GE2025 Kiongozi wa kimila asema Wamasai wote ni CCM, Wamasai wenyewe wampinga vikali, mmoja asema 'Mimi ni Tundu Lissu damudamu'

GE2025 Kiongozi wa kimila asema Wamasai wote ni CCM, Wamasai wenyewe wampinga vikali, mmoja asema 'Mimi ni Tundu Lissu damudamu'

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025

Just Pray

JF-Expert Member
Joined
Nov 7, 2023
Posts
2,142
Reaction score
4,779
Kiongozi wa kimila wa jamii ya Kimaasai nchini Tanzania, Laigwanan Isack Olekisongo, ametoa wito kwa jamii hiyo kote nchini kujitokeza kwa wingi kupiga kura kwenye Uchaguzi Mkuu unaotarajiwa kufanyika Oktoba 2025, huku akisisitiza umuhimu wa kuwachagua madiwani na wabunge watakaowaletea maendeleo.

Akihutubia maelfu ya Wamaasai katika eneo la kimila la Elerai mnamo Agosti 1, 2025, Olekisongo aliwataka vijana wa jamii hiyo kuwa mstari wa mbele katika kushiriki uchaguzi, huku akieleza kuwa kwa upande wa urais, jamii hiyo inapaswa kumpigia kura Rais Samia Suluhu Hassan, akimtaja kama kiongozi wa mfano ukilinganisha na marais waliopita.

"Uchaguzi wa vyama unaendelea, chagueni mnavyotaka, lakini Tanzania nzima inajua Wamaasai ni CCM, kile chama cha Nyerere. Mtu asije akahoji kwa nini, maana huo ni umoja wetu," alisema Olekisongo.

Hata hivyo, kauli hiyo imeibua upinzani kutoka kwa baadhi ya vijana wa jamii hiyo, waliopinga vikali madai ya kiongozi huyo wa kimila.

Wameeleza kuwa wana uhuru wa kuchagua chama wanachokitaka, huku baadhi yao wakijitambulisha kama wafuasi wa vyama vingine, wakisisitiza kuwa si sahihi kuunganisha jamii nzima na chama kimoja cha siasa.


 
Ccm kuna watu wajinga sana
Kuanzia juu hadi kwenye shina
 
Haijapata kutokea Rais kahonga viongozi wa jamii mbali mbali ili kumuunga mkono kama huyu kiazi sa100.
Kuanzia makabila, dini, taasisi, wasanii nk nk
 
Kiongozi wa kimila wa jamii ya Kimaasai nchini Tanzania, Laigwanan Isack Olekisongo, ametoa wito kwa jamii hiyo kote nchini kujitokeza kwa wingi kupiga kura kwenye Uchaguzi Mkuu unaotarajiwa kufanyika Oktoba 2025, huku akisisitiza umuhimu wa kuwachagua madiwani na wabunge watakaowaletea maendeleo.

Akihutubia maelfu ya Wamaasai katika eneo la kimila la Elerai mnamo Agosti 1, 2025, Olekisongo aliwataka vijana wa jamii hiyo kuwa mstari wa mbele katika kushiriki uchaguzi, huku akieleza kuwa kwa upande wa urais, jamii hiyo inapaswa kumpigia kura Rais Samia Suluhu Hassan, akimtaja kama kiongozi wa mfano ukilinganisha na marais waliopita.

"Uchaguzi wa vyama unaendelea, chagueni mnavyotaka, lakini Tanzania nzima inajua Wamaasai ni CCM, kile chama cha Nyerere. Mtu asije akahoji kwa nini, maana huo ni umoja wetu," alisema Olekisongo.

Hata hivyo, kauli hiyo imeibua upinzani kutoka kwa baadhi ya vijana wa jamii hiyo, waliopinga vikali madai ya kiongozi huyo wa kimila.

Wameeleza kuwa wana uhuru wa kuchagua chama wanachokitaka, huku baadhi yao wakijitambulisha kama wafuasi wa vyama vingine, wakisisitiza kuwa si sahihi kuunganisha jamii nzima na chama kimoja cha siasa.


