Mad Max
JF-Expert Member
- Oct 21, 2010
- 31,139
- 88,800
Wakuu.
Upi mtazamo wako kwenye bei inapokuja swala la kununua mavazi, nguo au mikoba nk?
Kuna viatu vinauzwa zaidi ya $200 (zaidi ya Tsh 500,000) wakati kiatu iko iko kwa muonekano unakipata Kariakoo kwa Tsh 50,000!
Pia kwa mikoba ya brand maarufu kama LV, Gucci, Hermes nk unakuta unauzwa hadi million kadhaa, ila unaweza kupata “mchina” kwa 0.1% ya iyo bei.
Mifano itaenelea ivyo ivyo kwa tshirts, suruali, makoti etc.
Nauliza tu, ni bora kipi, kununua mfano kiatu pair moja kwa laki 5 “OG” au kununua pair 5 rangi tofauti tofauti labda kwa elfu 50 kila moja na chenji ikabaki?
Au wenzangu uwa mnazingatia brand na authentic?
Mada haihusiani na appliances kama TV, radio, pasi, simu na electronics nyingine wala vyakula na urembo wa perfumes na mafuta.
Upi mtazamo wako kwenye bei inapokuja swala la kununua mavazi, nguo au mikoba nk?
Kuna viatu vinauzwa zaidi ya $200 (zaidi ya Tsh 500,000) wakati kiatu iko iko kwa muonekano unakipata Kariakoo kwa Tsh 50,000!
Pia kwa mikoba ya brand maarufu kama LV, Gucci, Hermes nk unakuta unauzwa hadi million kadhaa, ila unaweza kupata “mchina” kwa 0.1% ya iyo bei.
Mifano itaenelea ivyo ivyo kwa tshirts, suruali, makoti etc.
Nauliza tu, ni bora kipi, kununua mfano kiatu pair moja kwa laki 5 “OG” au kununua pair 5 rangi tofauti tofauti labda kwa elfu 50 kila moja na chenji ikabaki?
Au wenzangu uwa mnazingatia brand na authentic?
Mada haihusiani na appliances kama TV, radio, pasi, simu na electronics nyingine wala vyakula na urembo wa perfumes na mafuta.