tukiachana na mambo ya imani tukija kwenye masuala ya kisayansi .pia tunaeza prove uwepo wa mungu
.tukiwaambia habar za future mtasema tumejuaje mara hakuna aliekufa akarudi mara tumejuaje kua kuna mwisho wa dunia mtabisha xnaa.ila tukiwapa fact za nyuma pia mtabisha..
Ameumba kipi embu thibitisha alichoumba halafu tuone ukweli wakoMungu ninaye amini mimi ni yule muumbaji,kwahiyo hapo ndiyo tuanze kujadiliana ni vp hayupo.
Mimi sijatokea huko km umesikia habari za genetic utagundua leta uthibitisho alichoumbaAmekuumba wewe... Wewe ni kizalia na matokeo ya uumbaji uliotukuka
Hivi kwanini mmeshikilia kuthibitisha?Ameumba kipi embu thibitisha alichoumba halafu tuone ukweli wako
Haujakua,na ndiyo mana sioni tija kuendelea kujibizana nawe kwenye mambo ya msingi.Unajibizana na mimi?
Jibu pist yangu namba 1994.
Hiyo pi ikiwa kwenye decimal places 4 au decimal places 10 kunaifanya isiwe pi?
Unajuaje upeo wangu wa uelewa ambao umeuita mdogo kwamba naweza kuelewa hata huu mfano achilia mbali hizo decimal places 4 za pi?
Haukuamua kujibu swali la mfano nilioutoa mimi kitambo, na ukasema tusihusishe kiwango cha uelewa wa msomaji, wewe huyo huyo umerudi huko, haiendi hivyo.
Nauliza tena, uelewa wangu umekua kiasi cha kujibizana na wewe? Au na hili utasema haukusema?
katika quran mungu kaelezea jinsi alivyokuumba ww .kumbuka hicho kitabu ni cha kale kabla hata technoljia haijawa ..na leo hii wanasayansi wanesibitisha ukweli huo wa uumbwaji .Mimi sijatokea huko km umesikia habari za genetic utagundua leta uthibitisho alichoumba
Fact ipi sasa...nyote mna ubishi usio na tija.bhc tuachane na imani twende kwenye fact
Sifahamu hatima yangu kabla ya kuzaliwa na hata baada ya kufa.Hakuna aliyewahi kufa halafu akarudi kutuelezea palivyo.
Kwa hiyo hakuna anayejua hatima yake baada ya kufa.
Lakini nini ilikuwa hatima yako kabla ya kuzaliwa!?
Haujakua,na ndiyo mana sioni tija kuendelea kujibizana nawe kwenye mambo ya msingi.
Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote hayupo, na huwezi kuthibitisha kwamba yupo.Kwa kuwa wewe Kiranga ndio umesema nna upeo mdogo, hautajibizana na mimi mambo ya msingi, haijaleta shida lakini mbaya zaidi hatua hii kufikiwa na mtu anaejiita ana upeo mkubwa wa mambo.
Kila la kheri kwenye kutekeleza azma yako.
Nikiri kujifunza mengi kutoka kwako katika maeneo mengine lakini kwa hili, haujaonyesha uwezo wa msomi.
Unaweza kutojibizana na mimi hata kwenye mambo ambayo sio ya msingi pia.
Nimejaribu kupitia tena na tena kuina hayo unayodai ni ya msingi kwenye huu uzi, sijaona.
Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote hayupo, na huwezi kuthibitisha kwamba yupo.
Kwa sababu hayupo.
Dhana ya kuwepokwake inajipinga yenyewe na inapingwa na ulimwengu tunaouona.