Kipi cha ziada kwenye line ya tigo ya 4G

Natumia Note 5, Nipo Morogoro town. Kama mida hii nipo karibu kabisa na ofisi zao. Na hii mara nyingi inakuwa hivyo hata nikiwa Dom sehemu yenye coverage ya 4g.

Hadi huwa naamua ku set kwenye 3g only ndio net inakuwa faster.

93437750a243318b62cb4bd68d8078da.jpg


Hii simu yako haina LTE Only kwa navyojua kama network coverage haijawa covered maeneo mengi lazima network ishuke kuja 3G/2G
Mfano dhahili ni TTCL 4G bila ku Set LTE Only unakamata 3G
 
Natumia Note 5, Nipo Morogoro town. Kama mida hii nipo karibu kabisa na ofisi zao. Na hii mara nyingi inakuwa hivyo hata nikiwa Dom sehemu yenye coverage ya 4g.

Hadi huwa naamua ku set kwenye 3g only ndio net inakuwa faster.

93437750a243318b62cb4bd68d8078da.jpg
ikikaa 4g inaandika lte au 4g hapo juu? sababu huna option ya 4g only hapo hivyo unaweza eka autoconect ikajichagua 2g
 
1. si kweli kama 3g inatosha nakupa hizi sababu
-3g speed inapanda na kushuka mara kwa mara
-3g haitoi quality nzuri wakati wa kupiga simu
-movie za full hd (zina zaidi ya 1gb) bado zinachukua muda mrefu kudownload kwa 3g tuna flat tv siku hizi zina resolution hadi 4k ya nini tubaki na internet slow?
-video call maofisini
nk nk nk

sababu unatuma tu msg za whatsapp haimaanishi watu wote ni kama wewe even 4g haitoshi internet za mobile data ni nadra kukuta latency single digit bado tunahitaji internet bora zaidi.

na sababu eti hujajenga nyumba nyumba ya vigae ndio ukatazwe kujenga ghorofa? tupo ulimwengu wa kibepari tigo hana jukumu lolote la kusambaza internet mahala maalumu sio serikali hawa kwamba maeneo yote waeke minara wanaangalia faida. kama eneo lako hawashiki hama nenda mtandao unaoshika hio ndio sheria ya ubepari. tunaotakiwa tuwalalamikie ni mashirika yetu ya uma kama TTCL wao ndio wana jukumu la kutufikia watz wote
Kaka naona unaongea ndoto au unadhani tuko Marekani, Hiyo 3g pekee hapa bongo hatujaitumia ipasavyo. Iko hivi kuna kifaa kinafungwa kwenye mnara ili u-support 3g sasa hiyo ina gharama zake as a result minara mingi tunayotumia haina 3g na ndio maana hakuna quality 3g. Huo ndio ukweli! Hivyo hata 4g watakachofanya ni kufunga minara michache ya mjini lakini ukisogea kibamba hamna kitu.
 
Kaka naona unaongea ndoto au unadhani tuko Marekani, Hiyo 3g pekee hapa bongo hatujaitumia ipasavyo. Iko hivi kuna kifaa kinafungwa kwenye mnara ili u-support 3g sasa hiyo ina gharama zake as a result minara mingi tunayotumia haina 3g na ndio maana hakuna quality 3g. Huo ndio ukweli! Hivyo hata 4g watakachofanya ni kufunga minara michache ya mjini lakini ukisogea kibamba hamna kitu.
ndio nimekwambia si wajibu wao kufunga huko ambapo hawajafunga. Tatizo letu wabongo tubo ubepari lakini tunataka mitandao ya simu itutreat sisi kama ujamaa. mtaani kwetu pia kuna duka linauza vitu rahisi lakini mtaani kwenu halipo mbona humlalamikii huyu mwenye duka hajafungua na mtaani kwenu? pia hulalamiki kwanini vituo vya mafuta vipi vingi mjini, kwaninia maghorofa yapo mjini, kwanini hoteli nzuri zipo mjini, kwanini mjini kuna lami, Airport kubwa pia ipo mjini, huo ndio uhalisia mkuu huwezi ukalazimisha wao wafanye kitu kisicho na faida kama unaona service ni mbaya hama. kama nilivyokwambia hapo juu mtandao pekee ambao sisi watanzania tuna haki ya kuwalazimisha ni mtandao wetu wa uma yaani TTCL sababu ni kodi zetu ndio huuendesha ila hao waliobakia ni hela za watu binafsi wana haki nao kuamua hela zao wanaziwekezaje.