View attachment 3428644
Huyu jamaa aliyesema ni chama mfu chadema watamuua, ningekuwa mwandishi wa habari ningefuatilia kujua kafa kicho cha aina gani
 
Haijapata kutokea Rais kahonga viongozi wa jamii mbali mbali ili kumuunga mkono kama huyu kiazi sa100.
Kuanzia makabila, dini, taasisi, wasanii nk nk
Nimeshangaa aise...Hadi wazee wamila? Aise Bora ningekufa ila sio kulamba matako kusifia ujinga kama ningekua kiongoz wa kimila ..hivi anajua maana ya hiko cheo?
 
Haijapata kutokea Rais kahonga viongozi wa jamii mbali mbali ili kumuunga mkono kama huyu kiazi sa100.
Kuanzia makabila, dini, taasisi, wasanii nk nk
Ni kwasababu haijapata kutokea mtu anayeitaka hiyo nafasi lakini hakubaliki kama yeye.

Wangekuwa wanaheshimu sauti ya umma huyu asingekuwa mgombea wao.
 
Kiongozi wa kimila wa jamii ya Kimaasai nchini Tanzania, Laigwanan Isack Olekisongo, ametoa wito kwa jamii hiyo kote nchini kujitokeza kwa wingi kupiga kura kwenye Uchaguzi Mkuu unaotarajiwa kufanyika Oktoba 2025, huku akisisitiza umuhimu wa kuwachagua madiwani na wabunge watakaowaletea maendeleo.

Akihutubia maelfu ya Wamaasai katika eneo la kimila la Elerai mnamo Agosti 1, 2025, Olekisongo aliwataka vijana wa jamii hiyo kuwa mstari wa mbele katika kushiriki uchaguzi, huku akieleza kuwa kwa upande wa urais, jamii hiyo inapaswa kumpigia kura Rais Samia Suluhu Hassan, akimtaja kama kiongozi wa mfano ukilinganisha na marais waliopita.

"Uchaguzi wa vyama unaendelea, chagueni mnavyotaka, lakini Tanzania nzima inajua Wamaasai ni CCM, kile chama cha Nyerere. Mtu asije akahoji kwa nini, maana huo ni umoja wetu," alisema Olekisongo.

Hata hivyo, kauli hiyo imeibua upinzani kutoka kwa baadhi ya vijana wa jamii hiyo, waliopinga vikali madai ya kiongozi huyo wa kimila.

Wameeleza kuwa wana uhuru wa kuchagua chama wanachokitaka, huku baadhi yao wakijitambulisha kama wafuasi wa vyama vingine, wakisisitiza kuwa si sahihi kuunganisha jamii nzima na chama kimoja cha siasa.


View attachment 3428644
Kwenye kundi kama hilo Nyumbu mmoja wa Braza K hawezi kukosa
 
Kiongozi wa kimila wa jamii ya Kimaasai nchini Tanzania, Laigwanan Isack Olekisongo, ametoa wito kwa jamii hiyo kote nchini kujitokeza kwa wingi kupiga kura kwenye Uchaguzi Mkuu unaotarajiwa kufanyika Oktoba 2025, huku akisisitiza umuhimu wa kuwachagua madiwani na wabunge watakaowaletea maendeleo.

Akihutubia maelfu ya Wamaasai katika eneo la kimila la Elerai mnamo Agosti 1, 2025, Olekisongo aliwataka vijana wa jamii hiyo kuwa mstari wa mbele katika kushiriki uchaguzi, huku akieleza kuwa kwa upande wa urais, jamii hiyo inapaswa kumpigia kura Rais Samia Suluhu Hassan, akimtaja kama kiongozi wa mfano ukilinganisha na marais waliopita.

"Uchaguzi wa vyama unaendelea, chagueni mnavyotaka, lakini Tanzania nzima inajua Wamaasai ni CCM, kile chama cha Nyerere. Mtu asije akahoji kwa nini, maana huo ni umoja wetu," alisema Olekisongo.

