nkongu ndasu
JF-Expert Member
- Jan 19, 2013
- 22,532
- 6,628
CCM, sikieni kilio cha walio wengi, Tuwekeeni LOWASSA tumpitishe kwa kura za NDIYO, ashinde kwa kishindo asubuhi ya October 25.
hao wengi wepi?
CCM, sikieni kilio cha walio wengi, Tuwekeeni LOWASSA tumpitishe kwa kura za NDIYO, ashinde kwa kishindo asubuhi ya October 25.
hayo madoa wewe na wenzio wachache ndio mnayaona? Mbona idadi kubwa ya watanzania wanamsapoti huyo mnayesema ana madoa?kiujumla huyu babu alipaswa kucheza na wajukuu nyumbani badala ya kuhangaika kuwatetea wagombea wenye madoa kwa taifa letu...
Huo Ushahidi wa kutumia Pesa, hata mimi nataka sana kuuona, ili nichague mbivi na mbichi, nimeshauulizia mara nyingi sana, ndani na nje ya JF, lakini naaambulia Porojo tu.
Utibitisho upi unaoutaka?
Mkuu hawa jamaa wameishiwa propaganda zote, sasa wamebakia kujamba jamba tuhayo madoa wewe na wenzio wachache ndio mnayaona? Mbona idadi kubwa ya watanzania wanamsapoti huyo mnayesema ana madoa?
hayo madoa wewe na wenzio wachache ndio mnayaona? Mbona idadi kubwa ya watanzania wanamsapoti huyo mnayesema ana madoa?
Asiyejua maana, haambiwi maana, kama hujui kusoma hata picha pia hukuona?idadi kubwa ipi?
Hasira ya kupigwa chini tenda ya kukusanya ushuru pale Ubungoooooo
Pdidy usijifanye pimbi ama kujipa upofu kwa ajili ya kushibisha tumbo lako. Kati ya hayo niliyoandika ni lipi hulijuikwa kiliyako uliyosomeshwa kwa.mkopp ambaoau jalipa serikalini.kuna.kesi waliomfungulia.katiya hizo.na.kama.sio
usiandike.----- tena kwenye.ma great thinkers
Lakini bw. Sam wote tumeisikiliza hiyo taarifa ya habari na hakuna popote alipomtaja yeyote kwa jina. Angeweza akawa alikuwa anamlenga Kikwete au Nape.
mkuu ni maiti ya ebola,hata manispaa wataiogopaCcm ni kama maiti ambayo haifahamiki na mwenye nayo itazikwa na municipal...
CCM, sikieni kilio cha walio wengi, Tuwekeeni LOWASSA tumpitishe kwa kura za NDIYO, ashinde kwa kishindo asubuhi ya October 25.
Asiyejua maana, haambiwi maana, kama hujui kusoma hata picha pia hukuona?
mkuu kwani bado kuna mtu mwenye akili timamu bado ana mapenzi na ccm?si bora hata wewe una mapenzi na tumbo lakoKingunge Kaongea maneno mazito sana, Kila mwenye mapenzi mema na CCM hapaswi kufanya yaliyokemewa na Mkongwe huyu! CCM lazima ifuate matakwa ya sisi wanachama na sio viongozi, ambao ni wachache.
Hajalipwa hata senti tano, Ila Mzee Kingunge anasimamia maslahi ya CCM.
mkuu tugawane maana hili povu si bureChama ni taasisi ambacho kinachoundwa na watu, inashangaza leo hii Nape anapokataa sauti za watu wanaounda taasisi hiyo. Wanataka waisikilize kauli ya nani?
Kama wanachama wenyewe wanahisi kutokutendewa haki yao, hofu ya Nape na wenzao juu ya watu kukata rufaa inatokana na nini? Eti hakuna kukata rufaa, hii sheria wameitolea wapi? Umewahi kuona wapi hiyo?
Hii tabia ya baadhi ya watu kujivika u Mungu mtu ndani ya CCM wanakiharibu chama na tuna kila sababu ya kuhoji dhamira zao kwa CCM