Bavaria
JF-Expert Member
- Jun 14, 2011
- 53,109
- 53,626
Viongozi wachache tuliowapa madaraka wasije wakajisahau na kusababisha chama chetu kushindwa uchaguzi kwa sababu ya chuki zao binafsi, Wananchi na wanachama walio wengi wasikilizwe wanamtaka nani, na sio viongozi ambao ni wachache!
Umeshaanza kuona chama kinaanguka ehh?
Mtatoka mwaka huu kweli?