ShesRise_1
JF-Expert Member
- Aug 21, 2025
- 2,925
- 6,553
MashaAllahamina amina mpendwa wangu,since 2013 tupo pamoja so ameshakua zaidi ya mke,ukitaka siri ni moja kabidhi kila kitu kwa Mungu ifante familia yako ya kumcha Mungu watoto watafuata ,maana watoto ni warahisi kuiga
Hongera sana mkuuMimi ndiye niliyegundua ila usimwambie mtu,
Maua nimeyapokea ubarikiwe sana Mkuu.
Naichukua hii😂😂😂😂 usiige mambo wewe ishi na mkeo kwa upendo mlioujenga toka mmekutana kwa pamoja na uwe mfano kwa watoto wenu baba ni kiongozi ukiwaongoza vizuri watajivunia
Mihogo ya kukaanga au kuchemsha?Miogo na Coca-Cola baridi! Na kipande samaki barakuda au mkule. Nashushia hapa baada tizi kali ..
Sio kweliSupu ya Konokono na kichwa cha nyoka cha kukaanga,halafu pembeni kuwe na kaglasi ka gongo na sigara kubwa.
Nashangaa mpaka sasa makampuni ya bia hayampi min mee ubalozi, mdau mkubwa sana huyuNdizi zenye nyama nyingi na Pilipili ya kutosha na mbege pembeni View attachment 3568971
Sasa ulikuwepo? Ukweli ni upi?Sio kweli
Nisingekua kataa ndoa ilibidi kigezo changu moja wapo mwanaume awe anapenda kula vizuri😀😀
SaafiMaisha ni kula, kufanya kazi na kufurahi.
Nashangaa mpaka sasa makampuni ya bia hayampi min mee ubalozi, mdau mkubwa sana huyu
😞inachefua tu kusoma hao waliokua nae karibu😎Mwaka Fulani kaka angu alikua anatoka mikoani anaenda dar, Sasa alikua amekata tiketi ya mbele kabisa kwa dereva, Kuna msukuma mwenzangu nae walikua nae pale mbele,
Safari imeanza huyo msukuma akaanzaa akaagiza karanga kala akaagiza mayai kalaa akachukua koka cola kanywa akashushia na ndizi, mkuu akalala zake, unaanbiwa ilitokea tafrani humo Yani mnajijipepea harufu haijaisha jamaa kafyatua kombola jingine, acha ikabidi abiria wamukurupue, dereva akasema wanamuonea asogee pale mbele kwake akae, safari ikaendelea mzee mbele kidogo dereva akaanza kulalamika Hali mbaya jamaa anachia makombora ya Iran balaa,
Enjoy life it’s too shortMaisha upande wangu, ni kula vizuri, kusafiri, kufanya kazi na kufurahi pamoja na familia.
Utafanyaje Sasa mkuu, mana hio nikupumua, sema tu tunajifanya smart Kila unaemuona duniani hapa anapumua😞inachefua tu kusoma hao waliokua nae karibu😎
Mmmmh mkianza kupumua Sasa ndo shida ilipoAsubuhi huwa napendelea ninywe chai ya maziwa , sausage 😋 , viazi mbatata na supu ya utumbo .
Kupumua ndio hivyo kiasi tafrani ndani ya gari?Utafanyaje Sasa mkuu, mana hio nikupumua, sema tu tunajifanya smart Kila unaemuona duniani hapa anapumua
Sasa jamaa ange omba wawe wanasimama ana pumua wangemuelewa?Kupumua ndio hivyo kiasi tafrani ndani ya gari?