sangkipsigis
Member
- Dec 24, 2008
- 16
- 2
Amechanganyikiwa haswa! Nilidhani atazungumzia mapungufu wa Waraka, kitu ambacho hakukufanya kabisa. Haitoshi kusema dini isichanganywe na siasa. Mbona mara nyingi katika matukio mbalimbali wanasiasa hukaribisha viongozi wa dini wawaombee?