanabaisha kwamba Mungu kadanganya, unaweza kuthibitisha kwamba amedanganya?
Kanisa limeshakiri kosa wakatengua hukumu ww huna mamlaka juu ya kanisa maneno yako ni sawa na tani 1 za sukari uweke ktk bahari usitegemee bahari kuwa tamu
 
Hujathibitisha Mungu yupo.

Unalazimisha hoja tu.
Mungu anathibitishwa kwa Mtu mwenye Akili.wewe una Akili.?

Na silazimishi Hoja, uliniambia mpaka nikajifunze Hesabu kwanza, Na mimi sio mtaalamu wa Hesabu.

Hivyo sina haja ya kujua Mungu hayupo_ni Mpaka nijue Hesabu. na Mimi mpango wa kuzijua Sina Kabisa.

Hivyo Hoja sina,nitajadili nini sasa.
 
Mungu anathibitishwa kwa Mtu mwenye Akili.wewe una Akili.?

Na silazimishi Hoja, uliniambia mpaka nikajifunze Hesabu kwanza, Na mimi sio mtaalamu wa Hesabu.

Hivyo sina haja ya kujua Mungu hayupo_ni Mpaka nijue Hesabu. na Mimi mpango wa kuzijua Sina Kabisa.

Hivyo Hoja sina,nitajadili nini sasa.
Hujathibitisha Mungu yupo.
 
Hahaha, ndiyo maana ukiwabana wanakimbiliakusema "tafsiri".
Tena watazunguka zunguka bila ya majibu kwakuwa vitabu vina makosa kitabu cha genesis kibovu kweli watu wanageuka mpaka chumvi watu mpaka leo wanaamini hadith za uongo kama hizo
 
Tena watazunguka zunguka bila ya majibu kwakuwa vitabu vina makosa kitabu cha genesis kibovu kweli watu wanageuka mpaka chumvi watu mpaka leo wanaamini hadith za uongo kama hizo
Eti Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote, kapanga mpango.

Halafu kachukizwa na mpango wake ulivyoenda, kaghadhibika.

Sasa huyu Mungu yeye tumeambiwa anajua yote, maana yake alijua mpango utakavyoenda kabla haujaenda hivyo, sasa anachukizwa vipi? Anapataje ghadhabu?

Ghadhabu niudhaifu wetu watu, hatuna control na mazingira, hatujui yajayo, huyu Mungu mwenye control yote na kujua yote ghadhabu anaanzaanzaje kuipata?

Hapo hapo unaambiwa akawaadhibu watu, kanyesha gharika dunianzima ikajaa maji.

Wakafa watu na wanyama. Watu wakubwa kwa watoto. Kwa mkosa ya wachache wote kawaua.

Sasa mbona Mungu huyu anakuwa muonevu hivyo, kaua mpaka watoto, kwa makosa ya wazazi wao.

Kaua mpaka wanyama, kwa makosa ya watu.

Halafu unaambiwa huyo niMungu wa upendo mkuu na haki kuu.

Ujinga mwanzo mwisho.
 
Eti Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote, kapanga mpango.

Halafu kachukizwa na mpango wake ulivyoenda, kaghadhibika.

Sasa huyu Mungu yeye tumeambiwa anajua yote, maana yake alijua mpango utakavyoenda kabla haujaenda hivyo, sasa anachukizwa vipi? Anapataje ghadhabu?

Ghadhabu niudhaifu wetu watu,hatuna control na mazingira,hatujui yajayo,huyu Mungu mwenye control yote na kujua yote ghadhabu anaanzaanzaje kuipata?

Hapo hapo unaambiwa akawaadhibu watu, kanyesha gharika dunianzima ikajaa maji.

Wakafa watu na wanyama. Watu wakubwa kwa watoto. Kwa mkosa ya wachache wote kawaua.

Sasa mbona Mungu huyu anakuwa muonevu hivyo, kaua mpaka watoto, kwa makosa ya wazazi wao.

Kaua mpaka wanyama, kwa makosa ya watu.

