The secretary
JF-Expert Member
- Jan 14, 2012
- 4,149
- 2,536
mbona sielewi,ina maana kuanzia january ukinunua ka tv kako hutoweza kuona tbc,itv etc mpaka ujiunge na kina zuku?mbona mambo ya ajabu haya? Terrestial tv zipo kote duniani hazihitaji king'amuzi jamani,kunani,au ni dili za watu?
fanya haraka ninunulie Dstv