Kingunge akerwa, akemea yanayoendelea ndani ya CCM

Kingunge akerwa, akemea yanayoendelea ndani ya CCM

Taratiibu naanza kuielewa ile kauli ya kwamba Mkulu ni chaguo la Mungu. Kwa kupitia uongozi wake, na kwa saa kama hiii, lile lichama lililoifikisha nchi katika hali mbaya namna hii linakwenda kusambaratika.
 
haa haa kingunge kamaliza dodoma. anasema lowasa asipopitishwa na ccm kugombea urais ccm itapoteza...
 
Pole sana Nape Nnauye naona nyota yako inazidi kufifia, mara nyingi kumekua na taarifa za wewe kushushwa jukwaani na Kinana kutokana na kauli zako, juzi kati hapa ukaja na goli la kidole mara na mkono na sasa umekuja na jipya!

Mzee Kingunge amejitokeza hadharani na kuonya kuwa kauli zako zinakizika chama chako na mimi nasema mfe tu maana tumechoka! Kingunge amethibitisha kuwa huko ndani ya CCM kuna fukuto kubwa na wala sio Demokrasia tena bali ni Domg ghasia ndio iliyojaa huko CCM.

Pumzikeni kwa amani

Who is Kingunge? I believe he has lost the moral authority as a clean politician. Had he remained neutral probably he could save as a re conciliator within the part, unfortunately he decided to take sides so he has lost the credibility of playing the reconciliation role within the party. A politician of his caliber was supposed to remain neutral and play an advisory role
 
Chonde chonde wanaccm mmemsikia Mzee kingunge akimpigania FISADI wake eti ni lazima apitishwe yeye lowassa in nani?

chama hii kimesha pokwa wapo watu ndani ya ccm wameshakigeuza no Mali yao!!/ hivyo kukuburuza watakavyo na kjkinyima DEMOKRASIA, tunasema HAPANA chama hiki SIO Mali yao kamwe,


PLS PLS MZEE MKAPA INGILIA KATI TUNYOOSHEE CHAMA UPYA MISINGI YA DEMOKRASIA NDANI YA CHAMA IFUATWE.
 
sasa wewe unamfukuza mwenye chama? nyinyi ndio wapangaji mnatakiwa muondoke wao wamekitoa chama chao mbali nyie mnadandia tu mwambie mwenyekiti wako afungue mdomo sasa kingunge kashamaliza haogopi mtu.

Mwenyekiti atamjibu Kingunge ndani ya kikao ...kuropoka nje ya kikao ni kazi ya kingunge.
 
Hii tabia ya kuropoka akiwa majukwaani au vyombo vya habari sio sahihi.

Ni tabia iliyofanywa na kada mkongwe wa CCM kule Zanzibar na hatimaye imepelekea kutimiliwa ndani ya chama alichokiasisi.

Kingunge ametishia kiti na chama mara tatu tena akiwa nje ya vikao halali vya chama.
 
Who is Kingunge? I believe he has lost the moral authority as a clean politician. Had he remained neutral probably he could save as a re conciliator within the part, unfortunately he decided to take sides so he has lost the credibility of playing the reconciliation role within the party. A politician of his caliber was supposed to remain neutral and play an advisory role

ungeliifahamu kweli ingelikuweka huru!!!

Acha bendera fuata upepo we we?

je wamtambua muhusika mkuu wa Richmond????
 
Hii tabia ya kuropoka akiwa majukwaani au vyombo vya habari sio sahihi.Ni tabia iliyofanywa na kada mkongwe wa ccm kule zanzibar na hatimaye imepelekea kutimiliwa ndani ya chama alichokiasisi.

Kingunge ametishia kiti na chama mara tatu tena akiwa nje ya vikao halali vya chama.

WATU WACHACHE WAMEIPOKA CCM YETU WANAFANYA WAPENDAVYO NA WALA HAWARUHUSU DEMOKRASIA TENA
TUNASEMA NO!!!