Halafu unaambiwa huyo niMungu wa upendo mkuu na haki kuu.

Ujinga mwanzo mwisho.
Yaan hata sijui kwann kwa karne hii mtu anashindwa kuyaona hayo
 
Yaan hata sijui kwann kwa karne hii mtu anashindwa kuyaona hayo
Ni kweli.

Huko zamani unaweza kusema ni karne za giza, watu hata kusoma walikuwa hawajui.

Leo hii eti mtu anatembea na libraries zote za dunia mkononi kwenye smartphone yenye internet, anajua Kiingereza -wasiojua Kingereza nawasamehe, hawana access na maandishi mengi sana- kijana, halafu anakubali haya mauzauza?

Kwa nini?
 
Kanisa limeshakiri kosa wakatengua hukumu ww huna mamlaka juu ya kanisa maneno yako ni sawa na tani 1 za sukari uweke ktk bahari usitegemee bahari kuwa tamu

Kwa kuwa unaloliita kanisa limeomba limeomba msamaha ndio Mungu kadanganya.

Hilo hilo kanisa likisema Mungu yupo utaliamini?

Narudia tena thibitisha kwamba Mungu amedanganya, haya ni maneno uliyoyasema wewe. Sihitaji kubadili bahari kuwa tamu. Nahitaji uthibitisho wako kwamba Mungu kadanganya.
 
Ni kweli.

Huko zamani unaweza kusema ni karne za giza, watu hata kusoma walikuwa hawajui.

Leo hii eti mtu anatembea na libraries zote za dunia mkononi kwenye smartphone yenye internet, anajua Kiingereza -wasiojua Kingereza nawasamehe, hawana access na maandishi mengi sana- kijana, halafu anakubali haya mauzauza?

Kwa nini?
Kaka mkuu Kiranga majibu ya hitimisho lako laweza kuwa kulekule,

Cognitive dissonance!!


Imagine kama mtu ananishangaa eti mimi mwenye jina la Emmanuel kuyakataa haya maandishi potofu ya kwenye vitabu vya dini,unategemea nini kwake iwapo kazaliwa na kukulia kwenye mazingira hayohayo ya kuitwa John, Musa, Mohammed, Ismail, Mariam, Ashura n.k!?

Obviously hapa wengi wao hata wakiujua ukweli kuwa wanadanganywa watabakia na msimamo wao tu wa kukumbatia uongo kisa walishazoea kila wikiendi kwenda makanisani na misikitini!!
 
Kaka mkuu Kiranga majibu ya hitimisho lako laweza kuwa kulekule, Diginitive dissonance.

There is a huge cognitive dissonance in the God belief.

Yani mtu kakua maisha yake yote yanazunguka imani ya Mungu.

Familia yake imesimama kwa ajili ya imani ya Mungu, mfumo wake wa mazuri na mabaya unaongozwa na imani ya Mungu, mahusiano yake na wengine yanaongozwa na imani ya kuwepo Mungu.

Halafu mara paap, unamuonesha wazi kabisa Mungu hayupo, mpaka mwenyewe anaona.

Lakini kwa sababu ya utamaduni ambao maisha yake yamejengeka kuufuata, hata akiona ukweli wako haupingiki, anaweza kufanya mawili.

1. Anakuletea timbwili tu la ubishi wa kinazikama Simba na Yanga. Hata umuoneshe ushahidi gani anakuletea uzushi tu, atakwambia uzushi wa tafsiri, uzushi wa free will, uzushi wa mbingu, uzushiwa wewe huwezi kumuelewa Mungu, uzushi wowote ule ili mradi akufunike tu.

2. Atakwambia mimisijali chochote ndiyo nishaamua kuamini Mungu yupo na huondiyo mwisho wa story.

Sasa bora hata huyo wa fungu la pili, kamasuala ni imani tu hata mimi natetea haki yake ya kuamini anavyotaka hata kama siikubali imani yake.

Huyo wa fungu lakwanza anavyojishebedua anachefua.
 
Ni kweli.

Huko zamani unaweza kusema ni karne za giza, watu hata kusoma walikuwa hawajui.