Hata hivyo, kauli hiyo imeibua upinzani kutoka kwa baadhi ya vijana wa jamii hiyo, waliopinga vikali madai ya kiongozi huyo wa kimila.

Wameeleza kuwa wana uhuru wa kuchagua chama wanachokitaka, huku baadhi yao wakijitambulisha kama wafuasi wa vyama vingine, wakisisitiza kuwa si sahihi kuunganisha jamii nzima na chama kimoja cha siasa.


View attachment 3428644
Anataka kujipatia Ugali mumo kwa mumo.

Wajinga ndio waliwao
 
Kiongozi wa kimila wa jamii ya Kimaasai nchini Tanzania, Laigwanan Isack Olekisongo, ametoa wito kwa jamii hiyo kote nchini kujitokeza kwa wingi kupiga kura kwenye Uchaguzi Mkuu unaotarajiwa kufanyika Oktoba 2025, huku akisisitiza umuhimu wa kuwachagua madiwani na wabunge watakaowaletea maendeleo.

Akihutubia maelfu ya Wamaasai katika eneo la kimila la Elerai mnamo Agosti 1, 2025, Olekisongo aliwataka vijana wa jamii hiyo kuwa mstari wa mbele katika kushiriki uchaguzi, huku akieleza kuwa kwa upande wa urais, jamii hiyo inapaswa kumpigia kura Rais Samia Suluhu Hassan, akimtaja kama kiongozi wa mfano ukilinganisha na marais waliopita.

"Uchaguzi wa vyama unaendelea, chagueni mnavyotaka, lakini Tanzania nzima inajua Wamaasai ni CCM, kile chama cha Nyerere. Mtu asije akahoji kwa nini, maana huo ni umoja wetu," alisema Olekisongo.

Hata hivyo, kauli hiyo imeibua upinzani kutoka kwa baadhi ya vijana wa jamii hiyo, waliopinga vikali madai ya kiongozi huyo wa kimila.

Wameeleza kuwa wana uhuru wa kuchagua chama wanachokitaka, huku baadhi yao wakijitambulisha kama wafuasi wa vyama vingine, wakisisitiza kuwa si sahihi kuunganisha jamii nzima na chama kimoja cha siasa.


View attachment 3428644
Huyu ni chawa mpuuzi sana! Analazimisha watu!
 
Kiongozi wa kimila wa jamii ya Kimaasai nchini Tanzania, Laigwanan Isack Olekisongo, ametoa wito kwa jamii hiyo kote nchini kujitokeza kwa wingi kupiga kura kwenye Uchaguzi Mkuu unaotarajiwa kufanyika Oktoba 2025, huku akisisitiza umuhimu wa kuwachagua madiwani na wabunge watakaowaletea maendeleo.
Soma pia: Masai hawana ardhi, Rais Samia anawapenda


Akihutubia maelfu ya Wamaasai katika eneo la kimila la Elerai mnamo Agosti 1, 2025, Olekisongo aliwataka vijana wa jamii hiyo kuwa mstari wa mbele katika kushiriki uchaguzi, huku akieleza kuwa kwa upande wa urais, jamii hiyo inapaswa kumpigia kura Rais Samia Suluhu Hassan, akimtaja kama kiongozi wa mfano ukilinganisha na marais waliopita.

"Uchaguzi wa vyama unaendelea, chagueni mnavyotaka, lakini Tanzania nzima inajua Wamaasai ni CCM, kile chama cha Nyerere. Mtu asije akahoji kwa nini, maana huo ni umoja wetu," alisema Olekisongo.

Hata hivyo, kauli hiyo imeibua upinzani kutoka kwa baadhi ya vijana wa jamii hiyo, waliopinga vikali madai ya kiongozi huyo wa kimila. Wameeleza kuwa wana uhuru wa kuchagua chama wanachokitaka, huku baadhi yao wakijitambulisha kama wafuasi wa vyama vingine, wakisisitiza kuwa si sahihi kuunganisha jamii nzima na chama kimoja cha siasa.
Chanzo: Jambo tv
 
Back
Top Bottom