na huko marekani unakokusema coverage yao ya internet ndio mbovu kupita kwetu sema tu wao wengi wanaishi mjini

ona coverage ya t-mobile marekani
TMobile-Map.png


cheki verizon na at&t
att-vs-verizon-coverage-maps.jpg


umeona hio white? hao hata edge hawana ukifika maeneo hayo mtandao hausomi, umeona hio light blue? hio ni maeneo yenye edge tu wao pia wanayo.

na sababu kuna kundi la watu kwenye jamii hawaoni faida hata ya 3g wao wabaki tu nyuma ila sisi tunaoona faida ya 4g tutatumia pale tutakapoipata.
 
Wakuu leo nimepigiwa simu na Tigo wakidai wanatoa offer ya line za 4g kwa watumiaji wa internet, yani napewa hiyo line kwa namba yangu ile ile!

Sasa kabla sijaamua kuifata na kubadilisha line nataka nijue faida gani ambazo zipo katika hiyo line kulinganisha na hiz za kawaida??
Faida zipo kibao ktk 4G 》kwanza ili uweze kupata speed ya 4G lazima uwe na line ya 4G simu yako pia iwe inauwezo wakusupport 4G na eneo ulilopo liwe na netwotk ya 4G kwahiyo hizi laini zakawaida za 32K haziweza kupata speed ya 4G mapaka ui swap ktk line za 64K yani zenye uwezo wa kusuport 4g 》pia 64K zinauwezo mzuri wakuhifadhi contact nyingi kuliko line za 32K.
 
Asante mkuu natumia Samsung galaxy note 4, nadhani inasupport 4g
Kwanza unatakiwa kufahamu je simu inauwezo waku support 4g ya tigo? Kunan simu zingine zinauwezo wa LTE yani 4g lakini ikashindwa kupata speed ya 4g kutoka tigo kwahiyo mfahamu kua sio simu zote zenyeuwezo wa 4g zitaweza kupata speed hiyo. hayo nimatatizo ya frequnce za 4g ya tigo na frequnce ya model iliotengenezewa simu yako kua tofauti. Kwani model zingine za simu hutengenezwa kwamatumizi ya nchi flan ndio maana unaweza ukawa uko marekani simu ika support 4g ya pale marekani lakini ukiwa nje ya nchi usiipate speed hiyo.nikutokana na frequnce ya ile simu jinsk ilivyo tengenezwa nikwa baadhi ya nchi flan sio zote . kuna njia rahisi takuweza kujua kama simu yako inauwezo waku support 4g kutoka tigo kwanza bonyeza *#06# kuna Imei number zitatokea zikisha tokea fungua link hii hapa www.tigo.co.tz/4g kisha shuka chini utaona kibox chakuandika zile imei number hapo utaandika tarakimu 8tu yani mfano utaandika (3566979706) automatic database yatigo itakujulisha kama simu inauwezo au la. Hiyo ni link yakampuni ya tigo yakujua kama simu inauwezo wakusuport 4g
 
Kwanza unatakiwa kufahamu je simu inauwezo waku support 4g ya tigo? Kunan simu zingine zinauwezo wa LTE yani 4g lakini ikashindwa kupata speed ya 4g kutoka tigo kwahiyo mfahamu kua sio simu zote zenyeuwezo wa 4g zitaweza kupata speed hiyo. hayo nimatatizo ya frequnce za 4g ya tigo na frequnce ya model iliotengenezewa simu yako kua tofauti. Kwani model zingine za simu hutengenezwa kwamatumizi ya nchi flan ndio maana unaweza ukawa uko marekani simu ika support 4g ya pale marekani lakini ukiwa nje ya nchi usiipate speed hiyo.nikutokana na frequnce ya ile simu jinsk ilivyo tengenezwa nikwa baadhi ya nchi flan sio zote . kuna njia rahisi takuweza kujua kama simu yako inauwezo waku support 4g kutoka tigo kwanza bonyeza *#06# kuna Imei number zitatokea zikisha tokea fungua link hii hapa www.tigo.co.tz/4g kisha shuka chini utaona kibox chakuandika zile imei number hapo utaandika tarakimu 8tu yani mfano utaandika (3566979706) automatic database yatigo itakujulisha kama simu inauwezo au la. Hiyo ni link yakampuni ya tigo yakujua kama simu inauwezo wakusuport 4g
d8b0338f045c004863db92dd782642a5.jpg
 
