Labda dini yakeWakuu amani iwe nanyi,
Jana Mh Rais ameteua baraza la mawaziri na miongoni wa mawaziri walioteuliwa ni aliyekuwa mkurugenzi wa kituo cha uwekezaji Tanzania Mr Geoffrey Mwambe.
Geofrey Mwambe amekuwa mkutugenzi wa TIC kwa kipindi cha miaka mitatu na katika kipindi hicho Mr Mwambe alichemka sana. Katika kipindi chake TIC ilishutumiwa sana kuzungusha wawekezaji na kuwa na ukiritimba kwenye suala zima la uwekezaji nchini mpaka kupelekea wawekezaji wengi kukimbia na nchi kukosa pesa.
Hali hii ilipelekea mpaka TIC kuhamishiwa ofisi ya Rais kwa kile kilichodaiwa kuipa ufanisi zaidi.
Swali langu: Ni kipi kimembeba mchumi huyu mpaka kuwa waziri ilihali huko TIC alichemka?
Hawakupita njia halaliKwani Mbowe ni kipi kimemfanya awaonee wivu wanawake kuingia viti maalum?
Sidhani kama unaijua visiting TIC.Wakuu amani iwe nanyi,
Jana Mh Rais ameteua baraza la mawaziri na miongoni wa mawaziri walioteuliwa ni aliyekuwa mkurugenzi wa kituo cha uwekezaji Tanzania Mr Geoffrey Mwambe.
Geofrey Mwambe amekuwa mkutugenzi wa TIC kwa kipindi cha miaka mitatu na katika kipindi hicho Mr Mwambe alichemka sana. Katika kipindi chake TIC ilishutumiwa sana kuzungusha wawekezaji na kuwa na ukiritimba kwenye suala zima la uwekezaji nchini mpaka kupelekea wawekezaji wengi kukimbia na nchi kukosa pesa.
Hali hii ilipelekea mpaka TIC kuhamishiwa ofisi ya Rais kwa kile kilichodaiwa kuipa ufanisi zaidi.
Swali langu: Ni kipi kimembeba mchumi huyu mpaka kuwa waziri ilihali huko TIC alichemka?
Uzuri ujinga wenu umepevuka kiasi kwamba CHADEMA mnailinganisha na nchi na siyo na vyama vyenzake tena. Hii inaonesha CHADEMA imewazidi akiliMbona ukiiangalia Chadema kuna watu Wana elimu kubwa na CV kubwa lakini hawapewi nafasi za Uongozi? Mfano kwenye nafasi za Uenyekiti wa Chama na mbaraza yake ukiiangalia utaona wakina Mbowe na wachaga wenzake wamejazana fuatilia elimu zao hovyo kabisa
Ukiwa na adabu, umeteuliwa, ila ukionyesha sio mnyeyekevu basi out, pili kule wabunge wakupachikwa hawana sifa, sababu mizengwee ilianzia kwenye michakato ya chama!Sidhani kama Jiwe anaangalia ufanisi wa mtu. Anaangalia kama unaweza kua remote controlled au hapana.
Wakuu amani iwe nanyi,
Jana Mh Rais ameteua baraza la mawaziri na miongoni wa mawaziri walioteuliwa ni aliyekuwa mkurugenzi wa kituo cha uwekezaji Tanzania Mr Geoffrey Mwambe.
Geofrey Mwambe amekuwa mkutugenzi wa TIC kwa kipindi cha miaka mitatu na katika kipindi hicho Mr Mwambe alichemka sana. Katika kipindi chake TIC ilishutumiwa sana kuzungusha wawekezaji na kuwa na ukiritimba kwenye suala zima la uwekezaji nchini mpaka kupelekea wawekezaji wengi kukimbia na nchi kukosa pesa.
Hali hii ilipelekea mpaka TIC kuhamishiwa ofisi ya Rais kwa kile kilichodaiwa kuipa ufanisi zaidi.
Swali langu: Ni kipi kimembeba mchumi huyu mpaka kuwa waziri ilihali huko TIC alichemka?
Hata chadema Kuna uhaba wa watu wa maana ndo maana kila siku wanaongozwa na standard zero dj Mbowe.Umesahau kuwa CCM kuna uhaba wa watu wa maana?
