Kinachoendelea Kigoma "KARIBU SHUJAA ZITTO KABWE".

Kinachoendelea Kigoma "KARIBU SHUJAA ZITTO KABWE".

Status
Not open for further replies.
huyu siyo shujaa tena angefanikiwa kuibomoa CHADEMA mgeweza kumwita hivyo lakini kwasasa ni sawa na mende aliye geuzwa miguu juu...

Hyo style naitumiaga sana na mke wangu...
 

Attachments

  • 1387526797724.jpg
    1387526797724.jpg
    17.4 KB · Views: 94
Kama Mungu amekataza usivunje amri ya sita na wewe unavunja, huo si usaliti kwa Mungu? Kumbuka, ngono za Mbowe kwa Joyce Mukya, ndizo zilizopelekea Mukya asitumikie taifa ipasavyo

hivi mbona mnashupalia ishu za kijinga hivyo?
 
Status yake ya Naibu Katibu Mkuu WA ZAMANI ipo lakini pia mtuhumiwa wa mashtaka 11 anayotakiwa kujibu kamati kuu kwa hiyo nilimshauri aangalie asije akazidi kuivunja katiba maana mashataka hayo hujibiwa ndani ya vikao na sio kama alivyofanya Serena.It was a mere candid advice.

kwa zito ndo umekumbuka tuhuma/mashtaka kwa mujibu wa katiba ya chama ni ndani ya vikao vya chama - mbona wakati ule lema analipuka hapa jf hukumshauri maneno hayo?!
kunya anye kuku, akinya bata......................
 
Status yake ya Naibu Katibu Mkuu WA ZAMANI ipo lakini pia mtuhumiwa wa mashtaka 11 anayotakiwa kujibu kamati kuu kwa hiyo nilimshauri aangalie asije akazidi kuivunja katiba maana mashataka hayo hujibiwa ndani ya vikao na sio kama alivyofanya Serena.It was a mere candid advice.
kuna watu wawili wananichanganya ndani ya chadema ni Zitto na Shibuda. KAMA MMEWASHINDWA MSEME BANA TUMECHOKA NAO SISI.
 
Halafu kuna post yangu imefutwa.

Niliwashauri moderators waunganishe thread na ya jana ili kuleta mtiririko sahihi kama walivyounganisha zile za ziara ya Dr.Slaa Marekani na pia hizi za ziara yake mikoani badala ya kuiacha hii kama walivyoacha zile za ziara ya Kinana wa CCM na Timu yake

CC😡Invisible, Moderator Buchanan, Fang
Hata wakiacha thread 100 za Zitto kwenye 1st page sidhani kama huo utakuwa msaada kwa rafiki yao.
 
Status yake ya Naibu Katibu Mkuu WA ZAMANI ipo lakini pia mtuhumiwa wa mashtaka 11 anayotakiwa kujibu kamati kuu kwa hiyo nilimshauri aangalie asije akazidi kuivunja katiba maana mashataka hayo hujibiwa ndani ya vikao na sio kama alivyofanya Serena.It was a mere candid advice.

wewe ulishachanganyikiwa hujui hata unachosema kwa sasa zitto anaakili zaidi yako hilo lijue mapema kabisa.
 
akuna kitu hapo, anatafuta huruma ya wananchi, pesa anayotumia sasa kuanda upuuzi huu ni bora angejiwekea zingemsaidia, jimbo zima una diwani mmoja tu wa chama chako unasema shujjaaaaaaaaa, labda wakuuu... ngoja check chenga zake hapa chini.

images

Unajua ni pesa kiasi gani imetumiwa na Dr. Slaa kwenda Kigoma na kwingineko huharibu image ya Zito? na hizo huoni nazo zingetumika kwa maendeleo ya chama?
 
Ushujaa wa zito utadhihirika pale atakapotimiza ndoto ya taasisi yake kwa kuishinda nguvu ya adui si vinginevyo.
 
Kwa taarifa zaidi, Maandalizi yanaendelea vizuri ikiwa ni pamoja na kurushwa live kwa mkutano huo na kituo cha startv huku uratibu mzuri ukiwa chini uv-ccm.
Mkuu Slaa aliponda tuliabiwa maandamano ya kumpinga Slaa yaliratibiwa na CCM na sio wana CDM wanaopinga Zitto kuengliwa uongozi.......sasa nategemea wale 'wanachadema'' waliompokea Slaa watagomea mkutano wa Zitto.........na sasa umebadiliaunasgizia kwamba Mkutano unaratibiwa na UVCCM, Dogo usisahau kwamba Zitto bado ni mbunge na wananchi kwa wingi wanamuunga mkono..........sio muda mrefu uongo utajitenga. Hili lazima ukubali Zitto ni Mzitto hapo chadema!!!!!
 
