Jolebatawi
JF-Expert Member
- Dec 10, 2011
- 549
- 230
Tumeanza kuingia kwenye digitali rasmi huku MOAT na TCRA wakiwa bado wanavutana kuufikia mfumo wa digitali.
Lakini swali langu ni kipi king'amuzi bora kisicho na matata hapa tanzania,nimefuatilia mijadala humu JF wakiviponda sana hivi vya startimes huku watu wakivisifia sana vya digitek,lakini hivi majuzi watu wameanza kuviponda hata hivyo navyo.
Sasa wadau nisaidieni kuhusu king'amuzi bora ili ninunue niondokane na adha ya kutopata habari za television na kuepuka hasara ya kununua king'amuzi feki.
Pia nilikuwa nauliza vipi kuhusu dish set za zuku ni digital?zinafaa?gharama yake ni bei gani?na gharama za uendeshaji wake kwa mwezi ni kiasi gani?au zenyewe siyo kama dstv.
NIKISAIDIWA KWA KUELIMISHWA NITASHUKURU SANA.-
Lakini swali langu ni kipi king'amuzi bora kisicho na matata hapa tanzania,nimefuatilia mijadala humu JF wakiviponda sana hivi vya startimes huku watu wakivisifia sana vya digitek,lakini hivi majuzi watu wameanza kuviponda hata hivyo navyo.
Sasa wadau nisaidieni kuhusu king'amuzi bora ili ninunue niondokane na adha ya kutopata habari za television na kuepuka hasara ya kununua king'amuzi feki.
Pia nilikuwa nauliza vipi kuhusu dish set za zuku ni digital?zinafaa?gharama yake ni bei gani?na gharama za uendeshaji wake kwa mwezi ni kiasi gani?au zenyewe siyo kama dstv.
NIKISAIDIWA KWA KUELIMISHWA NITASHUKURU SANA.-