Kipi kimemfanya Geofrey Mwambe aliyekuwa Mkurugenzi (Director) wa Kituo cha Uwekezaji Tanzania (TIC) kuteuliwa kuwa Waziri wa Biashara na Viwanda?

La
Wakuu amani iwe nanyi,

Jana Mh Rais ameteua baraza la mawaziri na miongoni wa mawaziri walioteuliwa ni aliyekuwa mkurugenzi wa kituo cha uwekezaji Tanzania Mr Geoffrey Mwambe.

Geofrey Mwambe amekuwa mkutugenzi wa TIC kwa kipindi cha miaka mitatu na katika kipindi hicho Mr Mwambe alichemka sana. Katika kipindi chake TIC ilishutumiwa sana kuzungusha wawekezaji na kuwa na ukiritimba kwenye suala zima la uwekezaji nchini mpaka kupelekea wawekezaji wengi kukimbia na nchi kukosa pesa.

Hali hii ilipelekea mpaka TIC kuhamishiwa ofisi ya Rais kwa kile kilichodaiwa kuipa ufanisi zaidi.

Swali langu: Ni kipi kimembeba mchumi huyu mpaka kuwa waziri ilihali huko TIC alichemka?
Labda dini yake
 
Wakuu amani iwe nanyi,

Jana Mh Rais ameteua baraza la mawaziri na miongoni wa mawaziri walioteuliwa ni aliyekuwa mkurugenzi wa kituo cha uwekezaji Tanzania Mr Geoffrey Mwambe.

Geofrey Mwambe amekuwa mkutugenzi wa TIC kwa kipindi cha miaka mitatu na katika kipindi hicho Mr Mwambe alichemka sana. Katika kipindi chake TIC ilishutumiwa sana kuzungusha wawekezaji na kuwa na ukiritimba kwenye suala zima la uwekezaji nchini mpaka kupelekea wawekezaji wengi kukimbia na nchi kukosa pesa.

Hali hii ilipelekea mpaka TIC kuhamishiwa ofisi ya Rais kwa kile kilichodaiwa kuipa ufanisi zaidi.

Swali langu: Ni kipi kimembeba mchumi huyu mpaka kuwa waziri ilihali huko TIC alichemka?
Sidhani kama unaijua visiting TIC.
Godfrey Mwambe Amefanya reform kubwa sana pale TIC-Actually ataisaidia TIC akiwa Bungeni akishirikiana na Prof Mkumbo kwa sababu TIC ilionekana kama inakosesha TRA mapato kitu ambacho ni kunyume na Nia na sababu za uanzishwaji wa TIC.
Jamaa anaamini anachokijua na anakitetea.
Alipishana sana na TRA kuhusu kufunga makampuni kwa ajili ya kodi za zamani!

Huyu atasaidia kutengeneza mazingira Rafiki ya Biashara na viwanda.

He is a very right choice
 
Mbona ukiiangalia Chadema kuna watu Wana elimu kubwa na CV kubwa lakini hawapewi nafasi za Uongozi? Mfano kwenye nafasi za Uenyekiti wa Chama na mbaraza yake ukiiangalia utaona wakina Mbowe na wachaga wenzake wamejazana fuatilia elimu zao hovyo kabisa
Uzuri ujinga wenu umepevuka kiasi kwamba CHADEMA mnailinganisha na nchi na siyo na vyama vyenzake tena. Hii inaonesha CHADEMA imewazidi akili
 
Mkuu, hoja yako kuhusu Qualification vs Exposure ina uzito sana. Baadhi ya nafasi ni heri hata kuajiri CEO toka nje ya nchi kuliko kuwapa wanasiasa. Wanasiasa wanaweza kuwa na bidii na nia nzuri lakini wakakosa 'exposure' na hilo likapunguza ufanisi kwa kiasi kikubwa. Kwa kweli hata wizara ya Utalii haifai kuongozwa na wanasiasa. Ingefaa kuajiri CEO mwenye 'field experience' halafu anawekewa vijana wa 'kitengo' wafuatilie nyendo zake kwa maslahi ya taifa.
 
Wakuu amani iwe nanyi,

Jana Mh Rais ameteua baraza la mawaziri na miongoni wa mawaziri walioteuliwa ni aliyekuwa mkurugenzi wa kituo cha uwekezaji Tanzania Mr Geoffrey Mwambe.

Geofrey Mwambe amekuwa mkutugenzi wa TIC kwa kipindi cha miaka mitatu na katika kipindi hicho Mr Mwambe alichemka sana. Katika kipindi chake TIC ilishutumiwa sana kuzungusha wawekezaji na kuwa na ukiritimba kwenye suala zima la uwekezaji nchini mpaka kupelekea wawekezaji wengi kukimbia na nchi kukosa pesa.

Hali hii ilipelekea mpaka TIC kuhamishiwa ofisi ya Rais kwa kile kilichodaiwa kuipa ufanisi zaidi.

Swali langu: Ni kipi kimembeba mchumi huyu mpaka kuwa waziri ilihali huko TIC alichemka?