U-TISS tu ndo unambebaWakuu amani iwe nanyi,
Jana Mh Rais ameteua baraza la mawaziri na miongoni wa mawaziri walioteuliwa ni aliyekuwa mkurugenzi wa kituo cha uwekezaji Tanzania Mr Geoffrey Mwambe.
Geofrey Mwambe amekuwa mkutugenzi wa TIC kwa kipindi cha miaka mitatu na katika kipindi hicho Mr Mwambe alichemka sana. Katika kipindi chake TIC ilishutumiwa sana kuzungusha wawekezaji na kuwa na ukiritimba kwenye suala zima la uwekezaji nchini mpaka kupelekea wawekezaji wengi kukimbia na nchi kukosa pesa.
Hali hii ilipelekea mpaka TIC kuhamishiwa ofisi ya Rais kwa kile kilichodaiwa kuipa ufanisi zaidi.
Swali langu: Ni kipi kimembeba mchumi huyu mpaka kuwa waziri ilihali huko TIC alichemka?
Pambaneni na hali zenu, mmeachiwa madaraka yote, sasa hakuna wa kumsingizia kumcheleweshaKwani Mbowe ni kipi kimemfanya awaonee wivu wanawake kuingia viti maalum?
Je, jamaa ana exposure na dunia ya nje?!
Unajua kuna baadhi ya posts zinahitaji zaidi ya madgrii ya darasani na local experience bali exposure!!!
Hivi huyo Mwambwe anaweza kuinua simu na kumpigia Dangote na Dangote asiulie "Who? Mwambe??! Mwambe who? Come again?"
Anyway, nadhani nimeenda mbali sana!!! Hivi anaweza kuinua simu kumpigia hata Rostam Azizi?!
Ndo vile tu itakuwa ngumu lakini kama kuna Mtanzania anayeweza ku-fit hiyo position basi ni Mzee wa Msoga!!! Lakini ningekuwa JPM, hata watu kama Mwamvita Makamba wanaweza ku-fit compared na hao akina Mwambe!
Hawa watu wasio na exposure wanachoweza kufanya ni ku-attend Prospective Investors waliobisha hodi kwenye milango yao lakini sidhani kama wana ubavu wa kufanya "Investors Hunting" popote walipo duniani!!
JK pamoja na mapungufu yake mengi, alikuwa anafahamu sana nani akae wapi, na ndio maana akamvuta Julieth Kairuki ambae kabla ya uteuzi wake alikuwa kwenye banking sector huko South Africa na pia kuwa Project wa Private Public Partinership Capacity Building kwa nchi za SADC!
Kwa CV yake hiyo, tu tayari utaona Julieth kwenye mafaili yake alikuwa na orodha ya Wafanyabishara wa SADC ambao miongoni pengine alikuwa na uwezo wa kunyanyua simu na kuwapigia!
UPDATE:
Ukweli nilikuwa simfahamu kabisa huyo Mwambe lakini baada ya kuandika hayo hapo juu, nikalazimika kum-Google kidogo!!! Wallah JPM hayupo serious! Kumbe huyo jamaa kabla ya kuingia TIC alikuwa DC wa Manyoni?! Halafu ex-DC wa Manyoni ndie tulimpa dhamana ya kuvutia Foreign Direct Investment wakati hata akikutana na Diamond Platnumz tu lazima alikuwa anababaika!!!
Utani huu!!
Rais anachagua watu wa kumsaidia yeye kutekeleza ilani na aliyowaahidi watanzania. Suala la nani anajulikana wapi halina umuhimu, hata kama waziri hajulikani akishateuliwa atajulikana. Rais hachagui watu wa kupiga dili anachagua watendaji.Je, jamaa ana exposure na dunia ya nje?!
Unajua kuna baadhi ya posts zinahitaji zaidi ya madgrii ya darasani na local experience bali exposure!!!
Hivi huyo Mwambwe anaweza kuinua simu na kumpigia Dangote na Dangote asiulie "Who? Mwambe??! Mwambe who? Come again?"
Anyway, nadhani nimeenda mbali sana!!! Hivi anaweza kuinua simu kumpigia hata Rostam Azizi?!
Ndo vile tu itakuwa ngumu lakini kama kuna Mtanzania anayeweza ku-fit hiyo position basi ni Mzee wa Msoga!!! Lakini ningekuwa JPM, hata watu kama Mwamvita Makamba wanaweza ku-fit compared na hao akina Mwambe!
