Hahaha duh! aisee watu sijui mna akili zinafikiria vipi, hivi mungu ambaye hajaonwa na mtu hata moja kati ya mabilioni waliowahi kuishi unakuja kulinganisha na kukosekana ushahidi mahakamani? Aisee umenichekesha, so hiyo ndo evidence yako kua mungu yupo? Basi kwa sababu hiyo tuseme thor, zeus, na greek gods wengine wote wapo maana hakuna mwenye ushahidi ila kuna watu walisema kua waliwaona.
Wabongo mmefungwa kwenye jela la dini ambalo ni la kijinga sana, mnakaa kuishi kwa kuoga wa kijinga kuogopa vitu ambavyo havipo, hahaha, toka zunguka duniani ujionee maisha, nchi ambazo population kubwa hawana dini cha kushangaza ndizo zinaongoza kwa utulivu, amani, furaha, sio bongo mnajidanganya tu. Waafrika dini zimewavuruga sana vichwa. Hamtokuja kuendelea kamwe 95% ya population mnaamini upuuzi.