Kingunge akerwa, akemea yanayoendelea ndani ya CCM

Kingunge akerwa, akemea yanayoendelea ndani ya CCM

sana. wazee wa kulisaidia taifa letu kwa sasa ni warioba,butiku,salimu kidogo na wengineo wachache.

Ndugu yangu hujamsikia Butiku leo ndio hafai kabisaaaa kwani anatetea utendaji wa mwenyekiti ambae amejaza familia yake Nec je huo ndio usawa na kwa mnaopenda kumkoti baba wa taifa yeye aliingiza familia yake yote Nec kama ilivyo leo?
 
Mungu ambariki Rais Kikwete asimamie haki na uadilifu, hili ni jambo jema ambalo Rais Kikwete atatutendea kama kwaheri ya uongozi wake, nchi kwenda mikononi mwa wezi ni jambo lisilokubalika.

Mungu ambariki Rais Kikwete na ampe ujasiri wa kusimamia lililo jema.

Wana CCM na Watanzania kwa ujumla tutamheshimu kwa kufanya hivyo.

Niliwahi kusema ziku za nyuma kwamba JK ni mega smart upstairs lakini watu hawakunielewa, he knows wapi pa kuanzia kuwa-contain ma-neo-wanamtandao - kama kawaida yake atacheza karata zake kwa ufundi mkubwa kiasi cha kuwafanya wanaojitia ujuaji wakiparaganyika kwa mtindo wa domino effect, they won't know what hit 'em!! Modus operandi ya JK unikumbusha sana mbinu za Field Marshal Erwin Rommel - 'am not kidding mtakuja kushangaa umahili wake.

Kama JK aliwahi ku-defuse hali hatarisi nchini Kenya, awezi kushidwa ku-deal na sintofahamu ndani ya chama bila ya kuogopa au kushikizwa na kudi lolote ndani ya CHAMA, watakao pania kuendeleza mitafaruku ya kijinga ndani ya CHAMA basi waondoke kwenye CHAMA chetu wakahanzishe cha kwao.
 
kingunge kajiabisha sana kuunga mkono fisadi, kapoteza moral authority ya kuongea kama mzee wa chama maana tayari ana team anayoshabikia
 
Pole sana Nape Nnauye naona nyota yako inazidi kufifia, mara nyingi kumekua na taarifa za wewe kushushwa jukwaani na Kinana kutokana na kauli zako, juzi kati hapa ukaja na goli la kidole mara na mkono na sasa umekuja na jipya!

Mzee Kingunge amejitokeza hadharani na kuonya kuwa kauli zako zinakizika chama chako na mimi nasema mfe tu maana tumechoka! Kingunge amethibitisha kuwa huko ndani ya CCM kuna fukuto kubwa na wala sio Demokrasia tena bali ni Domg ghasia ndio iliyojaa huko CCM.

Pumzikeni kwa amani

Yaani wewe bado unachelewa na Kingunge. Huyu kashaisha wala hana lake. Kukuthibitishia hilo chunguza yafuatayo.
1) Je katika ile kamati ya ccm ya maadili yupo. Hivi yeye si pamoja na akina Malecele na nk lakini jina lake sikuliona.
2) Katika uchaguzi wa kamati kuu aliambulia kura 2.
3) Kauwa stand ya mabasi ya Ubungo kwa ufisadi wake mpaka kanyanganywa. Eti ameahidiwa na Lowasa kuwa atamrudishia pindi atakapo pata urais huyo Fisadi (japo amekataa hiki cheo lakini ndio degree aliyochukua-Ufisadi, siwezi kumtukuza kwa kumwita cheo kingine) Lowasa.

Achana na KiNGUNGE TAZAMA WENGINE.
 
Niliwahi kusema ziku za nyuma kwamba JK ni mega smart upstairs lakini watu hawakunielewa, he knows wapi pa kuanzia kuwa-contain ma-neo-wanamtandao - kama kawaida yake atacheza karata zake kwa ufundi mkubwa kiasi cha kuwafanya wanaojitia ujuaji wakiparaganyika kwa mtindo wa domino effect, they won't know what hit 'em!! Modus operandi ya JK unikumbusha sana mbinu za Field Marshal Erwin Rommel - 'am not kidding mtakuja kushangaa umahili wake.

