NgomaNzito
JF-Expert Member
- Jan 10, 2008
- 559
- 26
Mimi nadhani ambaye hajamuelewa ni mbumbumbu aliyoyaeleza ni ukweli mtupu iweje anayeukosoa kitemdo cha Roman Catholic kuandaa waraka anaambiwa fisadi na kubezwa ili kila hali tunajua kuwa Dini isichanganywe na siasa.Hivi kweli Mwenye akili timamu anataka watanzania tuongozwe na Mashikh na Maaskofu nani wa kumchagua.Au hizi fedha chafu zinazotolewa kama njugu kama misaada zinatufanye tupoteze misimamo yetu
Mimi nadhani ambaye hajamuelewa ni mbumbumbu aliyoyaeleza ni ukweli mtupu iweje anayeukosoa kitemdo cha Roman Catholic kuandaa waraka anaambiwa fisadi na kubezwa ili kila hali tunajua kuwa Dini isichanganywe na siasa.Hivi kweli Mwenye akili timamu anataka watanzania tuongozwe na Mashikh na Maaskofu nani wa kumchagua.Au hizi fedha chafu zinazotolewa kama njugu kama misaada zinatufanye tupoteze misimamo yetu
Kingunge+Makwaia+Saidsabke=Udini
Kweli mzee anazeeka vibaya sana, eti anasema dini inaleta ubinafsi anavyodai yeye eti kwa sababu kila mtu ana dini yake so muda wa kwenda kusali/kuswali ukifika kila mtu anaenda kwenye dhehebu lake. kweli kazi ipo.
Mimi nadhani ambaye hajamuelewa ni mbumbumbu aliyoyaeleza ni ukweli mtupu iweje anayeukosoa kitemdo cha Roman Catholic kuandaa waraka anaambiwa fisadi na kubezwa ili kila hali tunajua kuwa Dini isichanganywe na siasa.Hivi kweli Mwenye akili timamu anataka watanzania tuongozwe na Mashikh na Maaskofu nani wa kumchagua.Au hizi fedha chafu zinazotolewa kama njugu kama misaada zinatufanye tupoteze misimamo yetu
Kweli mzee anazeeka vibaya sana, eti anasema dini inaleta ubinafsi anavyodai yeye eti kwa sababu kila mtu ana dini yake so muda wa kwenda kusali/kuswali ukifika kila mtu anaenda kwenye dhehebu lake. kweli kazi ipo.
Mimi nadhani ambaye hajamuelewa ni mbumbumbu aliyoyaeleza ni ukweli mtupu iweje anayeukosoa kitemdo cha Roman Catholic kuandaa waraka anaambiwa fisadi na kubezwa ili kila hali tunajua kuwa Dini isichanganywe na siasa.Hivi kweli Mwenye akili timamu anataka watanzania tuongozwe na Mashikh na Maaskofu nani wa kumchagua.Au hizi fedha chafu zinazotolewa kama njugu kama misaada zinatufanye tupoteze misimamo yetu
Jana Mzee wetu alitoa nafasi nzuri sana kwa Waandishi wetu kwa niaba ya Watanzania kumuuliza maswali mazuri na mazito ambayo pengine yangetusaidia kuelewa tamko lake lile kule Bungeni lilikuwa na maana gani. Nahisi nafasi ile haikutumika vizuri aidha kwa kuwa waandishi waliokwenda pale hawakujiandaa kwa lolote upande wao zaidi ya yale mazoea ya kwenda kuwasikiliza viongozi wetu na kesho yake kuwanukuu kwenye magazeti au Wahariri wetu waliudharau mkutano ule wakawatumaa waandishi-wanafunzi wengi.
Nasema hivyo kwa kuwa nimepitia magazeti kadhaa asubuhi hii sijaona swali zito na la maana aliloulizwa Kingunge kama vile:
1. Mahakama ya KADHI iliingiaje kwenye ILANI ya uchaguzi ya CCM 2005?
2. Waraka ule umeandaliwa na MAASKOFU au CPT?
3. Nini hasa kilichomo kwenye waraka ule ambacho ni cha KIDINI?
4. Waraka hu ni wa kwanza kutolewa na CPT?
5. Utajiri wa kupindukia walio nao baadhi ya wanasiasa unatokana na nini?
6. Utajiri wa mwanae Kinjekitile hauna uhusiano na yeye anayekataa kuwa sio FISADI
Na mengine mengi tu. Waandishi ambao sasa mnajiita MHIMILI wa NNE wa DOLA zitumieni vizuri nafasi hizi kwa niaba yetu.
Niliwahi kuwaambia mkasome kitabu kinaitwa the root of all evil. Kama hamjui vita vingi vya wenyewe kwa wenyewe vina mkono wa Roman Catholic Church na sasa Tanzania ndipo inapolekea nyie subirini. Kingunge analosema ni kweli na hajakosea hata kidogo tunahitaji watu wenye ushupavu kama huo kunyooshea kidole Tabia kama hii.
Na tukiiachie Tanzania inaelekea katika vita vya wenyewe kwa wenyewe
Wild Card
EXELLENT!