Kinachoendelea Kigoma "KARIBU SHUJAA ZITTO KABWE".

Kinachoendelea Kigoma "KARIBU SHUJAA ZITTO KABWE".

Status
Not open for further replies.
Kwa taarifa zaidi, Maandalizi yanaendelea vizuri ikiwa ni pamoja na kurushwa live kwa mkutano huo na kituo cha startv huku uratibu mzuri ukiwa chini uv-ccm.
Ahsante sana Mkuu kwa taarifa. Japo inawauma lakini mjue kuwa jamaa kajipanga ile mbaya na anakubalika kuliko hicho kikongwe chenu kilichopopolewa na mawe
 
Msaliti ni Zitto au Mbowe ALIYEMSALITI MKE WAKE?
Kamuulize Lilian Mtei, nani Msaliti kati ya Mbowe na Zitto, bila shaka atakwambia Mbowe

Sasa kwani chadema ni lilian au wewe Lilian mbona ina wauma sana Mbowe kumnanihii huyo mnae dai amenanihihiwa na mbowe hata kama ni kweli au hiyo nafasi mlikuwa mnainyemelea...tujadili mambo ya masirahi kwa taifa siyo nani kalala na nani? maana tukimsemea huyo mwenyekiti wetu ni balaa...
 
Shujaa my dick,yes dick Cheney!!! Wacha upumbavu wa kumzalilisha Mandela na vituko cya Zitto, Zitto kala chakula kilichotemewa mate na Polisi,kawekwa rumande?? Kapigwa bomu?? Kasingiziwa kesi?? Mtu anayepewa vyeo vya kamati na dola,magari na kina Rostam,kutumia helicopter za TANAPA na maburungutu ya TISS na makada wa dola amekuwa shujaa kama Mandela??!!
Hizo zote ni propaganda za akina Mbowe ambazo zimefeli
 
Sasa kwani chadema ni lilian au wewe Lilian mbona ina wauma sana Mbowe kumnanihii huyo mnae dai amenanihihiwa na mbowe hata kama ni kweli au hiyo nafasi mlikuwa mnainyemelea...tujadili mambo ya masirahi kwa taifa siyo nani kalala na nani? maana tukimsemea huyo mwenyekiti wetu ni balaa...

We ni YAHAYA wa MBOWE tunakujua
 
Mkuu, kwani Mbowe na Dr Slaa wanachafuliwa au wanajichafua? Ukweli ni kuwa image yao wanaiharibu wao wenyewe kwa tamaa zao za kimwili

siasa nyepesi sana hizo,hata watoto wa chekechea zama hizi za digital watapembua chuya na mchele,poleni sana mizigo!
 
Pls usimtukane Mandela kiasi hiki.Muache apumzike kwa Amani

Mandela hajawahi kuchukua hela kwa makaburu.Hajawahi kuchukua cheki.Hajawahi kuwa na chuki na kutishia kuua watu.Hajawahi kuuza utu wake na watu wake.Hajawahi kuwa mnafiki

Please ,spare us with your ignorance!

Mandela hajawahi kuwa kama wewe kutembea na sumu kutaka kuua watu
 
Pls usimtukane Mandela kiasi hiki.Muache apumzike kwa Amani

Mandela hajawahi kuchukua hela kwa makaburu.Hajawahi kuchukua cheki.Hajawahi kuwa na chuki na kutishia kuua watu.Hajawahi kuuza utu wake na watu wake.Hajawahi kuwa mnafiki

Please ,spare us with your ignorance!
Nonsense.....
 
Sasa kwani chadema ni lilian au wewe Lilian mbona ina wauma sana Mbowe kumnanihii huyo mnae dai amenanihihiwa na mbowe hata kama ni kweli au hiyo nafasi mlikuwa mnainyemelea...tujadili mambo ya masirahi kwa taifa siyo nani kalala na nani? maana tukimsemea huyo mwenyekiti wetu ni balaa...
Kama Mungu amekataza usivunje amri ya sita na wewe unavunja, huo si usaliti kwa Mungu? Kumbuka, ngono za Mbowe kwa Joyce Mukya, ndizo zilizopelekea Mukya asitumikie taifa ipasavyo
 
Mbona wanaCCM mnamhusudu sana Zitto Kabwe???? Kuna nini hapo? Kweli mnania njema nae, au mnataka kumpitisha kwenye njia ya Walid Kaburu, Masumbuko Lamwai na Augostino Lyatonga Mrema? Zitto we pity you...
 
Tunasubiri mkutano urushwe Live Star TV kwa ufadhili wa CCM
 
Ameona alichokifanya Serena kukashifu viongozi haitoshi bali sasa ni kuandaliwa mkutano na CCM kukashifu viongozi na chama
 
attachment.php


Lazima akili zenu ni kiwangocha panzi maana hamjui matokeo ya mnayoyafanya. Basi mshaurini ajitoe rasmi kuwa mwanachama wa CHADEMA halafu muendelee kwa utulivu nje ya CHADEMA.

Ukweli mimi binafsi nawashukuru sana kwa jitihada zenu kwa sababu zinadhihirisha mtu wenu alivyo wa hovyo
 
Ikiwa bado siku moja kabla ya Zitto hajatua hapa Kigoma kuja kuzungumza na Wananchi wake,kutoa kile Wanakigoma wanakisubiria kwa hamu sana kusikia toka kwa Shujaa..Mwanao Zitto Zuberi Kabwe.

Hapa Kigoma Kasulu,Mwandinga na Kigoma Mjini Tax,Bodaboda zinapepea matangazo ya KARIBU SHUJAA ZITTO KABWE TAR.21.12.2013
Heka heka za hapa na Pale zinaendelea huku maandalizi ya Mikutano yote ikiwa imekamilika kwa hisani ya Wananchi wa Kigoma.
Moja ya Bango ni hili hapa

small minded like the guy you are promoting.yani unapiga picha gari uliyoibandika picha na kuituma huku?
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom