Kinachoendelea Kigoma "KARIBU SHUJAA ZITTO KABWE".

Kinachoendelea Kigoma "KARIBU SHUJAA ZITTO KABWE".

Status
Not open for further replies.
Kwa hiyo kama kashindwa kazi waliyomtuma, kwa nini mnatengeneza dhana kuwa CCM ndo wanagharamia huo mkutano wa mwandiga? Mbona mnajichanganya?

Ndiyo maana tunawashangaa kumgharamia mtu ambaye kashindwa kazi mliyomtuma.
 
Ikiwa bado siku moja kabla ya Zitto hajatua hapa Kigoma kuja kuzungumza na Wananchi wake,kutoa kile Wanakigoma wanakisubiria kwa hamu sana kusikia toka kwa Shujaa..Mwanao Zitto Zuberi Kabwe.

Hapa Kigoma Kasulu,Mwandinga na Kigoma Mjini Tax,Bodaboda zinapepea matangazo ya KARIBU SHUJAA ZITTO KABWE TAR.21.12.2013
Heka heka za hapa na Pale zinaendelea huku maandalizi ya Mikutano yote ikiwa imekamilika kwa hisani ya Wananchi wa Kigoma.
Moja ya Bango ni hili hapa

"Nothing in all the world is more dangerous than sincere ignorance and conscientious stupidity"

- (Martin Luther King Jr)
 
Ilikuondoa uongo na uzushi nashauri huo mkutano wa kesho urushwe LIVE kwenye ITV na TBC .
 
Ben saanane unatia kinyaa kwa kutoa Mawazo muflisi! Puu (natema mate kama mwigulu bungeni.) Huna thamani tena. Puu (natema mate kwa Mara ya 2.

Jaribio lako la kukusudia kumuua zitto litakugharimu sn kimaisha na hasa kisaikokojia

Puu! Ulaaniwe!
 
Ilikuondoa uongo na uzushi nashauri huo mkutano wa kesho urushwe LIVE kwenye ITV na TBC .

Utajaa sana kwa sababu CCM watasomba watu karibu kila wilaya wakidhani wanakomoa CDM
 
akuna kitu hapo, anatafuta huruma ya wananchi, pesa anayotumia sasa kuanda upuuzi huu ni bora angejiwekea zingemsaidia, jimbo zima una diwani mmoja tu wa chama chako unasema shujjaaaaaaaaa, labda wakuuu... ngoja check chenga zake hapa chini.

images

Mkuu, kesho ndipo utakapojua kuwa Zitto ni Shujaa. We tulia tu kama unakamuliwa jipu
 
Ben saanane unatia kinyaa kwa kutoa Mawazo muflisi! Puu (natema mate kama mwigulu bungenu. Huna thamani tena. Puu (natema mate kwa Mara ya Polo).

Jaribio lako la kukusudia kumuua zitto litakugharimu sn kimaisha na hasa kisaikokojia

Puu! Ulaaniwe!
Hahahahahaaaa! Na mie natema puuuuuuuu!
 
Pls usimtukane Mandela kiasi hiki.Muache apumzike kwa Amani
Mandela hajawahi kuchukua hela kwa makaburu.Hajawahi kuchukua cheki.Hajawahi kuwa na chuki na kutishia kuua watu.Hajawahi kuuza utu wake na watu wake.Hajawahi kuwa mnafiki

Please ,spare us with your ignorance!
Makubwa leo umeamua kumgeuka Mhe. Mbowe?
 
Pls usimtukane Mandela kiasi hiki.Muache apumzike kwa Amani

Mandela hajawahi kuchukua hela kwa makaburu.Hajawahi kuchukua cheki.Hajawahi kuwa na chuki na kutishia kuua watu.Hajawahi kuuza utu wake na watu wake.Hajawahi kuwa mnafiki

Please ,spare us with your ignorance!

we mrombo una chuki sana na zito - ni bahati mbaya unaowabeba hawabebeki (mbowe & lema)!
 
akuna kitu hapo, anatafuta huruma ya wananchi, pesa anayotumia sasa kuanda upuuzi huu ni bora angejiwekea zingemsaidia, jimbo zima unadiwa mmoja tu wa chama chako unasema shujjaaaaaaaaa, labda wakuuu... ngoja

images
Nimeipenda hiyo picha
 
Kwani Zitto anaenda kama Naibu Katibu Mkuu wa CHADEMA au anaenda kuongea na waoiga kura wake?

Status yake ya Naibu Katibu Mkuu WA ZAMANI ipo lakini pia mtuhumiwa wa mashtaka 11 anayotakiwa kujibu kamati kuu kwa hiyo nilimshauri aangalie asije akazidi kuivunja katiba maana mashataka hayo hujibiwa ndani ya vikao na sio kama alivyofanya Serena.It was a mere candid advice.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom