Kiranga sio atheist ni non-believer

Kiranga sio atheist ni non-believer

Chromosomes 23 za mbegu ya baba plus chromosomes 23 yai la mama jumla 46 nikatokea mimi
Kwahiyo zilijiweka tu hapo ndio ukatokea wewe? Guy you must be kidding
Hujui wewe wa leo sio yule wa juzi na sio ile mimba?
Mchakato wa mpaka mtoto anazaliwa ni kitu kikubwa tofauti na unavyodhani wewe
 
[emoji1] [emoji1] hawa watu wanatuumiza kichwa tuh hawana hoja ya msingi...akija mtu anaye jua biblia fresh afu na sis tukaleta quran tunawamaliza
Wala mbona ni weupe sana hawa... Wanazunguka tu hapo walipo... Ukiwashika pabaya wanakimbilia kukuwekea links za wazungu... Sasa unashangaa hii link ndio uhalisia? /kwahiyo nao ni wafuasi kama walivyo wafuasi wengine tuu
 
Kwahiyo zilijiweka tu hapo ndio ukatokea wewe? Guy you must be kidding
Hujui wewe wa leo sio yule wa juzi na sio ile mimba?
Mchakato wa mpaka mtoto anazaliwa ni kitu kikubwa tofauti na unavyodhani wewe
Nimeshakujibu tayari hayo mengne yako uliza lingne
 
Amkeni nyinyi. Mbona hamjitambui?
Hivi mzungu kama kweli anakupenda h atakupa biblia?. Ndio maana inagawiwa kama njugu hadi vijijini. Mmeshindwa kujua maana ya maisha, mnapata kasumba. Mmelishwa takataka junk foods, pharmaceutical drugs, mnajali maghorofa na magari kuliko living beings. Thats why mnaugua cancer na kisukari ambazo ni just symptoms za takataka mlizolishwa, mmedanganywa juu ya ebola,bangi,hiv,global warming na mambo mengine feki na vyombo vya habari ndio kichocheo. Amkeni waafrika. Pineal gland yenu imetekwa, thats why hamjui mpinge kipi na msapoti kipi. Vitabu vya kweli si biblia wala quran. Vitabu na elimu ya kweli vimefichwa na babilon. The church is just faking. Wewe kama huamini baki kama ulivyo sio lazima unielewe.

Mtu aliwekwa na mother nature kwa ajili ya dunia ni mtu mweusi (an african) na vyote alivyonavyo vi sawa ndio mana hadhuriki kirahisi.
Sasa hivyo vitabu kwanini vifichwe na sio kuchomwa moto vikapotea kabisa?
 
Simba anahusikaje na njia!? Bado unazidi kupotoka... Kwa tafsiri yako njia yenye simba basi haifai kupita... Hii ndio tafsiri yako
Sasa kwa tafsiri yako hii utamshauri atumie mbinu kupita au utamshauri abadili njia? Kama hakuna mbadala je? Aahirishe safari mpaka simba atakapoondoka? Kwani hiyo njia ni uchochoro na simba ni jabali? Tuwe tunaenda na mifano yenye kuakisi uhalisia na sio kujiandikia tu
Huwezi kuelewa huo mfano kwakuwa hutaki kuishughulisha akili yako unapenda mteremko mm maswali yako najibu ww yng hutaki kujibu unazunguka zunguka kama circular motion maelezo mengi pointless nimekuuliza kwann mtu wa kwanza aitwe adam na kwann mungu aitwe yahweh au jehovah au allah na si mfaume
 
Sasa hivyo vitabu kwanini vifichwe na sio kuchomwa moto vikapotea kabisa?

Umekuja na majibu yako tayari. Thats why hutakubali. Mtu yeyote anayetaka kufahamu jambo, atasikiliza kwanza bila bias, atafanya his own reserch na atajua asimame wapi. Hivyo ni juhudi zako binafsi.

Nikuulize tu, hivi kama biblia inayote juu ya maisha kwanini isitumike pekee kufundishia yote? Si imebeba yote yapasayo? Kwanini uitenge na elimu nyingine? Kama yafaa waweke biblia shuleni na kila mahali iweyenyewe tu.Kwakua imebeba yote.
Biblia ilipaswa ikufungue juu ya kila kitu na usitegemee other sources. Sasa wewe unasoma biblia ukitaka jambo juu ya nutrients na matibabu ya afya yako unatafuta vitabu visivyo niambie kwanini?
 