Kama JK aliwahi ku-defuse hali hatarisi nchini Kenya, awezi kushidwa ku-deal na sintofahamu ndani ya chama bila ya kuogopa au kushikizwa na kudi lolote ndani ya CHAMA, watakao pania kuendeleza mitafaruku ya kijinga ndani ya CHAMA basi waondoke kwenye CHAMA chetu wakahanzishe cha kwao.

Nakubaliana na wewe
 
Chonde chonde wanaccm mmemsikia Mzee kingunge akimpigania FISADI wake eti ni lazima apitishwe yeye lowassa in nani?

sasa wewe unamfukuza mwenye chama? nyinyi ndio wapangaji mnatakiwa muondoke wao wamekitoa chama chao mbali nyie mnadandia tu mwambie mwenyekiti wako afungue mdomo sasa kingunge kashamaliza haogopi mtu.
 
Lolote baya litakalo kikuta chama cha mapinduzi ktk wakati huu basi kungunge atakuwa ktk wahusika wakuu wahayo mabaya.
Mzee kingunge kashindwa kujijua nafasi yake ktk chama na nchi kwa ujumla.
Utumishi wake ktk chama na nchi kwa ujumla.
Laiti angejijua asinge stahiki kuelemea kwa mgombea mmoja luwasa.
Kwanafasi yake ktk chama na kwa umri wake alionao na utumishi wake wa nyanja mbali mbali ktk serikali hakustahiki kujitokeza hadharani wapi ameegemea.
 
Ngombare hamna mvuto tena wala Hana maadili hata chembe kimekuwa kizee kila rushwa puuuu!!!!!!!!!
Na wala hakuna mkuu anataka ushauri kwake chamani labda MAFISADI, kiishie hukoo mbele kituachie CCM yetu
 
Hivi kingunge ni Mzee wa chama?mbona wenzake wako kimya yeye amejibainisha?swali lingine hivi kingunge akimzungumzia Nyerere anasemaje?
 
Sasa ni dhahiri kuwa vita ya CCM kati ya Kingunge Ngombale Mwiru (mzee) na rais Jakaya Kikwete imeshika kasi baada ya kada huyo wa siku nyingi wa CCM kuweka bayana kuwa rais Kikwete sasa ameifanya CCM kama chama chake binafsi.

Kingunge pia amesema kuwa endapo Kikwete ataendelea kushikilia msimamo wake, CCM itaanguka katika uchaguzi mkuu ujao.

Hayo ameyasema wakati akihojiwa na ITV habari.

Mimi nipo Dodoma kusubiri maamuzi ya kamati ya maadili na usalama ya CCM na nitawaletea kila ninachopata.

Acheni kumzulia Mh.Jakaya Kikwete - ni Wapi Kingunge alimtaja kwa jina JK??? Kwani Tanzania ina ITV ngapi au ITV ya Uingereza imehamia IPP Media maanake mmliki wake ni copycat wa majina ya UK Media kuanzia ITV, Radio1-5, Guardian nk - wasifikili wasikilizaji hawana akili ya kushindwa kujua kinacho endelea nyuma ya pazia, si rahisi mzee kama yule akutwe na reporter wa ITV akiwa bustanini peke yake - was it a coincident kutangaza clip hiyo kwenye primetime? I don't think so – we inakuwaje mtu mmoja anapewa airtime ya zaidi ya dakika tatu kuzungumzia masuala ya CHAMA in public wakati yeye akijua wazi ni stalwalt wa CHAMA, hivyo alipaswa kuzungumzia dukuduku lake ndani ya vikao vya chama sio barabarani!!

