zous
JF-Expert Member
- Sep 25, 2017
- 3,910
- 6,638
Yaan usije ukatolea quran kielezee uumbaji yaan hicho ndio totally shizophrenia yaan quran hata mtu alivyoumba kinaongopa
Yaan usije ukatolea quran kielezee uumbaji yaan hicho ndio totally shizophrenia yaan quran hata mtu alivyoumba kinaongopa
Nimekuuliza ni watu wa wapi ambao hawajui kiingereza? maana kutokujua kwao kiingereza hushindwa kupata maarifa mengi ambayo yapo kwenye lugha ya kiingereza na hatimaye hadi zama hizi bado wanaendelea kuamini Mungu.Kiingereza = access to a lot of information on the subject.
Sasa tunataka kujadiliana kuhusu uwepo wa Mungu na watu ambao hata Kiingereza ni cha manati,ni sawa sawa na utake kusolve hesabu za string theory, wakati hata kujumlisha hujui.
Hizo habari za uwongo sina muda nazo kama unaamini ya kweli chukua moja uje nazo hapa
Hayo mashairi hakuna la ziada hapo kitabu kina uwongo nikuthibitishiesiku nyingine usije chukulia hicho kitabu .poa...hapo mekupa screen short usome kiufupi ..sio suala la kiimani hapo ni science tupu ....na hapo yaonyesha uwezo wa mungu kwan hicho kitabu ni cha miaka iyooooooo afu watu wanakuja ku prove ukweli wake miaka hii
hayo mashair unayosema ..yamejibu na yanajibu kila swali la mwanadamu.yameandikwa karne zilizopita ila ukiyasoma utazani yameandikwa leo..acha chuki kama kweli wataka kufaham kitu bhc usikichukie kiangalie kilivyo kisha pima kama ni uwongo ama kweliMkuu quran ni mashairi hakuna kitabu mule uzuri wake ni kwa kiarabu ukitafsiri majanga matupu hawasomi wanaimba kama nyimbo
thibitishaHayo mashairi hakuna la ziada hapo kitabu kina uwongo nikuthibitishie
mie nilijua wataka kujifunza kumbe wataka kubishana bhc..[emoji1] [emoji1] hutaki mambo ya imani nakupa fact za science ambazo ndio waziamini nazo hutaki..Hizo habari za uwongo sina muda nazo kama unaamini ya kweli chukua moja uje nazo hapa
Ukisoma wassamai watwariq ktk aya zifuatazothibitisha
Quran ni mashairi na uzuri wake upo kwa kiarabu ukitafsiri majanga pale mtu anaposoma kwa kughani kwa sauti nzuri kama rasit,nahwandi,girka,bayat,siqa,ajemi, hapo ndipo mnapolewa sio msome mjue maana weng wanasoma ht maana hawajuimie nilijua wataka kujifunza kumbe wataka kubishana bhc..[emoji1] [emoji1] hutaki mambo ya imani nakupa fact za science ambazo ndio waziamini nazo hutaki..
umesoma nilichokutumia kwani kimeeleza kila kitu..ebu niambie ww uumbwaji wa binadamu ukoje afu tulinganishe na screen short niliokupa..hapo tutaenda sawaUkisoma wassamai watwariq ktk aya zifuatazo
aya ya 5 :Embu jitazame mwanadamu ameumbwa kwa kitu gani
aya ya 6:ameumbwa kwa maji yatokayo kwa kichupa
aya 7:yatokayo baina ya mifupa ya mgongo na mbavu
swali je sperm zinazalishwa ktk mifupa ya mgongo na mbavu?
Ukisoma wassamai watwariq ktk aya zifuatazo
aya ya 5 :Embu jitazame mwanadamu ameumbwa kwa kitu gani
aya ya 6:ameumbwa kwa maji yatokayo kwa kichupa
aya 7:yatokayo baina ya mifupa ya mgongo na mbavu
swali je sperm zinazalishwa ktk mifupa ya mgongo na mbavu?
haya tafsir nshakupa ya hizo aya ulizonipa..broh hicho kitabu nikikuambia kina majibu ya kila swali lako unielewe...Quran ni mashairi na uzuri wake upo kwa kiarabu ukitafsiri majanga pale mtu anaposoma kwa kughani kwa sauti nzuri kama rasit,nahwandi,girka,bayat,siqa,ajemi, hapo ndipo mnapolewa sio msome mjue maana weng wanasoma ht maana hawajui
[emoji1] [emoji1] hawa watu wanatuumiza kichwa tuh hawana hoja ya msingi...akija mtu anaye jua biblia fresh afu na sis tukaleta quran tunawamalizaHuu uzi moto kweli sijui nilikuwa wapi nikapitwa....... tikakami wa lopelope chabuso blackstarline mgen piteni huku mtoe elimu kwa hawa atheists
Kanisa limeshathibitisha kuwa Gallileo alikuwa right ndio maana wakaomba msamaha ukijifanya hiyo habari huijuhi me sio langu kalishtaki kanisa vingnevyo maneno yako sawa uweke tani 1 ya sukari ktk bahari usitegemee bahari iwe tamu
nafikiri una tatizo kubwa la kimtazamo na kiuhalisia kwenye mijadala migumu... Unaulizwa A unajibu C..... Hebu pitia usome tena nilichoandika mimi na ulichojibu wewe... Lakini pengine kwakuwa hicho ndio kiwango chako cha ufahamu kilipofikia hutaweza kuona tofautiSehemu karibia zote ambako dini zilianzia ndiko pametawaliwa na vita,mfano Israel na Palestina.
Lakini pia Damascuss (Syria), Iraq (Babeli ya zamani) na hata miaka ya hivi karibuni huko Misri.
Magaidi wa dunia wa leo hii wanaua huku wakiwa wamejificha nyuma ya dini,mfano Bokoharam, Alishabab,Ant-Baraka na Seleka kule Afrika ya kati,bila kusahau kundi la Al-qaeda.
Kusema nibadili jina langu kisa hicho ukisemacho ni sawa na kumwambia Mwanachadema aache kuishabikia Yanga kisa inatumia rangi za jezi zenye mfanano na wa rangi za Chama cha Mapinduzi,
Unasahau kuwa rangi za kijani na njano zimekuwepo hata kabla ya kuwepo kwa Yanga,Chadema na Ccm.
Kama wenye majina ya Emmanuel ndiyo wanatakiwa kuwa wafuasi wa biblia maana yake wewe hukupaswa kuwa miongoni mwa washabikia dini.
Kwa kumbukumbu zangu hakuna kitabu cha dini chenye jina Mshana Jr ndani yake.
Na kwa kuwa vitabu hivyohivyo vinavyosema maana ya Emmanuel ni hiyo uliyosema,ndiyo vimeleta contradictions za uwepo wa Mungu,basi ni ngumu kuiamini hiyo maana.
Labda utumie kitabu kingine kisicho na mkanganyiko,nami ntapima.
Simba anahusikaje na njia!? Bado unazidi kupotoka... Kwa tafsiri yako njia yenye simba basi haifai kupita... Hii ndio tafsiri yakoUkimwambia mtu njia hiyo usipite kuna simba lazima umpe njia mbadala ili aendelee na safari yake vingnevyo maneno yako hayana faida