Huwezi kuelewa huo mfano kwakuwa hutaki kuishughulisha akili yako unapenda mteremko mm maswali yako najibu ww yng hutaki kujibu unazunguka zunguka kama circular motion maelezo mengi pointless nimekuuliza kwann mtu wa kwanza aitwe adam na kwann mungu aitwe yahweh au jehovah au allah na si mfaume
Pointless? Nazunguka zunguka? Napenda maswali rahisi? [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] huna haja ya kupaniki... Ukitaka kujua kwanini waliitwa hayo majina Jiulize na wewe kwanini unajiita majina uliyonayo? Kwanini wewe usiitwe majina tofauti na uliyonayo sasa
 
Pointless? Nazunguka zunguka? Napenda maswali rahisi? [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] huna haja ya kupaniki... Ukitaka kujua kwanini waliitwa hayo majina Jiulize na wewe kwanini unajiita majina uliyonayo? Kwanini wewe usiitwe majina tofauti na uliyonayo sasa
Mkuu relax ukiona umeumia japo asilimia moja upo pazuri ktk somo la akili umenirudisha zaid ya mara 4 lakn mm sijakataa tamaa ukisema hapo bdo umevurunda narudi najipanga kila napokuja narudi tena mpk tukafika muafaka tukapata jibu nikakubali you are right tatizo lako mkuu ni moja yaan ww point nzuri zote unazo ww maneno mazuri unayo ww wengne wa koment mara moja unawaona hawana kitu yaan kila kitu kizuri kipo kwako wengne hawana hiyo hali ni mbaya sana ukipeleka akili yako hivyo unazalisha grandiosity ambayo ni clinical features of mania
 
umesoma nilichokutumia kwani kimeeleza kila kitu..ebu niambie ww uumbwaji wa binadamu ukoje afu tulinganishe na screen short niliokupa..hapo tutaenda sawa
Kwa hiyo hapo ndio umejibu sperm zinazalishwa ktk mifupa ya mgongo na mapafu kama quran inavyosema
 
Aliyesema Mungu kadanganya nikamuuliza mara kadhaa akasema ndio Mungu kadanganya ni kanisa au ni wewe?

Umejinasibu hapa kwamba Mungu amedanganya, thibitisha.

Mara zote unakuja na kanisa limeomba msamaha, unataka kutuambia Mungu ndio aliomba msamaha kama hichi ndio kigezo chako cha Mungu kudanganya hapo awali?

Usilete habari nyingi. Nilishtaki kanisa kwa lipi? Umejuaje mie ni mfuasi wa hilo unaloliita kanisa?

Nikisema umeshindwa kuthibitisha kwamba Mungu amedanganya nakosea?
Kanisa limeshakubali makosa unataka nani athibitishe za kichwa cha wakristo kanisa ww ukitaka uthibitisho nenda kasome maisha Ya Gallileo vingnevyo maneno yako ni sawa na tani 1 za sukari uweke ktk bahari usitegemee bahari iwe tamu
 
Kanisa limeshakubali makosa unataka nani athibitishe za kichwa cha wakristo kanisa ww ukitaka uthibitisho nenda kasome maisha Ya Gallileo vingnevyo maneno yako ni sawa na tani 1 za sukari uweke ktk bahari usitegemee bahari iwe tamu

Umeshindwa kutetea hoja yako kwamba Mungu amedanganya.
 
Mkuu relax ukiona umeumia japo asilimia moja upo pazuri ktk somo la akili umenirudisha zaid ya mara 4 lakn mm sijakataa tamaa ukisema hapo bdo umevurunda narudi najipanga kila napokuja narudi tena mpk tukafika muafaka tukapata jibu nikakubali you are right tatizo lako mkuu ni moja yaan ww point nzuri zote unazo ww maneno mazuri unayo ww wengne wa koment mara moja unawaona hawana kitu yaan kila kitu kizuri kipo kwako wengne hawana hiyo hali ni mbaya sana ukipeleka akili yako hivyo unazalisha grandiosity ambayo ni clinical features of mania
Hapana hakuna niliposema jibu zuri ninalo mimi la sivyo tusingekuwa hapa saa hii labda hebu rudia kusoma ulichoandika kilichozaa reply yangu... Am sure tunalumbana kwa hoja na si vinginevyo
 
Aliyesema Mungu kadanganya nikamuuliza mara kadhaa akasema ndio Mungu kadanganya ni kanisa au ni wewe?

Umejinasibu hapa kwamba Mungu amedanganya, thibitisha.

Mara zote unakuja na kanisa limeomba msamaha, unataka kutuambia Mungu ndio aliomba msamaha kama hichi ndio kigezo chako cha Mungu kudanganya hapo awali?

