Ave Ave Maria
JF-Expert Member
- Apr 22, 2011
- 10,707
- 5,682
kaka umeongea kwa hasira ila umeongea point kabisa.
KIPIPI soma hapo.
Husninyo nimesoma na nimeelewa! In what way unaeza sema kwamba huyu kaka alienda kuingilia ugomvi wa dada na shemejie? Logic ya hiyo post nimeipata but I strongly disagree unless kama wangeanza kugombana mtu na mkewe then kaka mtu akaingilia na kuanza kumbonda shemejie! Haya ugomvi ungeamuliwaje?