agudev
Member
- Apr 5, 2016
- 76
- 122
Habari za muda huu wadau, kama kichwa kinavyojieleza, nataka kujua iwapo kama kuna namna ya kutumia akaunti moja ya uwakala wa simu mf. Tigo Pesa, M pesa, Airtel Money n.k na kuweza kutumia kwenye simu zaidi ya moja.
Kwa sasa ninavyoelewa kwenye upande uwakala lazima line iwe imechomekwa kwenye simu na utaweza kupata huduma za uwakala kwa njia ya USSD pekee.
Je, kuna namna nyingine? labda kutumia App ambayo unaweza kufanya huduma zile zile kwa kutumia internet?
Kwa sasa ninavyoelewa kwenye upande uwakala lazima line iwe imechomekwa kwenye simu na utaweza kupata huduma za uwakala kwa njia ya USSD pekee.
Je, kuna namna nyingine? labda kutumia App ambayo unaweza kufanya huduma zile zile kwa kutumia internet?