Leo hii eti mtu anatembea na libraries zote za dunia mkononi kwenye smartphone yenye internet, anajua Kiingereza -wasiojua Kingereza nawasamehe, hawana access na maandishi mengi sana- kijana, halafu anakubali haya mauzauza?

Kwa nini?
Unatuambia watu waliamini Mungu kwa ujinga uliyokuwepo huko nyuma,ila tena wewe unashangaa kwanini watu bado wanaendelea kuamini Mungu hadi sasa na sio zama za ujinga!!

Ngoja nikupe jibu kutokana na huo mtazamo wako wa kuhusu ujinga,ni kwamba hakuna zama ambayo haina ujinga hata sasa tuna ujinga wa mambo kibao hivyo ndiyo maana basi watu wanaendelea kuamini Mungu.

Na tutaendelea kuamini Mungu maadamu ujinga hautokoma.
 
Kwa kuwa unaloliita kanisa limeomba limeomba msamaha ndio Mungu kadanganya.

Hilo hilo kanisa likisema Mungu yupo utaliamini?

Narudia tena thibitisha kwamba Mungu amedanganya, haya ni maneno uliyoyasema wewe. Sihitaji kubadili bahari kuwa tamu. Nahitaji uthibitisho wako kwamba Mungu kadanganya.
Kukiwa asubuh mwasema leo kutakuwa na kianga kwa maana mbingu nyekundu tena kumetanda huweleweki mkristo anayepinga kanisa nenda kabadilishe hukumu kama unaweza kama huwezi maneno yako hayana faida
 
Unatuambia watu waliamini Mungu kwa ujinga uliyokuwepo huko nyuma,ila tena wewe unashangaa kwanini watu bado wanaendelea kuamini Mungu hadi sasa na sio zama za ujinga!!

Ngoja nikupe jibu kutokana na huo mtazamo wako wa kuhusu ujinga,ni kwamba hakuna zama ambayo haina ujinga hata sasa tuna ujinga wa mambo kibao hivyo ndiyo maana basi watu wanaendelea kuamini Mungu.

Na tutaendelea kuamini Mungu maadamu ujinga hautokoma.
Nimeeleza hapo juu kwamba kamawatu wengi Kiingereza tu kinawapiga chenga, na Kiingereza ndiyo lugha ambayo hoja nyingi za kuonesha Mungu hayupo zimeandikwa, then siwezi kushangaa watu wengi wasiojua Kiingereza na hata wale wazee waliojua Kiingereza lakini wamekulia mfumowa kuamini Mungu wakiendelea kuamini Mungu.

Sasa mtu utataka asome insha ya Bertrand Russell ya "Why I am Not A Christian" wakati Kiingereza hajui? Au utataka asome kitabu cha Dawkins "The God Delusion" wakati Kiingereza hajui?

Ila, kizazi cha kuhoji kinavyozidi kushika hatamu, ndivyo uongo huu utakavyozidi kujulikana.
 
Kukiwa asubuh mwasema leo kutakuwa na kianga kwa maana mbingu nyekundu tena kumetanda huweleweki mkristo anayepinga kanisa nenda kabadilishe hukumu kama unaweza kama huwezi maneno yako hayana faida

We jamaa kwani tatizo liko wapi?
Hivi unafikiria nilikua nakuuliza mara nyingi unihakikishie maneno yako kwamba Mungu amedanganya bure?
Kwa hiyo hauwezi kuthibitisha ulichokisema kwamba Mungu kadanganya?

Nasita kutumia neno unaamini kwako, umejuaje kama mie ni mfuasi wa hilo kanisa lililoomba msamaha hadi kulazimisha kwamba maneno yangu hayabadili chochote. Jikite kwenye swali nnalokuuliza.

Thibitisha kwamba Mungu amedanganya.
 
Nimeeleza hapo juu kwamba kamawatu wengi Kiingereza tu kinawapiga chenga, na Kiingereza ndiyo lugha ambayo hoja nyingi za kuonesha Mungu hayupo zimeandikwa, then siwezi kushangaa watu wengi wasiojua Kiingereza na hata wale wazee waliojua Kiingereza lakini wamekulia mfumowa kuamini Mungu wakiendelea kuamini Mungu.

