mpatto
JF-Expert Member
- Apr 28, 2017
- 766
- 1,033
Tz mbongo ,
Mimi nadhani tufanye hivii,
Kwa sababu lengo kuu la uzi huu (hasa sisi third parties(tusio na upande)) ni kujifunza na kushare experiences, basi nitoe rai kwa wachangiaji wakuu (Kiranga , Mshana Jr et al) tujadili uwepo wa mungu bila kuegemea katika maandiko fulani ya dini fulani, kwa sababu, dini ziko nyingi na ninafikiri sio lengo la mwenye uzi ku critesize dini ya mtu!!
Mimi nadhani tufanye hivii,
Kwa sababu lengo kuu la uzi huu (hasa sisi third parties(tusio na upande)) ni kujifunza na kushare experiences, basi nitoe rai kwa wachangiaji wakuu (Kiranga , Mshana Jr et al) tujadili uwepo wa mungu bila kuegemea katika maandiko fulani ya dini fulani, kwa sababu, dini ziko nyingi na ninafikiri sio lengo la mwenye uzi ku critesize dini ya mtu!!