shuma50
Senior Member
- May 2, 2015
- 114
- 42
Mzee kingunge anakosea sana yeye kama Mzee wa Chama hakutakiwa kuwa na upande bali alitakiwa kuwa Mshauri wa chama sasa keshajiondolea heshima hamna atakae msikiliza tena...mbona wenzake kina warioba..Butuku..wamebaki kutuasa na kutufunza vijana wakiongozwa na uzalendo yeye ananjaa gani inayomuondolea utu?