nuruyamnyonge
JF-Expert Member
- Mar 18, 2014
- 4,448
- 2,305
Huyu mzee anazeeka vibaya, ukisikilza vizuri lile kongamano la warioba hamprey na butiku wamemnanga hasa hasa.
Naam! Wamemshangaa sana Kingunge badala ya kumshauri Rais yeye anajificha kwa mgombea mmoja. Ajifunze kwa Butiku na Warioba, wao wanaonesha njia na kumshauri Rais. Hao ndo wenye chama nchi wanaijua leo wamemaliza ni kuchinja tu.