Nafirimba
Senior Member
- Apr 23, 2017
- 111
- 62
Bwana jiswahiliUkapwayuka = ukapayuka
Bwana jiswahiliUkapwayuka = ukapayuka
Ukapwayuka = ukapayukaMkuu,nakuheshimu.....sidhan kama mtu mzima unaejielewa unaweza kosa ustarabu ukapwayuka matusi ovyo!! Utafikir akili zako hazikai kichwan
FuluChato hakufai mji mzima hata sambusa hakuna,utaambulia nyanya,fulu,maziwa,numbu(viazi vitamu)

umenikumbusha musoma nilikua napenda fulu na ugali wa muhogo[udaga]Chato hakufai mji mzima hata sambusa hakuna,utaambulia nyanya,fulu,maziwa,numbu(viazi vitamu)
Mwanza ni jiji la pili kwa ukubwa ukiacha na Dar es Salaam ambalo limeshika namba moja.
Lakini;
WATU
Ushamba wa watu hii ni pie 22/7 inajulikana
MISOSI
Hapa ndpo shida ilipo, aisee watu wa huku hawajui kupika yani hapa nawapa zero.
Watu wa huku kwenye kuandaa misosi wako rafu na hawajui kabisa yaani wanachojua ni kuchemsha tu vyakula karibia vyote ila ndiyo waandaji ndiyo shida hiki kimeniuzi sana.
Wao wenyeji hawaoni tofauti. Sasa kwa watu ambao wameishi mikoa tofauti tofauti lazima wamind kama ushaishi Pwani, Tanga, Dar hata Dodoma, Iringa, Mbeya, Morogoro wapo vizuri ila siyo huku.
Uzuri ni samaki tu! Unaagiza wali samaki unaletewa samaki aliyechemshwa na wali mkavu hapo washamaliza. Yaani unajiuliza ungeagiza mchemsho tu! Unless uende kula mahotel makubwa sana ila siyo restaurant au migahawa.
BIASHARA
Biashara na mzunguko wa hela unaonekana. Upo
yaani kama misosi inachemshwa ili mradi tu na bei juu bado watu wananunua, pesa ipo
na biashara nyingne naona zinaenda.
Ila kama we mpenda kula usije huku labda ujie samaki tu.
Nilikua na jirani Msukuma akipika kuku lazima anunue wawili anasema hataki watoto wagombanie mapaja

Jiswahili = kiswahiliBwana jiswahili
Mkuu, pitia pale Villa Park uone mambo.Mwanza ni jiji la pili kwa ukubwa ukiacha na Dar es Salaam ambalo limeshika namba moja.
Lakini;
WATU
Ushamba wa watu hii ni pie 22/7 inajulikana
MISOSI
Hapa ndpo shida ilipo, aisee watu wa huku hawajui kupika yani hapa nawapa zero.
Watu wa huku kwenye kuandaa misosi wako rafu na hawajui kabisa yaani wanachojua ni kuchemsha tu vyakula karibia vyote ila ndiyo waandaji ndiyo shida hiki kimeniuzi sana.
Wao wenyeji hawaoni tofauti. Sasa kwa watu ambao wameishi mikoa tofauti tofauti lazima wamind kama ushaishi Pwani, Tanga, Dar hata Dodoma, Iringa, Mbeya, Morogoro wapo vizuri ila siyo huku.
Uzuri ni samaki tu! Unaagiza wali samaki unaletewa samaki aliyechemshwa na wali mkavu hapo washamaliza. Yaani unajiuliza ungeagiza mchemsho tu! Unless uende kula mahotel makubwa sana ila siyo restaurant au migahawa.
BIASHARA
Biashara na mzunguko wa hela unaonekana. Upo
yaani kama misosi inachemshwa ili mradi tu na bei juu bado watu wananunua, pesa ipo
na biashara nyingne naona zinaenda.
Ila kama we mpenda kula usije huku labda ujie samaki tu.
Don't compare katoro na miji ya ajabu ajabuMungu wangu!!! Pamoja na airport ya kimataifa, bohari kubwa ya MSD, ofisi kubwa ya TRA, branch nzuri ya CRDB, kumbe afadhali hata Katoro?
Au Kirumba resortMkuu, pitia pale Villa Park uone mambo.
Chato hakufai mji mzima hata sambusa hakuna,utaambulia nyanya,fulu,maziwa,numbu(viazi vitamu)

jinumbuMwanza ni jiji ambalo halina presha kama Dar na Arusha, halafu hatuna mambo mengi sana hivyo tuchukulie tu tulivyoMwanza ni jiji la pili kwa ukubwa ukiacha na Dar es Salaam ambalo limeshika namba moja.
Lakini;
WATU
Ushamba wa watu hii ni pie 22/7 inajulikana
MISOSI
Hapa ndpo shida ilipo, aisee watu wa huku hawajui kupika yani hapa nawapa zero.
Watu wa huku kwenye kuandaa misosi wako rafu na hawajui kabisa yaani wanachojua ni kuchemsha tu vyakula karibia vyote ila ndiyo waandaji ndiyo shida hiki kimeniuzi sana.
Wao wenyeji hawaoni tofauti. Sasa kwa watu ambao wameishi mikoa tofauti tofauti lazima wamind kama ushaishi Pwani, Tanga, Dar hata Dodoma, Iringa, Mbeya, Morogoro wapo vizuri ila siyo huku.
Uzuri ni samaki tu! Unaagiza wali samaki unaletewa samaki aliyechemshwa na wali mkavu hapo washamaliza. Yaani unajiuliza ungeagiza mchemsho tu! Unless uende kula mahotel makubwa sana ila siyo restaurant au migahawa.
BIASHARA
Biashara na mzunguko wa hela unaonekana. Upo
yaani kama misosi inachemshwa ili mradi tu na bei juu bado watu wananunua, pesa ipo
na biashara nyingne naona zinaenda.
Ila kama we mpenda kula usije huku labda ujie samaki tu.
Na michembeChato hakufai mji mzima hata sambusa hakuna,utaambulia nyanya,fulu,maziwa,numbu(viazi vitamu)
Nimetoka nimeishia kula malaya na bia msos amnaMkuu, pitia pale Villa Park uone mambo.