BPM
JF-Expert Member
- Mar 10, 2011
- 2,760
- 573
kweli umenena ukidai kitu huku unalegeza saut kamwe hupati. Aidha dada yangu mara ya mwisho aliponea amana hosp. baada mlugaruga kupiga ile mbaya hom tukamweleza kuwa tumekuonya ukaona tuna haribu basi linywe we ci alichomoka mwenyewe maana watu tumesusa hatuna muda wa kufatilia warugaruga
duh lakini chanzo cha ugomvi ni nini??