Kingunge akerwa, akemea yanayoendelea ndani ya CCM

Kingunge akerwa, akemea yanayoendelea ndani ya CCM

2010 JK alisema suala la Urais lilikuwa la familia yake, sasa watu walishindwa kung'amua kuwa Rais anayetokea CCM ndio Mwenyekiti wa Taifa wa CCM. Simple logic ni kwamba kama Urais ni suala la familia basi ata ile kofia nyingine ni suala la familia vile vile!
 
Expire date ya CCM imeshafika tayari.Imebaki octoba kutupwa kwenye dust bin
 
Kingunge Kaongea maneno mazito sana, Kila mwenye mapenzi mema na CCM hapaswi kufanya yaliyokemewa na Mkongwe huyu! CCM lazima ifuate matakwa ya sisi wanachama na sio viongozi, ambao ni wachache.
hahahahaaa mwaka umewakalia pabaya huu, mmegawanyika na kufitinika ninyi kwa ninyi, madonda mnayotiana nakuhakikishia mtaacha makovu makubwa sana kwenye genge lenu. take my word
 
The more mnyukano the more shauku ya kuona hatima yake.
 
Lakini bw. Sam wote tumeisikiliza hiyo taarifa ya habari na hakuna popote alipomtaja yeyote kwa jina. Angeweza akawa alikuwa anamlenga Kikwete au Nape.

alimlenga Nape kwani amenukuu hakuna kukata rufaa endapo mmoja wa waliotangaza nia jina lake litakatwa, Kingunge anadai achaguliwe mtu anaye kubalika na chama na wananchi kwa ujumla kifupi huyu ni team LOWASSA
 
Kingunge Kaongea maneno mazito sana, Kila mwenye mapenzi mema na CCM hapaswi kufanya yaliyokemewa na Mkongwe huyu! CCM lazima ifuate matakwa ya sisi wanachama na sio viongozi, ambao ni wachache.

Hongereni Team lowassa
 
Kingunge Kaongea maneno mazito sana, Kila mwenye mapenzi mema na CCM hapaswi kufanya yaliyokemewa na Mkongwe huyu! CCM lazima ifuate matakwa ya sisi wanachama na sio viongozi, ambao ni wachache.

kingunge hana hadhi ya kuzungumza maneno yale ni mnafiki. kama mzee tangu mwanzo alipaswa kukaa pembeni akisubiri aombwe ushauri lakini kitendo cha yeye kujiingiza mzima mzima kimpigia mmoja wa wagombea kampeni kajishushia heshima. kingunge kwa sasa anatapatapa kumsaidia lowasa na wala sio chama.
 
Kasemaje word by word..., sisi wasomaje ndio tuweze kutafsiri..., ingawa usemayo ni kweli kama hakutaja jina inabidi na mleta habari naye asingeleta tafsiri yake

Sam ameniguote na akasema mara nyingi Kingunge amekuwa akimshambulia Kikwete. Mimi nasema yote hayo yanawezekana kwani sio lazima amtaje jina watu waelewe anamlenga yeye lakini kwa taarifa ya saa mbil Itv hajamtaja jina pia hivyo huo unazidi kuwa mtazamo wake.
 
Baba Nec
Mama Nec
Mtoto Nec.

swissme.

pole sana,hata kama hauna macho hata ufahamu tu wakawaida hauna? wakati sio wenu,
mnaendelea kuleta mambo ya hovyo,huku unakuta mtu mwenyewe eti kijana ni aibu,
onyesha weredi wako kwa kwenda na movie,wenzio wameishasoma movie wamekaa kimia tu
 
Mimi nilisikia kama alimsema msemaji wa chama cha ccm kuwa anapotosha na kushambulia wagombea. Ila ni raha burudani tele
 
Mzee kingunge alivyokuwa anaongea inaonyesha hawapo tayari ku accept NO as an answer..
hivi kitatokea nini baada ya week hii? kila mtu atachukua fito zake, ujenzi umewashinda MANI ni shahidi
 
Last edited by a moderator:
Wote ni wanasiasa na wanaganga njaa. Miongoni mwao hakuna alieendelea pasinamgongo wa CCM. Wengi walipiga plan B miaka 5 ilopita wakaona bora wabaki humo humo wabanane na wajaze matumbo yao. Hii inajirudia sasa na bahati mbaya waliowengi (wapiga kura) hawajitambui.

mkuu safari hii watu wasiposema ukweli hata mawe yatasema...
 
Huyu Mzee heshima yake ndogo iliyokuwa imebakia baada ya kufanya ufisadi wake stendi ya ubongo sasa heshima hiyo anaizika rasmi, hivi huyu Mzee EL asipokuwa Rais atauweka uso wake wapi?Mzee asiyejua taratibu za chama na kutoa kauli kama kijana mdogo asiyejua lolote ni aibu ata kumuweka miongoni mwa wazee wa chama.
 
Pole sana Nape Nnauye naona nyota yako inazidi kufifia, mara nyingi kumekua na taarifa za wewe kushushwa jukwaani na Kinana kutokana na kauli zako, juzi kati hapa ukaja na goli la kidole mara na mkono na sasa umekuja na jipya!

Mzee Kingunge amejitokeza hadharani na kuonya kuwa kauli zako zinakizika chama chako na mimi nasema mfe tu maana tumechoka! Kingunge amethibitisha kuwa huko ndani ya CCM kuna fukuto kubwa na wala sio Demokrasia tena bali ni Domg ghasia ndio iliyojaa huko CCM.

Pumzikeni kwa amani

Acha kife tuu eeèeeh
 
Last edited by a moderator:
hivi kitatokea nini baada ya week hii? kila mtu atachukua fito zake, ujenzi umewashinda MANI ni shahidi

Wacha wagawane fito sisi tujenge yetu kwa umoja.
 
Last edited by a moderator:
alimlenga Nape kwani amenukuu hakuna kukata rufaa endapo mmoja wa waliotangaza nia jina lake litakatwa, Kingunge anadai achaguliwe mtu anaye kubalika na chama na wananchi kwa ujumla kifupi huyu ni team LOWASSA

huyu babu mpumbavu tu wanaomsema lowasa mbona ni wengi ajipange tu sio wakati wa mitandao huu,sijui kala maharagwe ya wapi?
 
Back
Top Bottom