Kwanza unatakiwa kufahamu je simu inauwezo waku support 4g ya tigo? Kunan simu zingine zinauwezo wa LTE yani 4g lakini ikashindwa kupata speed ya 4g kutoka tigo kwahiyo mfahamu kua sio simu zote zenyeuwezo wa 4g zitaweza kupata speed hiyo. hayo nimatatizo ya frequnce za 4g ya tigo na frequnce ya model iliotengenezewa simu yako kua tofauti. Kwani model zingine za simu hutengenezwa kwamatumizi ya nchi flan ndio maana unaweza ukawa uko marekani simu ika support 4g ya pale marekani lakini ukiwa nje ya nchi usiipate speed hiyo.nikutokana na frequnce ya ile simu jinsk ilivyo tengenezwa nikwa baadhi ya nchi flan sio zote . kuna njia rahisi takuweza kujua kama simu yako inauwezo waku support 4g kutoka tigo kwanza bonyeza *#06# kuna Imei number zitatokea zikisha tokea fungua link hii hapa www.tigo.co.tz/4g kisha shuka chini utaona kibox chakuandika zile imei number hapo utaandika tarakimu 8tu yani mfano utaandika (3566979706) automatic database yatigo itakujulisha kama simu inauwezo au la. Hiyo ni link yakampuni ya tigo yakujua kama simu inauwezo wakusuport 4g
Asante mkuu nimecheck wamesema inasupport.. Ngoja nicheck kama coverage nilipo ipo!!
 
BASI KAMA WANASEMA INA SUPPOT HAPO NIKUSWAP LINE YAKO HATAKAMA UTAKUA HAUPO KTK NETWORK YA 4G ILA UKIWA KTK ENEO LENYE 4G UTAINJO KAMA KAWAIDA
 
Sio lazima mtandao u cover maeneo yoyote wanasema Tigo 4G ipo Dar nzima ila ukienda hapo Nyuma ya Ubalozi wa Ufaransa Kinondoni biafra haukuti 4G.
You have plenty of options halotel,airtel and vodacom ukiamua kutumia mtandao fulani lazima uwe unajua coverage yake iko vizuri
Ni kweli mkuu.tigo wanasema 4G inapatikana maeneo yote ya Dar lakini ukifika hapa kinyerezi tu hakuna cha 4g ni 3g/2g.
 
Kaka naona unaongea ndoto au unadhani tuko Marekani, Hiyo 3g pekee hapa bongo hatujaitumia ipasavyo. Iko hivi kuna kifaa kinafungwa kwenye mnara ili u-support 3g sasa hiyo ina gharama zake as a result minara mingi tunayotumia haina 3g na ndio maana hakuna quality 3g. Huo ndio ukweli! Hivyo hata 4g watakachofanya ni kufunga minara michache ya mjini lakini ukisogea kibamba hamna kitu.
Hakika mkuu.wanakimbilia sehemu wasiyoimudu vyema.
 
kama laini yako uliiregister na university offer sikushauri uibadl laini. ndo itakuwa mwisho wa kutumia
 
Umeona mkuu mm ilikuwa ipo university offer baada ya kuweka 4g tuuuu university offer imekimbia kabisa. Mkuu ww ulifanya vipi kuipata Tena maana 4g inakula data balaa
kama laini yako uliiregister na university offer sikushauri uibadl laini. ndo itakuwa mwisho wa kutumia
 
Umeona mkuu mm ilikuwa ipo university offer baada ya kuweka 4g tuuuu university offer imekimbia kabisa. Mkuu ww ulifanya vipi kuipata Tena maana 4g inakula data balaa
hadi sasa hv wananizungusha. customer care wenyewe sijui niaje niaje. hawana uelewa wowote
 
hadi sasa hv wananizungusha. customer care wenyewe sijui niaje niaje. hawana uelewa wowote
So hapa tunafanyaje maana 4g iko poa ila pesa ya bundle sasa..mm nilienda tigo shop morogoro hapa wananiambia niwatumie data zangu kwenye Microsoft Excel then nimetuma mpka Leo naona kimya kabisa.
 
Back
Top Bottom