Kinadada acheni kumsumbua Mungu

Kinadada acheni kumsumbua Mungu

Tupate masong ya kuanzia siku

1.Mungu amenihurumia, Tendo hili kubwa sana
Sikustahili jambo hili, nimelipata bure tu
Sasa najua haya yote, sasa najua haya yote
Nasifu rehema zake, Nasifu rehema zake.............

Song no.2 huu wimbo ni wa Roman Catholic

Bwana kama wewe ungehesabu maovu yetu, (nani angesimama)×2
Nani angesimama mbele zako

N:B @atoto na @brenda18 tafadhali muimbe tu kimoyomoyo, I go no trust sauti zenu za mikwaruzo namba 9 na nusu mmmh. Msubiri tu wimbo wenu spesheli
Ha haa raha ya huu uzi ni kwamba umetukumbusha tuzidi kumtegemea Mungu tofauti na nia ya mtoa mada kwamba tukae(mkae) mbali naee....

Naona unaanzisha pambio...bado @atoto ataanzisha ile ya kuabudu
 
Ha haa raha ya huu uzi ni kwamba umetukumbusha tuzidi kumtegemea Mungu tofauti na nia ya mtoa mada kwamba tukae(mkae) mbali naee....

Naona unaanzisha pambio...bado @atoto ataanzisha ile ya kuabudu
Aah jamani sasa tukikaa mbali na Mungu, tutakaa karibu ya nani? Nyie binadamu wenzetu????? No way
 
mwanaume kuoa ni uamzi na mwanamke kuolewa ni bahati kumbuka hilo
yaani jana na leo nimegundua humu kuna walokole weng lakini maneno yao wanayoandikaga humu wala hayasadifu, sasa sijui hawajui hata mawazo yao yanahesabiwa, maana kitu hadi uandike humu ni lazima ukiwaze/ukifikiriei
 
yaani jana na leo nimegundua humu kuna walokole weng lakini maneno yao wanayoandikaga humu wala hayasadifu, sasa sijui hawajui hata mawazo yao yanahesabiwa, maana kitu hadi uandike humu ni lazima ukiwaze/ukifikiriei
Jf kuna mambo mawili mkuu.
Kuna watu wanatoa yamoyoni na kuna watu wanachangamsha genge...

Do not take sirias kivilee...!
Hutapata hitimisho sahihi
 
Hivi ni coincidence @atoto @brenda18 mmekuwa vinara hii thread? im just surprised @housegirl sijamuona humu sijui anaumwa?!! Hii #TeamPasuaKichwa halafu naona @Lara1 nae kaongezeka huu mwaka kutawaka moto!!!

Mwaka unawaka moto kwa maombi hadi shetani anashangaa shemeji, na ajiandae tu kushangaa maana hamna namna, shemeji sema aimeeeeen!
 
Jf kuna mambo mawili mkuu.
Kuna watu wanatoa yamoyoni na kuna watu wanachangamsha genge...

Do not take sirias kivilee...!
Hutapata hitimisho sahihi
hakuna cha kuchangamsha genge hapo, hiyo ni serious, we angalia comment za kiumeni na kikeni utagundua nani anachangamsha genge, mmoja anaandika gazeti mmoja mistari miwili anasepa
 
Ha haa raha ya huu uzi ni kwamba umetukumbusha tuzidi kumtegemea Mungu tofauti na nia ya mtoa mada kwamba tukae(mkae) mbali naee....

Naona unaanzisha pambio...bado @atoto ataanzisha ile ya kuabudu

Shemdarling huu ni mwaka wa kumuaibisha shetani na mawakala wake woteeee!!
Ni mwendo wa kupiga sala tu, mawakala wa shetani wanabaki vinywa wazi, tafadhali tu nzi wasiingie, @Heaven Sent kanikataza kuimba kwa nguvu hivyo naimba kimoyomoyo
 
mwanaume kuoa ni uamzi na mwanamke kuolewa ni bahati kumbuka hilo

Kwasababu mnawaoa wanaume au?? Mbona wakiamua kukataa kuolewa na nyinyi mnakuja kulia lia humu? Fuatilia nyuzi nyingi za kulia lia jf ni za me, bora sie tunakwenda kumlilia Mungu na mshindwe kutukatisha tamaa, sema aimeeen!
 
teh! kushangaa must, maana hao wanaoanguka huko ndo hawa hawa wa mtaani, na kila siku wanaanguka hawabadilikagi wale, poor them!

Na wewe kwa kuwashangaa ukabadilika kweli yaani, sema aimeeeen!!
 
Shemdarling huu ni mwaka wa kumuaibisha shetani na mawakala wake woteeee!!
Ni mwendo wa kupiga sala tu, mawakala wa shetani wanabaki vinywa wazi, tafadhali tu nzi wasiingie, @Heaven Sent kanikataza kuimba kwa nguvu hivyo naimba kimoyomoyo
Haya bwana Msumbuenii....msumbuenii...!
 
yaani jana na leo nimegundua humu kuna walokole weng lakini maneno yao wanayoandikaga humu wala hayasadifu, sasa sijui hawajui hata mawazo yao yanahesabiwa, maana kitu hadi uandike humu ni lazima ukiwaze/ukifikiriei

We nae si tunaendaga wote kwa mwakasege ila hauangukagi, vipi maneno yako yanasadifu ulokole wako?
Barikiwa ktk jina la Bwana!
 
hakuna cha kuchangamsha genge hapo, hiyo ni serious, we angalia comment za kiumeni na kikeni utagundua nani anachangamsha genge, mmoja anaandika gazeti mmoja mistari miwili anasepa
Mkuu wote(me+ke) tuu panik nyingi na mihemko.....
Ushabiki mbele zaidi...
Ukweli ule mchungu tunaweka pembeni..
 
Shemdarling huu ni mwaka wa kumuaibisha shetani na mawakala wake woteeee!!
Ni mwendo wa kupiga sala tu, mawakala wa shetani wanabaki vinywa wazi, tafadhali tu nzi wasiingie, @Heaven Sent kanikataza kuimba kwa nguvu hivyo naimba kimoyomoyo
Ashindwe mara ngapi sasa, ashashindwa kitambo. Tumeshamkemea vya kutosha. Sasa hivi ni maombi ya kushukuru na kukiri tu ushindi. Baba tunasema Ahsante kwa sababu umesema "yote yalikwisha pale msalabani"

Yani huwa najisikia raha after praying, ni kama Umetua zigo la michongoma. Daah Acheni Mungu aitwe Mungu
 
We nae si tunaendaga wote kwa mwakasege ila hauangukagi, vipi maneno yako yanasadifu ulokole wako?
Barikiwa ktk jina la Bwana!
mbona quote nyingi nyingi dada, ningependa utumie ile option ya multiple quote
 
Mkuu wote(me+ke) tuu panik nyingi na mihemko.....
Ushabiki mbele zaidi...
Ukweli ule mchungu tunaweka pembeni..
na wewe ni mmojawapo? kwanini usituonyeshe njia
 
Back
Top Bottom