Kinachoendelea Kigoma "KARIBU SHUJAA ZITTO KABWE".

Kinachoendelea Kigoma "KARIBU SHUJAA ZITTO KABWE".

Status
Not open for further replies.
attachment.php


Lazima akili zenu ni kiwangocha panzi maana hamjui matokeo ya mnayoyafanya. Basi mshaurini ajitoe rasmi kuwa mwanachama wa CHADEMA halafu muendelee kwa utulivu nje ya CHADEMA.

Ukweli mimi binafsi nawashukuru sana kwa jitihada zenu kwa sababu zinadhihirisha mtu wenu alivyo wa hovyo

kama nyie mnamuona msaliti mfukuzeni, ameshasema hatoki cdm labda mumuondoe, ila inavyoonesha hamna mwenye uwezo wa kumfukuza zzk si babu slaa au huyo msaliti wa ndoa yake, wamebaki wanawatumia misukule yao ikiongozwa na mida 8 kumchafua zzk ila wamesahau kuwa zzk hachafuliki kwani kila mtanzania mwenye akili timamu anaelewa kuwa ni siasa za maji taka zinazoendeshwa na babu na dj ambao wote wameshindwa hata kulinda ndoa zao
 
Ben Saanane kamshauri ajihadhali asije akavunja tena katiba ya chama.
 
Last edited by a moderator:
Poleni sana.Ni afadhali pesa mnayotumia mngeimarisha CCM matawini.
Mkuu, CCM iko imara na ndo maana inashika dola. Nyie katibu Mkuu wenu amesema chama chenu hakiko imara. Badala ya kumtumia Zitto kuimarisha chama, mnamtumia kukibomoa chama
 
je tenda ya mabango wamechukuliwa wale walioweka ya Jk

Aliyeshindwa kusaliti CHAMA MNAMWITA SHUJAA je ANGEFANIKIWA?

Kama anamwanasheria tayari na Dr mkumbo wa sera si Waanzishe chama chao kuliko KUWAONGOPEA WANACHADEMA OKSJENI YA MTANZANIA kwa UKOMBOZI WA 2 eti maajabu INAHITAJI WASALITI na WANAKUBALIKA
 
CCM inakujaje hapo? Kwani Zitto hana wafuasi ndani ya CHADEMA?

Chama kinafahamu kila kitu ni nani wameandaa hiyo mikutano.Mbinu zote za CCM zinajulikana mpaka gharama kamili zinazolipwa na CCM chama kinafahamu.
 
Mkuu, kwani Zitto hana fedha za kugharamia mkutano huo? Zitto muda wote amekuwa akitumia fedha zake kukijenga chama wakati babu slaa na Mbowe wamekuwa wakitafuna fedha za fedha

Hajawahi labda kutoka kwa rostam Azizi na TISS..
 
Kazi waliyomtuma Kashindwa.....
Kwa hiyo kama kashindwa kazi waliyomtuma, kwa nini mnatengeneza dhana kuwa CCM ndo wanagharamia huo mkutano wa mwandiga? Mbona mnajichanganya?
 
kama nyie mnamuona msaliti mfukuzeni, ameshasema hatoki cdm labda mumuondoe, ila inavyoonesha hamna mwenye uwezo wa kumfukuza zzk si babu slaa au huyo msaliti wa ndoa yake, wamebaki wanawatumia misukule yao ikiongozwa na mida 8 kumchafua zzk ila wamesahau kuwa zzk hachafuliki kwani kila mtanzania mwenye akili timamu anaelewa kuwa ni siasa za maji taka zinazoendeshwa na babu na dj ambao wote wameshindwa hata kulinda ndoa zao
Molemo amesema wanamfukuza sasa sijui yeye ni nani pale CDM.... viroba vitawamaliza vijana!
 
Mkuu, CCM iko imara na ndo maana inashika dola. Nyie katibu Mkuu wenu amesema chama chenu hakiko imara. Badala ya kumtumia Zitto kuimarisha chama, mnamtumia kukibomoa chama

Kazi mliyomtuma Kashindwa.Poleni sana.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom