mfungwa
JF-Expert Member
- May 23, 2015
- 1,294
- 345
LOWASSA aliwahi kuiibia nini Nchi hii zaidi ya majungu, fitina, na umbea usiokuwa na ushahidi?
Vyombo vyenye mamlaka ya RUSHWA, UFISADI, WIZI etc havijawahi kumtia hatiani LOWASSA kwa lolote lile, iweje wewe na ubush lawyer wako umtuhumu LOWASSA kuwa ni mwizi?
CCM yenyewe lishindwaje kumwajibisha muda wote huo? matokeo yake ikaona LOWASSA yu safi kiasi cha kuweza kupewa fomu ya kugombea Urais kupitia CCM?
Hizi Porojo hazina nafasi tena ndani ya CCM. Kwakuwa LOWASSA ndiye anayekubalika ndani na nje ya CCM,
tumchague huyo, hatuna option nyingine kama chama.
Lisemwalo lipo kama halipo laja mrundi upo