Drone Camera
JF-Expert Member
- Jul 25, 2017
- 14,121
- 14,032
😆😆😆😆Duh, hata mimi nilikuwa namtafuta uzi wowote wa kupondea mza hakosekani. 😂
😆😆😆😆Duh, hata mimi nilikuwa namtafuta uzi wowote wa kupondea mza hakosekani. 😂
Kwa mpemba ....Kwa sasa umechagua maeneo gani unapoona pana afadhali?


mlango mmoja.....sema siishi mwanza Tena..IkawajeKuna siku nikaletewa wali na supu ya kuku
Onyesha machimbo basAcha uongo wewe kelele nyiiingi watu wa huku watu wa huku...!kama hujui machimbo tuulize wenyeji tukwambie maana mlioingia mjini kwa mbio za mwenge mna shida.huko pwani unakosifia kuna nini cha maana?
Nilichoka kwakweliIkawaje