Kipa wa timu ya Taifa ya Nigeria atishiwa maisha

Mjanja M1

JF-Expert Member
Oct 7, 2018
3,660
12,306
Kipa wa timu ya Taifa ya Nigeria Stanley Nwabaly, amekumbwa na kitisho baada ya kuifanikisha timu yake ya Taifa ya Nigeria kuwatoa Afrika kusini kutinga fainali ya michuano ya AFCON inayochezwa mwaka huu 2024 nchini Ivory Coast.

Inaelezwa kuwa baadhi ya mashabiki wa soka nchini Afrika Kusini wanamtumia ujumbe wa vitisho wakisema asirudi tena Afrika Kusini ndani ya klabu yake ya Chippa United Kwa sababu watamfanya kitu kibaya.

Nini maoni yako?
 
Inaelezwa kuwa baadhi ya mashabiki wa soka nchini Afrika Kusini wanamtumia ujumbe wa vitisho wakisema asirudi tena Afrika Kusini ndani ya klabu yake ya Chippa United Kwa sababu watamfanya kitu kibaya.
Zipo wapi hizo jumbe tuzipitie hapa, au mtoa mada umeingizwa mjini na wanaigeria?
 
Umenikumbusha kisa cha ahn jung hwan alipowafunga waitalia goli la dhahabu kombe la dunia mwaka 2002, kiasi timu yake ya ya perugia aliyokuwa akichezea kwa mkopo wakasitisha mkataba wake. 😂🤣

Yule rais wa perugia alikuwa ni chizi. 😂
 
Kipa wa timu ya Taifa ya Nigeria Stanley Nwabaly, amekumbwa na kitisho baada ya kuifanikisha timu yake ya Taifa ya Nigeria kuwatoa Afrika kusini kutinga fainali ya michuano ya AFCON inayochezwa mwaka huu 2024 nchini Ivory Coast.

Inaelezwa kuwa baadhi ya mashabiki wa soka nchini Afrika Kusini wanamtumia ujumbe wa vitisho wakisema asirudi tena Afrika Kusini ndani ya klabu yake ya Chippa United Kwa sababu watamfanya kitu kibaya.

Nini maoni yako?
nashauri asirudi kwasababu wasouth ni viumbe wajinga mno, wanaweza kumuua kweli, wale mzungu alitakiwa aendelee tu kuwatawala milele. ndezi kabisa wale.
 
Wengine wana mikeka yao imechanika,sio uzalendo peke yake
Point ya msingi sana. Hapa ni maokoto tu yamevurugwa. Wasouth, tena hasa mashabiki wa Mamelodi hata viwanjani kwenyewe hawaendi mpaka wabembelezwe, hawamtishi kwa hisia za kimpira
 
Back
Top Bottom