Usilete habari nyingi. Nilishtaki kanisa kwa lipi? Umejuaje mie ni mfuasi wa hilo unaloliita kanisa?

Nikisema umeshindwa kuthibitisha kwamba Mungu amedanganya nakosea?

Umeshindwa kutetea hoja yako kwamba Mungu amedanganya.
Umeshindwa kukubali kanisa ww ni mpinga kristo au masih dajjal aliyeongelewa ufunuo 13 kanisa limekubali makosa ww wapinga
 
Umeshindwa kukubali kanisa ww ni mpinga kristo au masih dajjal aliyeongelewa ufunuo 13 kanisa limekubali makosa ww wapinga

Hapa hatujadili mimi ni nani, haunijui kwanza na hiyo sio hoja.

Kama unayaamini maneno ya kanisa kama kigezo kwamba Mungu kafanganya, Je unayaamini pia kwamba Mungu yupo?

Vinginevyo haukua unaelewa uliposema Mungu AMEDANGANYA.
 
Hapa hatujadili mimi ni nani, haunijui kwanza na hiyo sio hoja.

Kama unayaamini maneno ya kanisa kama kigezo kwamba Mungu kafanganya, Je unayaamini pia kwamba Mungu yupo?

Vinginevyo haukua unaelewa uliposema Mungu AMEDANGANYA.
Watu wanaangamia kwa kukosa maarifa, Kanisa limeshabitisha kuwa wamedanganya wakakubali makosa na kama kanisa limefanya hiyo huna mamlaka juu ya kanisa vingnevyo ukipinga maneno yako ni sawa na uchukue tani 1 za sukari uweke ktk bahari usitegemee bahari iwe tamu
 
Watu wanaangamia kwa kukosa maarifa, Kanisa limeshabitisha kuwa wamedanganya wakakubali makosa na kama kanisa limefanya hiyo huna mamlaka juu ya kanisa vingnevyo ukipinga maneno yako ni sawa na uchukue tani 1 za sukari uweke ktk bahari usitegemee bahari iwe tamu

Nani aliyesema Mungu amedanganya, si ni wewe? Kukwambia uthibitishe imekua nongwa unazungukazunguka tu.

Kanisa ndio Mungu? Unamaanisha nini ukisema kanisa kwanza?

Unajua au unaamini kwamba Mungu amedanganya? Kumbuka haya maneno ni ya kwako uliyasema huko juu. Nikakuuliza, mheshimiwa, una uhakika Mungu amedanganya ukasema kadanganya, sasa nakuomba ututhibitishie, unaleta mambo ya Gallileo na kanisa.
 
Nani aliyesema Mungu amedanganya, si ni wewe? Kukwambia uthibitishe imekua nongwa unazungukazunguka tu.

Kanisa ndio Mungu? Unamaanisha nini ukisema kanisa kwanza?

Unajua au unaamini kwamba Mungu amedanganya? Kumbuka haya maneno ni ya kwako uliyasema huko juu. Nikakuuliza, mheshimiwa, una uhakika Mungu amedanganya ukasema kadanganya, sasa nakuomba ututhibitishie, unaleta mambo ya Gallileo na kanisa.
Labda umuulize kama huyo Mungu wanayepinga uwepo wake aliongea nao!
Huku ni kujikanganya kwa kipimo kisichomithilika...
Reply moja mtu anakwambia hakuna Mungu na hajawahi kuwepo reply ya pili anakwambia (huyo) kadanganya! Sasa tushike lipi? Mungu yupo ila kadanganya ama.. Mungu hayupo kabisa?

Well tuchukue Nadharia ya kuwepo kwa Mungu lakini kadanganya.... Kudanganya ninini? Automatically ni kutokusema ukweli.. Kwahiyo kama Mungu kadanganya kwa Muktadha huo wao, basi ukweli ni upi? Na ninani kasema huo ndio ukweli?
 
Watu wanaangamia kwa kukosa maarifa, Kanisa limeshabitisha kuwa wamedanganya wakakubali makosa na kama kanisa limefanya hiyo huna mamlaka juu ya kanisa vingnevyo ukipinga maneno yako ni sawa na uchukue tani 1 za sukari uweke ktk bahari usitegemee bahari iwe tamu
Nimejaribu sana kupata dhana ya KANISA unalozungumzia, nimekosa! Nikajaribu kukuuliza unijibu ukaishia kusema nikasome vitabu na kuingia Google! Je Google ndio trusted instrument kama source ya justification ya maelezo yako?
 
Back
Top Bottom