Sasa mtu utataka asome insha ya Bertrand Russell ya "Why I am Not A Christian" wakati Kiingereza hajui? Au utataka asome kitabu cha Dawkins "The God Delusion" wakati Kiingereza hajui?

Ila, kizazi cha kuhoji kinavyozidi kushika hatamu, ndivyo uongo huu utakavyozidi kujulikana.
Kwahiyo tatizo limekuwa ni kiingereza tena kwamba watu hawajui kiingereza?
na ni watu wa wapi hasa unaowakusudia hapa Kiranga ambao hawajui kiingereza?
 
We jamaa kwani tatizo liko wapi?
Hivi unafikiria nilikua nakuuliza mara nyingi unihakikishie maneno yako kwamba Mungu amedanganya bure?
Kwa hiyo hauwezi kuthibitisha ulichokisema kwamba Mungu kadanganya?

Nasita kutumia neno unaamini kwako, umejuaje kama mie ni mfuasi wa hilo kanisa lililoomba msamaha hadi kulazimisha kwamba maneno yangu hayabadili chochote. Jikite kwenye swali nnalokuuliza.

Thibitisha kwamba Mungu amedanganya.
Kanisa limeshathibitisha kuwa Gallileo alikuwa right ndio maana wakaomba msamaha ukijifanya hiyo habari huijuhi me sio langu kalishtaki kanisa vingnevyo maneno yako sawa uweke tani 1 ya sukari ktk bahari usitegemee bahari iwe tamu
 
Kwahiyo tatizo limekuwa ni kiingereza tena kwamba watu hawajui kiingereza?
na ni watu wa wapi hasa unaowakusudia hapa Kiranga ambao hawajui kiingereza?
Kiingereza = access to a lot of information on the subject.

Sasa tunataka kujadiliana kuhusu uwepo wa Mungu na watu ambao hata Kiingereza ni cha manati,ni sawa sawa na utake kusolve hesabu za string theory, wakati hata kujumlisha hujui.
 
Kuupa huo mwanzo consciousness au kutoupa kabisa, tena kwa kulazimisha kana kwamba mtu ana uhakika ulio dhahiri, hayo ni makosa tena makubwa. Kwa sababu hakuna aliye na uhakika wa dhahiri kama huo mwanzo ni conscious being au la!

Mr. Kiranga , mimi binafsi (na wengine pengine) nafurahia sana ninapoona comment zako (Kama hiyo) kwa maana najifunza mambo mapya mengi.

Kwa mantiki hiyo, naomba walau kidogo utoe darasa kuhusu cause and effect. Ki ukweli mimi bado dhana hii sijaielewa vizuri, hivyo nakuomba utuelekeze angalau kidogo. Nadhani free minded wote wanakubaliana na hili.

Mengine yanaweza kujulukana vizuri zaidi kwa kusoma kutokavyanzo mbalimbali zaidi.

Unaambiwa muda ni kitu cha kufikirika zaidi, ukizama kwenye vitu vya msingi kabisa kwenye ulimwengu kwenye kwanta huko, muda haupo

Nukuu

Quantum Time – Exactly What Is Time?

Any theory of quantum gravity has to deal with the inherent incompatibilities of quantum theory and relativity, not the least of which is the so-called “problem of time” – that time is taken to have a different meaning in quantum mechanics and general relativity. This is perhaps best exemplified by the Wheeler-DeWitt equation, devised by John Wheeler and Bruce DeWitt back in the 1970s. Their attempt to unify relativity and quantum mechanics resulted in time essentially disappearing completely from their equations, suggesting that time does not exist at all and that, at its most fundamental level, the universe is timeless. In response to the Wheeler-DeWitt equation, some have concluded that time is a kind of fictitious variable in physics, and that we are perhaps confusing the measurement of different physical variables with the actual existence of something we call time.
 
Back
Top Bottom