Kulikuwa na jamaa kadhaa humohumo walikuwa wanampiga vita kwa sababu ya utendaji wake mzuri wa kazi., sasa Rais ana mbinu za jinsi ya kupata ukweli!!! Hence stop the hullabaloos! Period.
 
Wakuu amani iwe nanyi,

Jana Mh Rais ameteua baraza la mawaziri na miongoni wa mawaziri walioteuliwa ni aliyekuwa mkurugenzi wa kituo cha uwekezaji Tanzania Mr Geoffrey Mwambe.

Geofrey Mwambe amekuwa mkutugenzi wa TIC kwa kipindi cha miaka mitatu na katika kipindi hicho Mr Mwambe alichemka sana. Katika kipindi chake TIC ilishutumiwa sana kuzungusha wawekezaji na kuwa na ukiritimba kwenye suala zima la uwekezaji nchini mpaka kupelekea wawekezaji wengi kukimbia na nchi kukosa pesa.

Hali hii ilipelekea mpaka TIC kuhamishiwa ofisi ya Rais kwa kile kilichodaiwa kuipa ufanisi zaidi.

Swali langu: Ni kipi kimembeba mchumi huyu mpaka kuwa waziri ilihali huko TIC alichemka?
U-TISS tu ndo unambeba
 
Je, jamaa ana exposure na dunia ya nje?!

Unajua kuna baadhi ya posts zinahitaji zaidi ya madgrii ya darasani na local experience bali exposure!!!

Hivi huyo Mwambwe anaweza kuinua simu na kumpigia Dangote na Dangote asiulie "Who? Mwambe??! Mwambe who? Come again?"

Anyway, nadhani nimeenda mbali sana!!! Hivi anaweza kuinua simu kumpigia hata Rostam Azizi?!

Ndo vile tu itakuwa ngumu lakini kama kuna Mtanzania anayeweza ku-fit hiyo position basi ni Mzee wa Msoga!!! Lakini ningekuwa JPM, hata watu kama Mwamvita Makamba wanaweza ku-fit compared na hao akina Mwambe!

Hawa watu wasio na exposure wanachoweza kufanya ni ku-attend Prospective Investors waliobisha hodi kwenye milango yao lakini sidhani kama wana ubavu wa kufanya "Investors Hunting" popote walipo duniani!!

JK pamoja na mapungufu yake mengi, alikuwa anafahamu sana nani akae wapi, na ndio maana akamvuta Julieth Kairuki ambae kabla ya uteuzi wake alikuwa kwenye banking sector huko South Africa na pia kuwa Project wa Private Public Partinership Capacity Building kwa nchi za SADC!

Kwa CV yake hiyo, tu tayari utaona Julieth kwenye mafaili yake alikuwa na orodha ya Wafanyabishara wa SADC ambao miongoni pengine alikuwa na uwezo wa kunyanyua simu na kuwapigia!

UPDATE:

Ukweli nilikuwa simfahamu kabisa huyo Mwambe lakini baada ya kuandika hayo hapo juu, nikalazimika kum-Google kidogo!!! Wallah JPM hayupo serious! Kumbe huyo jamaa kabla ya kuingia TIC alikuwa DC wa Manyoni?! Halafu ex-DC wa Manyoni ndie tulimpa dhamana ya kuvutia Foreign Direct Investment wakati hata akikutana na Diamond Platnumz tu lazima alikuwa anababaika!!!

Utani huu!!

Kaka Uwezo wa Akili yako mkubwa sana
Have a Good wkend
 
Je, jamaa ana exposure na dunia ya nje?!

Unajua kuna baadhi ya posts zinahitaji zaidi ya madgrii ya darasani na local experience bali exposure!!!

Hivi huyo Mwambwe anaweza kuinua simu na kumpigia Dangote na Dangote asiulie "Who? Mwambe??! Mwambe who? Come again?"

Anyway, nadhani nimeenda mbali sana!!! Hivi anaweza kuinua simu kumpigia hata Rostam Azizi?!

Ndo vile tu itakuwa ngumu lakini kama kuna Mtanzania anayeweza ku-fit hiyo position basi ni Mzee wa Msoga!!! Lakini ningekuwa JPM, hata watu kama Mwamvita Makamba wanaweza ku-fit compared na hao akina Mwambe!

Hawa watu wasio na exposure wanachoweza kufanya ni ku-attend Prospective Investors waliobisha hodi kwenye milango yao lakini sidhani kama wana ubavu wa kufanya "Investors Hunting" popote walipo duniani!!

JK pamoja na mapungufu yake mengi, alikuwa anafahamu sana nani akae wapi, na ndio maana akamvuta Julieth Kairuki ambae kabla ya uteuzi wake alikuwa kwenye banking sector huko South Africa na pia kuwa Project wa Private Public Partinership Capacity Building kwa nchi za SADC!

