Heaven on Earth
JF-Expert Member
- Mar 21, 2013
- 37,226
- 26,716
Kama kachomwa ganzi anasubiri kung'olewa jino
hahahaa my brother naona watoa mifano mingi kweli ni iksipiriensi at work ama
Kama kachomwa ganzi anasubiri kung'olewa jino
kuna baadhi ya maneno wala hayafai kuyasema hovyo hadharani
Mmmmmmmmmmmmmmmmmmmhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhh........!!!Mmmmmmhhhhh...
Mtu anaposema ati anaona kinyaa mdomo wa mwenzi wake unajua huyo mtu ni taa ya hira?? Unampenda au unamtwaa tu. Jameni, mpaka mtu akuvulie pichu yake kwa amani na furaha si unajua kakuheshimu mno? Kama ni hao hit and run hata uso wake sitakagi kuuangalia. Lakini huyu mother house wangu, tuna 40 yrs kwenye ndoa lakini kila siku ulimi lazima wakati wa kuagana kwenda usingizini. Sijawahi naye haja wahi kuona kinyaa.
Kwani kiss ni nini jamani, kama hujui maana yake au faida yake acha na piga kimya tu. Kila kitu kina mahali pake.
yaani haka kamvua I wish......... I wish
Mmmmmmmmmmmmmmmmmmmhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhh........!!!
Domo waaaazi anahema kama kakimbizwa mimate kama anakula ukwaju!!!!!!!
Khaaa..just a kiss or a dental extraction!!!!!
tatizo nini hasa...! Mvua imefanyaje, i could help..
come close nikunong'oneze
hahahaa my brother naona watoa mifano mingi kweli ni iksipiriensi at work ama
Nimecheka sana aisee.ni noumaa.
miaka 40 katika ndoa hongereni
Lakini kiwe na mipaka
Kwani wakati wa mapenzi motomoto yale mate ya mpenzi wako uayonyonya yakiwekwa kwenye kikombe unaweza kunywa?
Halafu umemuacha hata robo saa haijapita anaanza ooonh you are so great sijui nini nini!!!!!?????
Daaaamn hapo harudi mtu ujue hata kuwe na msiba!!!
Ukiona unasikia kinyaa kwa mpenzi wako ujue mapenzi yashaanza kuisha hapo,mapenzi uchafu la'aziz wako huwezi kumuonea kinyaa
Unawapongeza hao wenye miaka 40 katika ndoa!!!!!!!!!!!!: Hiyo ni ndoa changa sana, sisi tuna 65 katika ndoa lakini juisi tunapeana kama kawaida halafu naipenda juisi ya my wife wangu kuliko ya Azam Mango