Hawa watu wasio na exposure wanachoweza kufanya ni ku-attend Prospective Investors waliobisha hodi kwenye milango yao lakini sidhani kama wana ubavu wa kufanya "Investors Hunting" popote walipo duniani!!
JK pamoja na mapungufu yake mengi, alikuwa anafahamu sana nani akae wapi, na ndio maana akamvuta Julieth Kairuki ambae kabla ya uteuzi wake alikuwa kwenye banking sector huko South Africa na pia kuwa Project wa Private Public Partinership Capacity Building kwa nchi za SADC!
Kwa CV yake hiyo, tu tayari utaona Julieth kwenye mafaili yake alikuwa na orodha ya Wafanyabishara wa SADC ambao miongoni pengine alikuwa na uwezo wa kunyanyua simu na kuwapigia!
UPDATE:
Ukweli nilikuwa simfahamu kabisa huyo Mwambe lakini baada ya kuandika hayo hapo juu, nikalazimika kum-Google kidogo!!! Wallah JPM hayupo serious! Kumbe huyo jamaa kabla ya kuingia TIC alikuwa DC wa Manyoni?! Halafu ex-DC wa Manyoni ndie tulimpa dhamana ya kuvutia Foreign Direct Investment wakati hata akikutana na Diamond Platnumz tu lazima alikuwa anababaika!!!
Utani huu!!
Sidhani kama unaijua visiting TIC.
Godfrey Mwambe Amefanya reform kubwa sana pale TIC-Actually ataisaidia TIC akiwa Bungeni akishirikiana na Prof Mkumbo kwa sababu TIC ilionekana kama inakosesha TRA mapato kitu ambacho ni kunyume na Nia na sababu za uanzishwaji wa TIC.
Jamaa anaamini anachokijua na anakitetea.
Alipishana sana na TRA kuhusu kufunga makampuni kwa ajili ya kodi za zamani!
Huyu atasaidia kutengeneza mazingira Rafiki ya Biashara na viwanda.
He is a very right choice
Kwani Mbowe ni kipi kimemfanya awaonee wivu wanawake kuingia viti maalum?
Je, jamaa ana exposure na dunia ya nje?!
Unajua kuna baadhi ya posts zinahitaji zaidi ya madgrii ya darasani na local experience bali exposure!!!
Hivi huyo Mwambwe anaweza kuinua simu na kumpigia Dangote na Dangote asiulie "Who? Mwambe??! Mwambe who? Come again?"
Anyway, nadhani nimeenda mbali sana!!! Hivi anaweza kuinua simu kumpigia hata Rostam Azizi?!
Ndo vile tu itakuwa ngumu lakini kama kuna Mtanzania anayeweza ku-fit hiyo position basi ni Mzee wa Msoga!!! Lakini ningekuwa JPM, hata watu kama Mwamvita Makamba wanaweza ku-fit compared na hao akina Mwambe!
Hawa watu wasio na exposure wanachoweza kufanya ni ku-attend Prospective Investors waliobisha hodi kwenye milango yao lakini sidhani kama wana ubavu wa kufanya "Investors Hunting" popote walipo duniani!!
JK pamoja na mapungufu yake mengi, alikuwa anafahamu sana nani akae wapi, na ndio maana akamvuta Julieth Kairuki ambae kabla ya uteuzi wake alikuwa kwenye banking sector huko South Africa na pia kuwa Project wa Private Public Partinership Capacity Building kwa nchi za SADC!
Kwa CV yake hiyo, tu tayari utaona Julieth kwenye mafaili yake alikuwa na orodha ya Wafanyabishara wa SADC ambao miongoni pengine alikuwa na uwezo wa kunyanyua simu na kuwapigia!
UPDATE:
Ukweli nilikuwa simfahamu kabisa huyo Mwambe lakini baada ya kuandika hayo hapo juu, nikalazimika kum-Google kidogo!!! Wallah JPM hayupo serious! Kumbe huyo jamaa kabla ya kuingia TIC alikuwa DC wa Manyoni?! Halafu ex-DC wa Manyoni ndie tulimpa dhamana ya kuvutia Foreign Direct Investment wakati hata akikutana na Diamond Platnumz tu lazima alikuwa anababaika!!!
Utani huu!!
Sidhani kama Jiwe anaangalia ufanisi wa mtu. Anaangalia kama unaweza kua remote controlled au hapana.