July Fourth
JF-Expert Member
- May 2, 2012
- 2,240
- 795
niliambiwa hivo pia. namaliza mwez sasa. hata ukipiga huduma kwa wateja utakaa almost nusu saa then akipokea mtu anakuwa hana majibu.So hapa tunafanyaje maana 4g iko poa ila pesa ya bundle sasa..mm nilienda tigo shop morogoro hapa wananiambia niwatumie data zangu kwenye Microsoft Excel then nimetuma mpka Leo naona kimya kabisa.