Nimekubali Zitto ni kiboka yaani thread yake yoyote inayopostiwa inakimbia mbio kinoma kuliko thread yoyote ile. Kaka kaza buti uko nyoyoni mwa watanzania. Kila mtu anakukubali kwa uadilifu wako. Ukipata nafasi ya kugombea urais hata kula za wana ccm, wana cuf ,wana cdm wana nccra maguzi, wana Tlp nk utapewa na hatimaye utashinda. Watashindanaweeeeeeeeeeeeeeee lakini hawatashinda.
 
Wastage of time,tumeshawasikia CDM wanachosema juu ya zito,na tumesikia Zito anachosema juu ya CDM.wote wanatakiwa wabadilike,asiyeweza kufanya kazi na wenzie asipoteze muda wetu kujadili stori zake.shujaa gani anaenda kujenga chama peke yake kila siku?wenzie wanapigwa mabomu,wanaumizwa yeye anasubiri kugombea vyeo kila kona.oparesheni za chama haonekani,vikao hahudhurii,ccm ndio marafiki zake wakubwa.halafu anataka apewe UENYEKITI na AGOMBEE URAIS.Huyo ndio shujaa??Hizi ni tamaa,cdm wasimpe nafasi tena labda abadilike na jamii ione kwa vitendo.

Mnachelewa sana kumfukuza.

Hivi unajua Zitto amefanya mangapi na Mbowe? Unajua kama Zitto anajua vitu vingi vizuri na vibaya juu ya Mbowe? Kiasi kwamba kama akiamua kuyasema yote kwa ushahidi alionao basi Mbowe siasa basi!!

So kwa mantiki hiyo, Zitto hatakaa afukuzwe kwenye chama, labda kama Mbowe sio Mwenyekiti, ila kama Mbowe ni Mwenyekiti Zitto ni mwanachama.
 
Kama Mungu amekataza usivunje amri ya sita na wewe unavunja, huo si usaliti kwa Mungu? Kumbuka, ngono za Mbowe kwa Joyce Mukya, ndizo zilizopelekea Mukya asitumikie taifa ipasavyo
Kama hoja zenyewe ndizo hizi Chadema kufa itakuwa ndoto.

Makamanda Mbowe, Slaa pigeni kazi kwa raha zote.
 
Yaani mtu akila raha na hawala yake ni usaliti labda kama wewe ni mke wa Mbowe...

Yaani mtu hawezi kuwa mwizi mpaka akuibie wewe lakini akimuibia mtu mwengine siyo wizi? Nakubaliana na Dr. Kitila somo la "Logic & Critical Thinking" lazima lifanywe kuwa compulsory kwani hawa vijana wetu wamekosa uwezo wa kujenga hoja kwa kutumia logic kabisa.
 
Kwa taarifa zaidi, Maandalizi yanaendelea vizuri ikiwa ni pamoja na kurushwa live kwa mkutano huo na kituo cha startv huku uratibu mzuri ukiwa chini uv-ccm.

kwa upande wangu sioni kama ni tatizo,kwani wabunge wengi wa vyama pinzani bado wanatumia pesa zinazotolewa na serikali ya ccm ktk kufanya mambo yao mbalimbali.
hata kama mkutano utaratibiwa na uvccm,cha msingi ni kwamba zitto anakwenda kuongea na wapiga kura wake kama mbunge na wakati anachaguliwa hakukuwa na nembo ya wapiga kura inayoonyesha kuwa huyu ni ccm,cuf,cdm ama nccr mageuzi,kwahiyo mkutano wa mbunge zitto unaweza kuandaliwa na mtu yeyote yule cha msingi tu awe ni mkaazi wa jimbo la mbunge zitto,maana anakwenda kama mbunge na si kiongozi wa CDM.
 
Nimekubali Zitto ni kiboka yaani thread yake yoyote inayopostiwa inakimbia mbio kinoma kuliko thread yoyote ile. Kaka kaza buti uko nyoyoni mwa watanzania. Kila mtu anakukubali kwa uadilifu wako. Ukipata nafasi ya kugombea urais hata kula za wana ccm, wana cuf ,wana cdm wana nccra maguzi, wana Tlp nk utapewa na hatimaye utashinda. Watashindanaweeeeeeeeeeeeeeee lakini hawatashinda.

Only fool celebreates stupidity.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom