Fukara
JF-Expert Member
- Dec 28, 2013
- 1,624
- 931
Nini maana ya mzungumzaji wa Chama? Mods naomba muulinde huu uzi! Mzungumzaji wa chama huwa anaelekezwa na viongozi wa juu wa chama! Kama nilivyomsikia Kingunge anamlenga rais Kikwete na siyo mtu mwingine! Nape asibebeshwe zigo!
Yawezekana mzee kingunge ana maanisha hivyo unavyosema au vyovyote but wewe unasema kamsema jakaya kikwete..wakati hajayasema hayo..ww ndio umetafsiri sasa iyo nukuu umeitoa wapi?