WE WANT DEMOKRASI WITHIN

MZEE MKAPA NA KINANA ISAIDIENI CCM SASA!

chama kinaenda kufichwa uvunguni kabisaaaa!
 
tehetehe hahahahahahahaaaaa kwikiwiwiikwiwkwiwkwiwkwiwk ! MUNGUNDIYE ALIYE MCHAGUA JK ILI HAYA YATIMIE!
WATU WACHACHE WAMEIPOKA CCM YETU WANAFANYA WAPENDAVYO NA WALA HAWARUHUSU DEMOKRASIA TENA
TUNASEMA NO!!!

WE WANT DEMOKRASI WITHIN

MZEE MKAPA NA KINANA ISAIDIENI CCM SASA!

chama kinaenda kufichwa uvunguni kabisaaaa!
 
Hii tabia ya kuropoka akiwa majukwaani au vyombo vya habari sio sahihi.

Ni tabia iliyofanywa na kada mkongwe wa CCM kule Zanzibar na hatimaye imepelekea kutimiliwa ndani ya chama alichokiasisi.

Kingunge ametishia kiti na chama mara tatu tena akiwa nje ya vikao halali vya chama.

thubutu kumtimua kingunge uone kama hatujadaka mabaki ya ccm.mitaani.we unafikiri kingunge ndo mzee moyo
 
Pole sana Nape Nnauye naona nyota yako inazidi kufifia, mara nyingi kumekua na taarifa za wewe kushushwa jukwaani na Kinana kutokana na kauli zako, juzi kati hapa ukaja na goli la kidole mara na mkono na sasa umekuja na jipya!

Mzee Kingunge amejitokeza hadharani na kuonya kuwa kauli zako zinakizika chama chako na mimi nasema mfe tu maana tumechoka! Kingunge amethibitisha kuwa huko ndani ya CCM kuna fukuto kubwa na wala sio Demokrasia tena bali ni Domg ghasia ndio iliyojaa huko CCM.

Pumzikeni kwa amani

amen na life tu.wezi wanawatuhumu wezi wenzao.eti kuna mafisadi.wrote mafisadi
 
Ttz ccm hii imekuwa na viongozi wasiomakini ccm nayoijua me hutumia vikao halali kukosoana na kujenga chama.nape apaswa kutamka maamuzi ya vikao co kuropoka ovyo yeye ni kiongozi mkubwa sana ajitahidi kuchunga ndimi zake..mzee kingunge naye alikuwa mwenezi km nape hatukuyaona hayo..ccm mali ya wanachama na sasa tunahitaji zaidi hekima na busara tuepuke mpasuko utakiangamiza ccm chondechonde
 
Hii tabia ya kuropoka akiwa majukwaani au vyombo vya habari sio sahihi.

Ni tabia iliyofanywa na kada mkongwe wa CCM kule Zanzibar na hatimaye imepelekea kutimiliwa ndani ya chama alichokiasisi.

Kingunge ametishia kiti na chama mara tatu tena akiwa nje ya vikao halali vya chama.

Kingunge Rushwa ya kupewa kukusanya ushuru Ubungo terminal imemuondolea uungwana Rushwa mbaya.
 
kingunge ndo mungu wa ccm hakuna wa kupingana naye. humuweka amtakaye yeye..
 
Pole sana Nape Nnauye naona nyota yako inazidi kufifia, mara nyingi kumekua na taarifa za wewe kushushwa jukwaani na Kinana kutokana na kauli zako, juzi kati hapa ukaja na goli la kidole mara na mkono na sasa umekuja na jipya!

Mzee Kingunge amejitokeza hadharani na kuonya kuwa kauli zako zinakizika chama chako na mimi nasema mfe tu maana tumechoka! Kingunge amethibitisha kuwa huko ndani ya CCM kuna fukuto kubwa na wala sio Demokrasia tena bali ni Domg ghasia ndio iliyojaa huko CCM.

Pumzikeni kwa amani
Kingunge hana jipya awasikilize wazee wenzake wenye busara na maono pia wanaoitakia mema Tanzania taifa letu akina Mzee Joseph Butiku na Jaji Sinde Warioba wakisimama kuongea wanaongea mambo yenye maslahi kwa Taifa. Kingunge roho inamuuma kwa kuwa Taifa linajua yuko timu Lowassa basi
 
Back
Top Bottom