mkali in style
Member
- May 20, 2015
- 7
- 0
Dada inaonekana hii thread imekugusa sana naona umepoteza hadi uwezo wa kufikiriWakati nakuwa niliambiwa mwanangu tusi malaya ni kawaida kwa kila mwanamke kutukanwa....
Mtoto wa kiume alivyolelewa na mama yake ndivyo atakavyowaheshimu wanawake wanaomzunguka,sikatai inawezekana wadada waliochangia humu michango yao haijakupendeza ila jambo moja ulikuwa hulijui mama yako pia ni malaya ndio maana huoni uzito kumuita mwanamke mwingine malaya, hatujashtuka lakini kawaida.....