Kinachoboa Mwanza

Kinachoboa Mwanza

Mwanza ni jiji la pili kwa ukubwa ukiacha na Dar es Salaam ambalo limeshika namba moja.

Lakini;

WATU
Ushamba wa watu hii ni pie 22/7 inajulikana

MISOSI
Hapa ndpo shida ilipo, aisee watu wa huku hawajui kupika yani hapa nawapa zero.
Watu wa huku kwenye kuandaa misosi wako rafu na hawajui kabisa yaani wanachojua ni kuchemsha tu vyakula karibia vyote ila ndiyo waandaji ndiyo shida hiki kimeniuzi sana.

Wao wenyeji hawaoni tofauti. Sasa kwa watu ambao wameishi mikoa tofauti tofauti lazima wamind kama ushaishi Pwani, Tanga, Dar hata Dodoma, Iringa, Mbeya, Morogoro wapo vizuri ila siyo huku.

Uzuri ni samaki tu! Unaagiza wali samaki unaletewa samaki aliyechemshwa na wali mkavu hapo washamaliza. Yaani unajiuliza ungeagiza mchemsho tu! Unless uende kula mahotel makubwa sana ila siyo restaurant au migahawa.

BIASHARA
Biashara na mzunguko wa hela unaonekana. Upo
yaani kama misosi inachemshwa ili mradi tu na bei juu bado watu wananunua, pesa ipo
na biashara nyingne naona zinaenda.

Ila kama we mpenda kula usije huku labda ujie samaki tu.

wewe muongo sasa hivi nipo kwa mama lishe dampo kaniletea wali na sangara wa mchuzi mzito tena tamu acha kudanganya watu wewe uliaguza supu ya samaki
 
Mwanza ni jiji la pili kwa ukubwa ukiacha na Dar es Salaam ambalo limeshika namba moja.

Lakini;

WATU
Ushamba wa watu hii ni pie 22/7 inajulikana

MISOSI
Hapa ndpo shida ilipo, aisee watu wa huku hawajui kupika yani hapa nawapa zero.
Watu wa huku kwenye kuandaa misosi wako rafu na hawajui kabisa yaani wanachojua ni kuchemsha tu vyakula karibia vyote ila ndiyo waandaji ndiyo shida hiki kimeniuzi sana.

Wao wenyeji hawaoni tofauti. Sasa kwa watu ambao wameishi mikoa tofauti tofauti lazima wamind kama ushaishi Pwani, Tanga, Dar hata Dodoma, Iringa, Mbeya, Morogoro wapo vizuri ila siyo huku.

Uzuri ni samaki tu! Unaagiza wali samaki unaletewa samaki aliyechemshwa na wali mkavu hapo washamaliza. Yaani unajiuliza ungeagiza mchemsho tu! Unless uende kula mahotel makubwa sana ila siyo restaurant au migahawa.

BIASHARA
Biashara na mzunguko wa hela unaonekana. Upo
yaani kama misosi inachemshwa ili mradi tu na bei juu bado watu wananunua, pesa ipo
na biashara nyingne naona zinaenda.

Ila kama we mpenda kula usije huku labda ujie samaki tu.
Mkuu, pitia pale Villa Park uone mambo.
 
Mwanza ni jiji la pili kwa ukubwa ukiacha na Dar es Salaam ambalo limeshika namba moja.

Lakini;

WATU
Ushamba wa watu hii ni pie 22/7 inajulikana

MISOSI
Hapa ndpo shida ilipo, aisee watu wa huku hawajui kupika yani hapa nawapa zero.
Watu wa huku kwenye kuandaa misosi wako rafu na hawajui kabisa yaani wanachojua ni kuchemsha tu vyakula karibia vyote ila ndiyo waandaji ndiyo shida hiki kimeniuzi sana.

Wao wenyeji hawaoni tofauti. Sasa kwa watu ambao wameishi mikoa tofauti tofauti lazima wamind kama ushaishi Pwani, Tanga, Dar hata Dodoma, Iringa, Mbeya, Morogoro wapo vizuri ila siyo huku.

Uzuri ni samaki tu! Unaagiza wali samaki unaletewa samaki aliyechemshwa na wali mkavu hapo washamaliza. Yaani unajiuliza ungeagiza mchemsho tu! Unless uende kula mahotel makubwa sana ila siyo restaurant au migahawa.

BIASHARA
Biashara na mzunguko wa hela unaonekana. Upo
yaani kama misosi inachemshwa ili mradi tu na bei juu bado watu wananunua, pesa ipo
na biashara nyingne naona zinaenda.

Ila kama we mpenda kula usije huku labda ujie samaki tu.
Mwanza ni jiji ambalo halina presha kama Dar na Arusha, halafu hatuna mambo mengi sana hivyo tuchukulie tu tulivyo
 
Mkuu kama ulienda kula kwa mama ntilie unataka kulinganisha na hotel kubwa?, wanaume wa Darisalama mnapenda sana mambo ya kulost ndio maana mnatumia booster kunako 6*6
 
Zunguka kote ila mambo yote Tanga Bwana kuna miaka flani nilienjoy sana vyakula kila ninachokula naienjoy aisee bei ya kawaida kabisa. Nimetoka zangu bara huko nawachukia dagaa hatari ila Tanga ikanifanya nijue upande wa pili na shilingi walivokuwa watamu kama sio ninaowachukia, nikaondoka na somo moja hakuna chakula kibaya ila mapishi tuu. Tukiacha yote watu wa mikoa tofauti na Pwani mapishi ni mabovu yaani hovyo hovyo, nishawai kwenda Sumbawanga kila mgahawa ninaokula ni hovyo nashindwa kabisa kumaliza chakula
 
Back
Top Bottom