DAN LOKOMOTIVE
JF-Expert Member
- Dec 16, 2016
- 1,503
- 1,906
mbona mpinga kristo ni hao hao waisraealiusiombe uo mzozo uishe mapema hata kidgo maana biblia inasema vita dhidi ya Israel itapoisha kutatokea njaa kali dunia yote kwa mda wa miaka kadhaa baadae mpinga kristo ataishika dunia kwa kuwapa watu chakula kwa kuwachapa alama ya 666....