Kingunge akerwa, akemea yanayoendelea ndani ya CCM

Kingunge akerwa, akemea yanayoendelea ndani ya CCM

Kingunge anapigania biashara ya mwanae Kinje boss wa Masogange.. Anajua kuna watu wakipewa nchi nini kitamkuta Kinje.
 
Nape Nnauye tuambie tu Marehemu Chichiem anazikwa wapi?Pilau ,wali duh tusiukose jamani.Nasikia hata kile kiinua miguu pia mmekipiga kwanja inakuwaje?Na wale wajumbe wenu wa mjengoni nasikia wamegomea kuingia kwa mjengo
 
Maaaana wazee kama wakina roaba Mme mwona hafai tena huyu mlinzi wenu wa chama hamtaki tena? Nn kitatendeka baada ya hao wazee kukosa umani na ccm?

Tarajieni anguko ambalo litawaangusha c mchezo
 
Kingunge ni Team Lowasa na Nape ni Team Membe! Patamu hapo, CCM mwaka huu mtajiua wenyewe

tatizo la kingunge kajitoa mhanga kumtetea lowasa.nape anatumia cheo chake kumsaidia membe.
 
Aaaaah yangu macho na masikio., Kingunge umenena ukweli kbs
 
Kingunge Kaongea maneno mazito sana, Kila mwenye mapenzi mema na CCM hapaswi kufanya yaliyokemewa na Mkongwe huyu! CCM lazima ifuate matakwa ya sisi wanachama na sio viongozi, ambao ni wachache.
 
Huu saaa upotishaji bwana ajasema hivyo,kasema mzungumzaji wa chama ambae wote tunajua ni bwana Nape,wewe taarifa yako hii umeitolea wapi aisee..
 
Wote ni wanasiasa na wanaganga njaa. Miongoni mwao hakuna alieendelea pasinamgongo wa CCM. Wengi walipiga plan B miaka 5 ilopita wakaona bora wabaki humo humo wabanane na wajaze matumbo yao. Hii inajirudia sasa na bahati mbaya waliowengi (wapiga kura) hawajitambui.
 
mpuuzi wewe unazani sisi atujaangalia ,na vipi ya mzee butiku,
kaeni huko nyie mavuvuzera wa lowasa,hatima yenu imaishakamilika,

Baba Nec
Mama Nec
Mtoto Nec.

swissme.
 
ni nani mwenye mamlaka ya juu kwenye chama ya kuimplement na kuinforce katiba na kanuni za chama jiongeze kidogo

mnaangaika na kikwete kwa uchafu wenu, je kikwete 1995 alikuwepo mlipokataliwa na nyerere,?
kelele za vyura haziwezi kuzuia simba kunywa maji,ameishakakwa jipange
na mkienda vibayasijui,ogopa mtu uanamrushia mawe amekaa kimia tu,
 
hivi wale waganga waliopelekwa na kingunge pale dodoma wamefikia wangapi vile...
 
Ni hasara kwa Taifa kuwa wazee aina ya Kingunge.
 
Kingunge is very stupid aged man. He is doing the same thing by supporting Lowasa in the day light against his party's policy. Nyani haoni kundule!

Kaka huyo yuko benchi la UFUNDI.Huyo kaka huko Chichiem anaogopewa kama Mungu mdogo.Acha kabisa.Akisema wengine wananyamaza
 
Kingunge unajichora sana, wazee wenzako wamebaki kumshauri rais mfano Butiku na Warioba lakini wewe unajificha kwa mgombea urais mmoja. Dhambi hii ikutafune na ikutafune. Wewe nani utishie mamlaka husika nani? Mnautaka urais kwa nguvu namna hii mnatutia mashaka sana. Kama Mungu kakupangia utaupata tu.
 
Mzee kingunge alivyokuwa anaongea inaonyesha hawapo tayari ku accept NO as an answer..
 
Huu saaa upotishaji bwana ajasema hivyo,kasema mzungumzaji wa chama ambae wote tunajua ni bwana Nape,wewe taarifa yako hii umeitolea wapi aisee..

Nini maana ya mzungumzaji wa Chama? Mods naomba muulinde huu uzi! Mzungumzaji wa chama huwa anaelekezwa na viongozi wa juu wa chama! Kama nilivyomsikia Kingunge anamlenga rais Kikwete na siyo mtu mwingine! Nape asibebeshwe zigo!
 
Mungu ambariki Rais Kikwete asimamie haki na uadilifu, hili ni jambo jema ambalo Rais Kikwete atatutendea kama kwaheri ya uongozi wake, nchi kwenda mikononi mwa wezi ni jambo lisilokubalika.

Mungu ambariki Rais Kikwete na ampe ujasiri wa kusimamia lililo jema.

Wana CCM na Watanzania kwa ujumla tutamheshimu kwa kufanya hivyo.
 
Back
Top Bottom