Mtu ungetegemea busara zake zingetumika kuhitisha kikao cha dhalula na wazee wenzake namely: Mzee Mkapa, Mzee Hassan Mwinyi, Mh.Kinana, Mzee Cleopa Msuya, Mzee Pius Msekwa, Mh. S.H.Salim, Mh.Commando, Mh.Maua Daftari – mwenye kiti akiwa ni Mzee Mkapa – kundi hilo ndilo linaweza kuwaodoa wote waliokihuka with impunity masharti ya chama licha ya kuonywa zaidi ya mara moja na kupewa adhabu ontop – narudia kusema wagombea ambao hawajali lolote waondolewe tu bila ya kupeleka majina yao CC au NEC, hakuna ambaye atalahumu CHAMA kwa kuwaondoa, wawahia mapema kabla hawaja tuletea zahama za Kenya katika Taifa letu, tukiwachekea au kuogopa lawama tunaweza kujikuta tunaingia kwenye machafuko yasio ya lazima.

Vuguvuvu la mchakato wa Urais lisiwafanye Wazee waliokuwa wanategemewa sana kwa busara zao siku za nyuma leo hii wanajikuta wanagehuka kuwa a neither nor like a BAT kwa sababu ambazo zinashangaza kidogo!! Niwakumbushe wagombea kwamba CCM ni zaidi ya mtu binafsi kwa maneno mengine hakuna mwanachama/wanachama wa CCM ambaye ana ubavu wa ku-blackmail CHAMA na kutisha tisha watu – kama unakidhi sifa utapendekezwa lakini hizi cowboy tacticts za kutaka kulazimisha kushika madaraka come rain or shine ni hatari sana, sijui kama Watanzania wenzagu wanaliona hilo.
 
Huyu kingunge kutakuwa na wadudu wamejaa kichwani. yeye kajipambanua wazi anamsapoti Lowassa, anategemea watu wamsikilize kama impartial voice?

NAdhani akiona picha kama hii nywele zinazidi kunyonyoka kwa mawazo, maana kati katika hesabu zao Mangula alitakiwa awe kijijini kwake Iringa amepauka kama muhogo wa juzi. Hapo alipo mangula, na hii salamu, Lowassa ajiandae kuanza kuzoeana naMifugo yake Monduli.

JK_MANGULA_KINANA_NAPE.jpg
 
Pole sana Nape Nnauye naona nyota yako inazidi kufifia, mara nyingi kumekua na taarifa za wewe kushushwa jukwaani na Kinana kutokana na kauli zako, juzi kati hapa ukaja na goli la kidole mara na mkono na sasa umekuja na jipya!

Mzee Kingunge amejitokeza hadharani na kuonya kuwa kauli zako zinakizika chama chako na mimi nasema mfe tu maana tumechoka! Kingunge amethibitisha kuwa huko ndani ya CCM kuna fukuto kubwa na wala sio Demokrasia tena bali ni Domg ghasia ndio iliyojaa huko CCM.

Pumzikeni kwa amani

Who is Kingunge so far? Mbona hana sifa tena kati ya wenyebusara? Kaijua pesa uzeeni hana maana tena. He is confused because a politician of his caliber he was supposed to remain neutral and play a role of re conciliator within the party rather than taking sides
 
Bukyanagandi,

..mimi siipendi CCM yote.

..lakini sioni sababu ya CCM kukata jina la Lowassa wakati yeye ndiye aliyempigania JK mpaka akawa Raisi, na vilevile mbinu zilizomuingiza JK madarakani ndizo hizohizo zinatumiwa na Lowassa kusaka Uraisi.

..zaidi inaelekea Lowassa ndiyo anaungwa mkono na wana-CCM wengi zaidi. hakuna mwenye uwezo wa kuvutia wana-CCM wengi zaidi ya Lowassa. Hakuna aliyejaribu kwasababu hawana uwezo huo.

..huwezi kuanza kutafuta Raisi msafi wakati chama kizima kimeoza mpaka huku chini. Wanachama wenyewe kwa makundi hawaoni tatizo lolote lile na Lowassa na wamedhihirisha kwa jinsi walivyojitokeza kumuunga mkono.

cc Pasco
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom