GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,646
- 109,034
Klabu yoyote Bora kokote pale duniani ni ile ambayo pia hata Mchezaji wake Mmoja anayechezea Timu ya Taifa anaipeleka hiyo Timu yake katika hatua muhimu za Mashindano makubwa yanayotambulika na yenye Heshima kama ya AFCON kuanzia hatua za Nusu Fainali.
Hongereni sana Simba Sports Club na hakika mnastahili Sifa kwa kuwa na Mchezaji ( Henock Inonga ) ambaye ameisaidia Timu yake ya Taifa kufika hatua ya Semi Final katika AFCON huko nchini Ivorry Coast.
Haupendi UTANI achana na huu Uzi!
Hongereni sana Simba Sports Club na hakika mnastahili Sifa kwa kuwa na Mchezaji ( Henock Inonga ) ambaye ameisaidia Timu yake ya Taifa kufika hatua ya Semi Final katika AFCON huko nchini Ivorry Coast.
Haupendi UTANI achana na huu Uzi!