- Nov 14, 2010
- 2,114
- 1,386
Shemeji ambaye ni ndugu wa nanihii wangu.Asee Paw pamoja na kusoma kwa woga woga hii post yako (haikawii kuwa ya kumpa mtu ban) unamaanisha kuwa anyefanya izo mambo ni kaka yako au ndugu wa damu? hebu fanya mpango bana umtoe huko kuzimu shemeji yako na hatakusau!
Naamini kwamba mwanaume anayeinua mkono kumpiga mkewe AMEKOSA HOJA mbele ya hoja za mkewe.
Jamii kuhamasika kupinga hivi vitendo ni muhimu