Kwa CV yake hiyo, tu tayari utaona Julieth kwenye mafaili yake alikuwa na orodha ya Wafanyabishara wa SADC ambao miongoni pengine alikuwa na uwezo wa kunyanyua simu na kuwapigia!

UPDATE:

Ukweli nilikuwa simfahamu kabisa huyo Mwambe lakini baada ya kuandika hayo hapo juu, nikalazimika kum-Google kidogo!!! Wallah JPM hayupo serious! Kumbe huyo jamaa kabla ya kuingia TIC alikuwa DC wa Manyoni?! Halafu ex-DC wa Manyoni ndie tulimpa dhamana ya kuvutia Foreign Direct Investment wakati hata akikutana na Diamond Platnumz tu lazima alikuwa anababaika!!!

Utani huu!!
Rais anachagua watu wa kumsaidia yeye kutekeleza ilani na aliyowaahidi watanzania. Suala la nani anajulikana wapi halina umuhimu, hata kama waziri hajulikani akishateuliwa atajulikana. Rais hachagui watu wa kupiga dili anachagua watendaji.


Mawazo yako yanaonyesha ulivyo mufilisi kabisa. Hujui majukumu ya waziri wala wizara.

Yaani unataka Rais kabla hajateua aanze kufikirisha kichwa nani anafahamika wapi! Thinking ya ajabu kabisa.
 
Sidhani kama unaijua visiting TIC.
Godfrey Mwambe Amefanya reform kubwa sana pale TIC-Actually ataisaidia TIC akiwa Bungeni akishirikiana na Prof Mkumbo kwa sababu TIC ilionekana kama inakosesha TRA mapato kitu ambacho ni kunyume na Nia na sababu za uanzishwaji wa TIC.
Jamaa anaamini anachokijua na anakitetea.
Alipishana sana na TRA kuhusu kufunga makampuni kwa ajili ya kodi za zamani!

Huyu atasaidia kutengeneza mazingira Rafiki ya Biashara na viwanda.

He is a very right choice

Sio kweli TIC kashindwa kufanya vizuri
Kuhusu kutetea Tra wasifunge Biashara ni kweli
 
Kipi kimewafanya hao wengine wateuliwe katika wizara zao?
 
Je, jamaa ana exposure na dunia ya nje?!

Unajua kuna baadhi ya posts zinahitaji zaidi ya madgrii ya darasani na local experience bali exposure!!!

Hivi huyo Mwambwe anaweza kuinua simu na kumpigia Dangote na Dangote asiulie "Who? Mwambe??! Mwambe who? Come again?"

Anyway, nadhani nimeenda mbali sana!!! Hivi anaweza kuinua simu kumpigia hata Rostam Azizi?!

Ndo vile tu itakuwa ngumu lakini kama kuna Mtanzania anayeweza ku-fit hiyo position basi ni Mzee wa Msoga!!! Lakini ningekuwa JPM, hata watu kama Mwamvita Makamba wanaweza ku-fit compared na hao akina Mwambe!

Hawa watu wasio na exposure wanachoweza kufanya ni ku-attend Prospective Investors waliobisha hodi kwenye milango yao lakini sidhani kama wana ubavu wa kufanya "Investors Hunting" popote walipo duniani!!

JK pamoja na mapungufu yake mengi, alikuwa anafahamu sana nani akae wapi, na ndio maana akamvuta Julieth Kairuki ambae kabla ya uteuzi wake alikuwa kwenye banking sector huko South Africa na pia kuwa Project wa Private Public Partinership Capacity Building kwa nchi za SADC!

Kwa CV yake hiyo, tu tayari utaona Julieth kwenye mafaili yake alikuwa na orodha ya Wafanyabishara wa SADC ambao miongoni pengine alikuwa na uwezo wa kunyanyua simu na kuwapigia!

UPDATE:

Ukweli nilikuwa simfahamu kabisa huyo Mwambe lakini baada ya kuandika hayo hapo juu, nikalazimika kum-Google kidogo!!! Wallah JPM hayupo serious! Kumbe huyo jamaa kabla ya kuingia TIC alikuwa DC wa Manyoni?! Halafu ex-DC wa Manyoni ndie tulimpa dhamana ya kuvutia Foreign Direct Investment wakati hata akikutana na Diamond Platnumz tu lazima alikuwa anababaika!!!

Utani huu!!

Before kuwa DC manyoni alitokea wapi? Ila hapo kwa JK upo sahihi sana. JK alijua sana nani akae wapi pamoja na kuzivuta cream zilizokuwa nje.
 
Mtoa hoja umeongeza UFIKIRI....

Ninachosikia ni kuwa huyo Geoffrey Mwambe ni mtu dedicated na open minded Sana....
Wako wanaosema kuwa kipindi chake alichokaa TIC amefanya reformation yenye tija na hwenda ndio maana mpaka mh.Rais akaamua akihamishie ofisini kwake.....

Ok mkuu nimeguswa kwa uchokonozi wako wa kuendelea kulijenga TAIFA ili liwe bora zaidi!!
 
16 Reactions
Reply
Back
Top Bottom