Amkeni nyinyi. Mbona hamjitambui?
Hivi mzungu kama kweli anakupenda h atakupa biblia?. Ndio maana inagawiwa kama njugu hadi vijijini. Mmeshindwa kujua maana ya maisha, mnapata kasumba. Mmelishwa takataka junk foods, pharmaceutical drugs, mnajali maghorofa na magari kuliko living beings. Thats why mnaugua cancer na kisukari ambazo ni just symptoms za takataka mlizolishwa, mmedanganywa juu ya ebola,bangi,hiv,global warming na mambo mengine feki na vyombo vya habari ndio kichocheo. Amkeni waafrika. Pineal gland yenu imetekwa, thats why hamjui mpinge kipi na msapoti kipi. Vitabu vya kweli si biblia wala quran. Vitabu na elimu ya kweli vimefichwa na babilon. The church is just faking. Wewe kama huamini baki kama ulivyo sio lazima unielewe.
Mtu aliwekwa na mother nature kwa ajili ya dunia ni mtu mweusi (an african) na vyote alivyonavyo vi sawa ndio mana hadhuriki kirahisi.