Charles Gerald
JF-Expert Member
- Mar 31, 2016
- 1,405
- 1,845
Wanaume Wa dar bana mushazoea vichipsi uchwara, ndio maana mnakuwa legelege hovyo, hicho chakula unachokiponda sisi kimetukuza na tumezoea hivyo, ukitaka kupikiwa unavyotaka tafuta hela nenda kwa mahoteli makubwa au ukija Mwanza uwe unakuja na chakula chako unatunza, sijui umenielewa?