Kingunge akerwa, akemea yanayoendelea ndani ya CCM

Kingunge akerwa, akemea yanayoendelea ndani ya CCM

LOWASSA aliwahi kuiibia nini Nchi hii zaidi ya majungu, fitina, na umbea usiokuwa na ushahidi?

Vyombo vyenye mamlaka ya RUSHWA, UFISADI, WIZI etc havijawahi kumtia hatiani LOWASSA kwa lolote lile, iweje wewe na ubush lawyer wako umtuhumu LOWASSA kuwa ni mwizi?

CCM yenyewe lishindwaje kumwajibisha muda wote huo? matokeo yake ikaona LOWASSA yu safi kiasi cha kuweza kupewa fomu ya kugombea Urais kupitia CCM?

Hizi Porojo hazina nafasi tena ndani ya CCM. Kwakuwa LOWASSA ndiye anayekubalika ndani na nje ya CCM,

tumchague huyo, hatuna option nyingine kama chama.

Lisemwalo lipo kama halipo laja mrundi upo
 
Watanzania mmepata nafasi ya kukipasua kibuyu kilichoanza kula kuku..kikala mbuzi. ...shauri yenu.

Msipotumia nafasi hii. ...mtaendelea kubweka tu
 
Anakerwa nini yeye kama nani ni mwanachama tu asitubabaishe ameamua kuukumbatia ufisadi Na wizi hatutaki atuchafulie çhama kama anaona ccm INA kasoro watoke sio lazima wabaki ccm
 
Viongozi wachache tuliowapa madaraka wasije wakajisahau na kusababisha chama chetu kushindwa uchaguzi kwa sababu ya chuki zao binafsi, Wananchi na wanachama walio wengi wasikilizwe wanamtaka nani, na sio viongozi ambao ni wachache!
chocheeni kuni moto uwakee manachotaka kitokeee,chochea chochea,chochea chochea....tukutane oktoba wallah.
 
LOWASSA aliwahi kuiibia nini Nchi hii zaidi ya majungu, fitina, na umbea usiokuwa na ushahidi?

Vyombo vyenye mamlaka ya RUSHWA, UFISADI, WIZI etc havijawahi kumtia hatiani LOWASSA kwa lolote lile, iweje wewe na ubush lawyer wako umtuhumu LOWASSA kuwa ni mwizi?

CCM yenyewe lishindwaje kumwajibisha muda wote huo? matokeo yake ikaona LOWASSA yu safi kiasi cha kuweza kupewa fomu ya kugombea Urais kupitia CCM?

Hizi Porojo hazina nafasi tena ndani ya CCM. Kwakuwa LOWASSA ndiye anayekubalika ndani na nje ya CCM,

tumchague huyo, hatuna option nyingine kama chama.
bunge ushahidi wa ricmond haukupelekwa?kama ulikua uongo mbn hakusema nani kacheza lile dili na kumsevu akajiuzulu u pm?
 
Mkuu Genge la wanyonyaji, LIMEKULEA, LIMEKUSOMESHA, LIMEKUWEZESHA, hata sasa umeweza kusimama mwenyewe na kuwa uthubutu wa kukashifu hivi.
mkuu mchumia tumbo,kwani jamaa alikuwa yatima hadi genge limfanyie yote hayo au uzuzu tu ndo unakufuru wazazi wako kisa tumbo?
 
hakuna kuanguka ccm mwaka huu,haujaona wazee wa ccm kwenye mdahalo nini?
hachana na hiki kibabu chenu rahana ya baba wa taifa

Leo wamekuwa wazee wa ccm...walipotaka serikali tatu simlimtuma makonda akawatwange ngumi???simlimsema wapumzike wangoje kufu???hili li-chama kuanzia viongozi hadi wanachama wake wote wanafiki😕
 
...kama vile sokoine alivyokufa na uzalendo ndivyo lowassa atakavyofufuka na tumaini jipya la ukawa!
 
Chonde chonde wanaccm mmemsikia Mzee kingunge akimpigania FISADI wake eti ni lazima apitishwe yeye lowassa in nani?
 
Huo Ushahidi wa kutumia Pesa, hata mimi nataka sana kuuona, ili nichague mbivi na mbichi, nimeshauulizia mara nyingi sana, ndani na nje ya JF, lakini naaambulia Porojo tu.

utasubiri sana, tangu lini rushwa inainishwa na risiti na kulipiwa VAT?
 
Huyo Mzee anakitetea chama lkn mheshimiwa halioni hiyo. #

Tunaingia kwenye mashindano ya kuchora..monitor alishajichorea picha yake tangu akiwa kwao anaitoa mfukoni kisha anai-submit kwa invigilator..unategemea nini??
 
Mzee Kingunge safiiiiiii....kabisaaaa...!!!!

Kasema watu wanaofanya chama ni mali ya familia hawafai, na watakiuua chama...yaani akimlenga JK... kagonga katikati ya mshipa wa ukweli...!!!

Wananchi wanampenda Lowassa...hii inamaanisha JK hamtaki Lowassa ndio picha nayaopata kwa wazi sasa....!!!!

Na wanachama wa CCM, NEC, MKUTANO MKUU, UVCCM, wanampenda Lowassa, JK nae anaona wanachama hawamuamini tena... Inapofikia mwenyekiti wanachama hawakuamini tena na wanasema wazi wazi, kuwa unaenda kinyume na KIPENZI CHA WENGI....basi ndio hapo sasa, MWENYEKITI ATATAKA KULAZIMISHA VITU AMBAVYO hataweza...!!!!

Najua fika ndani ya vikao wana CCM hawana imani kabisa na JK... washamuona mtu wa unafiki na kutaka kuwachagulia Rais, kitu ambacho hawezi sbb his reputation haipo tena inside ya CCM...!!! WATU WAKO NA Lowassa tu...!!!

Sasa, inavyoonekana JK hataki hilo, so anapingana na wanachama wengii wa CCM ...ndio maana KINGUNGE kaweka bayana... JK asikifanye CCM chama cha kifamilia kitakufa...!!!!

Safiiii Kingunge...!!!
 
Back
Top Bottom